Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga, Mgambo vitani

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga leo wanaingia kambini Bagamoyo kujiandaa kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mgambo Shooting ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MTANANGE WA YANGA NA MGAMBO JKT YANGA YASHINDA 2-0 TAIFA

Mashabiki Yangawakishangilia ushindi wa goli 2 huku wakionyesha vidole viwili juu katika mtanange wale Taifa kati ya timu ya Mgambo JKT kutoka Tanga na Yanga ya Dar es Salaam na timu ya Yanga kuibuka na pointi zote 3 baada ya kuifunga timu hiyo ya wagosi wa kaya kwa bao 2-0.Ni raha tu kama wanavyoonekana mashabiki wa Yanga walioshuhudia timu hiyo ilipoibanjua Magambo JKT  kwa bao 2-0 kwa mechi iliyochezewa uwanja wa Taifa.Kipa wa Mgambo JKT, Said Lubawa, akilalamika baada ya Msuva kuutundika...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam FC, Yanga vitani

>Mabingwa watetezi wa Bara, Yanga na vinara wa Ligi Kuu, Azam leo wataendeleza mbio zao za kusaka ubingwa wakati watakapozikabili Prisons ya Mbeya na Mgambo Shooting ya Tanga kwenye viwanja tofauti.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga, Azam, Simba vitani

Pg 32 Okt 17NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

LIGI Kuu ya Tanzania Bara inaendelea leo kwa mechi sita katika viwanja tofauti huku Yanga ikiikaribisha Azam FC katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Yanga, Azam na Simba zitakuwa zikicheza kusaka ushindi katika mechi zao ili zijiweke katika nafasi nzuri katika mbio za kuwania taji la Ligi Kuu Tanzania Bara.

Yanga ina pointi 15 sawa na Azam lakini inaongoza kwa kupachika mabao 13 huku Azam ikiwa na mabao 9, hivyo kila moja itakuwa ikisaka ushindi ili kuongoza...

 

9 years ago

Habarileo

Azam, Yanga, Simba vitani

LEO ni vita ya namba. Baada ya mapumziko ya mwezi mmoja michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara itaendelea kutimua vumbi katika viwanja sita tofauti, huku Simba, Azam FC na Yanga kila moja ikiingia katika vita ya namba kusaka pointi tatu muhimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Mbeya City vitani

>Mabingwa watetezi Yanga baada ya kutoka sare mara mbili mfululizo leo watashuka kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kuwakabili Rhino Rangers kwa lengo moja tu la kusaka ushindi ili kuendelea kuipa  presha Azam FC kileleni wa Ligi Kuu Bara

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga waivamia Mgambo Tanga

MMGM00291NA OSCAR ASSENGA, TANGA

ZIKIWA zimebakia siku sita kabla ya timu ya Yanga kukipiga na Mgambo JKT ya mkoani Tanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, mmoja wa vigogo wa timu hiyo ametua jijini humo wikiendi iliyopita tayari kabisa kuweka mazingira sawa ya kuibuka na ushindi.

Yanga inakabiliwa na mchezo huo mgumu utakaofanyika Uwanja wa Mkwakwani kwenye mwendelezo wa ligi hiyo, iliyosimama takribani mwezi mmoja na nusu kupisha michuano ya Kombe la Chalenji na mechi za mbili za timu ya...

 

9 years ago

Habarileo

Mgambo waipania Yanga Tanga

KOCHA Bakari Shime wa Mgambo JKT, amesema amekiandaa kikosi chake kuweka rekodi msimu huu kwa kuwa timu ya kwanza kuwafunga mabingwa watetezi Yanga katika pambano la Ligi Kuu litakalopigwa Mkwakwani Desemba 12.

 

10 years ago

GPL

Tambwe, Mliberia waingia vitani Yanga

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Mliberia, Kpah Sherman, Na Wilbert Molandi
WASHAMBULIAJI wapya wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe na Mliberia, Kpah Sherman, wameanza kuonyeshana mavituzi katika mazoezi ya timu hiyo. Nyota hao wote walijiunga na kikosi hicho hivi karibuni katika usajili wa dirisha dogo, Tambwe yeye alisaini mkataba wa mwaka mmoja na Sherman miaka miwili. Katika mazoezi ya timu hiyo yanayoendelea kwenye Uwanja wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Neto wa Mgambo aiombea mabaya Yanga

Mshambuliaji wa Mgambo Shooting, Mohamed Neto amesema anaiombea dua njema Azam FC ili itwae ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, lakini si Yanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani