Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam kuitoa Yanga,pia itacheza na Mgambo

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo Jumatano katika viwanja viwili nchini Tanzania.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Azam kuitoa Yanga kileleni?

Mabingwa wa Tanzania Bara, Azam itacheza na Mtibwa Sugar Jumatano katika jitihada za kuiondoa kileleni mwa ligi, klabu ya Yanga.

 

11 years ago

Mwananchi

Ahly: Kuitoa Yanga ni bahati tu

Kocha wa Al Ahly, Mohamed Youssef amesifu umakini na nidhamu ya hali juu ya mchezo ilioonyeshwa na wachezaji wa Yanga na kusema ushindi wa timu yake ulikuwa wa ‘ngekewa’ na si uwezo wa uwanjani.

 

10 years ago

Vijimambo

MTANANGE WA YANGA NA MGAMBO JKT YANGA YASHINDA 2-0 TAIFA

Mashabiki Yangawakishangilia ushindi wa goli 2 huku wakionyesha vidole viwili juu katika mtanange wale Taifa kati ya timu ya Mgambo JKT kutoka Tanga na Yanga ya Dar es Salaam na timu ya Yanga kuibuka na pointi zote 3 baada ya kuifunga timu hiyo ya wagosi wa kaya kwa bao 2-0.Ni raha tu kama wanavyoonekana mashabiki wa Yanga walioshuhudia timu hiyo ilipoibanjua Magambo JKT  kwa bao 2-0 kwa mechi iliyochezewa uwanja wa Taifa.Kipa wa Mgambo JKT, Said Lubawa, akilalamika baada ya Msuva kuutundika...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Mgambo vitani

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga leo wanaingia kambini Bagamoyo kujiandaa kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mgambo Shooting ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani