Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yashtukia uongo wa Al Ahly

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Hans Mloli
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amewashtukia Al Ahly na kukiri kwamba waliwadanganya Yanga kwa kudai watakuja na winga wao Emad Motaeb, lakini haikuwa hivyo. Al Ahly ilitoa taarifa mbalimbali kwenye vyombo vya habari vya Cairo kwamba itatua na winga wao hatari Motaeb jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga lakini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Azam yamsafirisha Twite, Yanga yashtukia

Beki wa timu ya Yanga SC, Mbuyu Twite. Na Hans Mloli
IMEELEZWA kuwa kama si Yanga kushtukia mchezo mapema uliokuwa unaendelea baina ya beki wao, Mbuyu Twite na Azam FC, basi siku si nyingi angekuwa mali ya Azam FC. Twite, raia wa Rwanda, mwenye asili ya DR Congo, anatarajia kumaliza mkataba wa kuichezea Yanga mwisho wa msimu huu, awali ilielezwa anasubiri ligi iishe ndiyo afanye mazungumzo na uongozi wa Yanga, lakini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0

Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tofauti ya Yanga na Al Ahly

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...

 

11 years ago

GPL

Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly

Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga kupepetana na Al-Ahly

Yanga ya Tanzania, leo wanakabiliana na al-Ahly ya Misri katika mchezo wa kombe la mabingwa Afrika

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!

1005224_161118974079176_1902408761_n

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.

Tahariri ya leo Machi 10,  Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.

Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yaishika pabaya Ahly

Uongozi wa Klabu ya Al Ahly ya Misri umekataa mchezo wa baina yao na wawakilishi wa Tanzania, Yanga kupigwa katika mji wa El Gouna na badala yake umependekeza ufanyike katika jiji la Alexandria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga yawafuata Al Ahly kwa 12-2

WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga, jana wameishikisha adabu Komorozine de Domoni, baada ya kuichapa mabao 5-2 kwenye dimba la Sheikh Said Mohammed International jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Yanga aishtukia Al Ahly

Kocha wa Yanga, Hans Van der Pluijm amebaini janja ya Al Ahly ya kuifuatilia, lakini  yeye atabadili mbinu za uchezaji za timu yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani