Yanga, Mgambo vitani
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga leo wanaingia kambini Bagamoyo kujiandaa kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mgambo Shooting ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1W3ZFRx2hlA/VF5BbS-z_ZI/AAAAAAAAMy4/h_M0h26rGOs/s72-c/dude.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA MGAMBO JKT YANGA YASHINDA 2-0 TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1W3ZFRx2hlA/VF5BbS-z_ZI/AAAAAAAAMy4/h_M0h26rGOs/s640/dude.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-j8T4X8DP1gY/VF5BedmxDwI/AAAAAAAAMzA/9tPo0kE56Bc/s640/oya2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-f01I2iK7OF8/VF5CRHWEF3I/AAAAAAAAMzQ/6feQBGoM3DY/s640/LALAMA.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Azam FC, Yanga vitani
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Yanga, Azam, Simba vitani
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
LIGI Kuu ya Tanzania Bara inaendelea leo kwa mechi sita katika viwanja tofauti huku Yanga ikiikaribisha Azam FC katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Yanga, Azam na Simba zitakuwa zikicheza kusaka ushindi katika mechi zao ili zijiweke katika nafasi nzuri katika mbio za kuwania taji la Ligi Kuu Tanzania Bara.
Yanga ina pointi 15 sawa na Azam lakini inaongoza kwa kupachika mabao 13 huku Azam ikiwa na mabao 9, hivyo kila moja itakuwa ikisaka ushindi ili kuongoza...
9 years ago
Habarileo12 Dec
Azam, Yanga, Simba vitani
LEO ni vita ya namba. Baada ya mapumziko ya mwezi mmoja michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara itaendelea kutimua vumbi katika viwanja sita tofauti, huku Simba, Azam FC na Yanga kila moja ikiingia katika vita ya namba kusaka pointi tatu muhimu.
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Yanga, Mbeya City vitani
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Yanga waivamia Mgambo Tanga
NA OSCAR ASSENGA, TANGA
ZIKIWA zimebakia siku sita kabla ya timu ya Yanga kukipiga na Mgambo JKT ya mkoani Tanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, mmoja wa vigogo wa timu hiyo ametua jijini humo wikiendi iliyopita tayari kabisa kuweka mazingira sawa ya kuibuka na ushindi.
Yanga inakabiliwa na mchezo huo mgumu utakaofanyika Uwanja wa Mkwakwani kwenye mwendelezo wa ligi hiyo, iliyosimama takribani mwezi mmoja na nusu kupisha michuano ya Kombe la Chalenji na mechi za mbili za timu ya...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Mgambo waipania Yanga Tanga
KOCHA Bakari Shime wa Mgambo JKT, amesema amekiandaa kikosi chake kuweka rekodi msimu huu kwa kuwa timu ya kwanza kuwafunga mabingwa watetezi Yanga katika pambano la Ligi Kuu litakalopigwa Mkwakwani Desemba 12.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XCoElX7q3j0pX6*YBwlxNDcMoVVLUknLr0rQsi6DF1xG6Foi5HpJfxxF9JW2T2U1fqwhnfraL4*EIwE4eLQZ2JNqTTZqLnY3/Tambwe.jpg)
Tambwe, Mliberia waingia vitani Yanga
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Neto wa Mgambo aiombea mabaya Yanga