Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sevilla ndio mabingwa wa Europa

Sevilla ndio mabingwa wa mwaka huu wa taji la Europa baada ya kuilaza Benfica mabao 4-2 .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA

Carlos Bacca akiifungia Sevilla bao la tatu na la ushindi katika dakika ya 73 ya mchezo.Sevilla wakishangilia ubingwa wao baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Dnipropetrovsk.Washindi wa Kombe la Europa mara mbili mfululizo wakiwa katika pozi baada ya ushindi.

TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Ligi ya Europa baada ya kuichapa Dnipropetrovsk ya Ukraine mabao 3-2.

Mabao ya Sevilla katika mechi hiyo iliyopigwa jana usiku mjini Warsaw nchini Poland yaliwekwa kimiani na Carlos...

 

10 years ago

GPL

SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA

Sevilla wakishangilia ubingwa wao baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Dnipropetrovsk. Washindi wa Kombe la Europa mara mbili mfululizo wakiwa katika pozi baada ya ushindi.  Carlos Bacca akiifungia Sevilla bao la tatu na la ushindi…

 

10 years ago

BBCSwahili

Sevilla yatwaa kombe ligi ya Europa

Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na kivumbi cha fainali ya Uefa ndogo, kwenye mtanange ulioikutanisha Sevilla ya Hispania dhidi ya Dnipropetrovsk ya Ukrain.

 

5 years ago

Chiesa Di Totti

Roma Draws Sevilla in Europa League Round of 16

Roma Draws Sevilla in Europa League Round of 16  Chiesa Di TottiRanking Every Team Left in the Europa League by Chances of Winning  90minRoma draw Sevilla in Europa League  RomaPressGetafe Director Villaverde: "I Hope Fans Will Be Able To Attend Our Match Away To Inter"  SempreInterEuropa League last-16 draw: When is it, fixtures, teams, how to watch on TV & live stream  Goal.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBCSwahili

Australia ndio mabingwa wa Kriketi

Australia iliishinda nguvu New Zealand na hivyobasi kuibuka mshindi wa kombe la dunia la mchezo wa Kriketi kwa mara ya tano

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya ndio mabingwa wa IAAF

Kenya kwa mara ya kwanza kabisa imeibuka mshindi wa mashindano ya riadha ambayo yamekamilika mjini Beijing nchini China

 

10 years ago

BBCSwahili

Chile ndio mabingwa wa Copa America

Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Telkom Kenya ndio mabingwa wa Afrika wa magongo

Timu ya Telkom ya Kenya na Eastern Company ya Misri zimetwaa ubingwa katika mashindano ya magongo ya klabu bingwa Afrika yaliyomalizika leo hii mjini Lusaka, Zambia.

 

11 years ago

Azam FC

Azam FC ndio mabingwa wapya wa Tanzania Bara

Azam FC ndio mabingwa wapya wa Tanzania Bara

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani