Telkom Kenya ndio mabingwa wa Afrika wa magongo
Timu ya Telkom ya Kenya na Eastern Company ya Misri zimetwaa ubingwa katika mashindano ya magongo ya klabu bingwa Afrika yaliyomalizika leo hii mjini Lusaka, Zambia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Kenya ndio mabingwa wa IAAF
Kenya kwa mara ya kwanza kabisa imeibuka mshindi wa mashindano ya riadha ambayo yamekamilika mjini Beijing nchini China
10 years ago
BBCSwahili09 Nov
Gor Mahia ndio mabingwa wa ligi kenya
Timu ya Gor Mahia nchini Kenya ndio mabingwa wa Ligi msimu huu baada ya kuishinda kilabu ya Ushuru mabao 3-0.
9 years ago
VijimamboTANZANIA STARS UNITED BARA NDIO MABINGWA WA KOMBE LA TAMASHA 2015 LA AFRIKA MASHARIKI YAIFUNGA RWANDA 5-1 NA KUIFUNGA ZANZIBAR 4-0 MECHI YA FAINALI
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Michuano ya magongo Kenya
Mashindano ya mchezo wa magongo ya ligi ya dunia yanaanza wiki hii mjini Nairobi
9 years ago
Habarileo18 Oct
Magongo matumaini kibao Afrika
TIMU ya Taifa ya wanawake na wanaume ya mpira wa magongo zinatarajiwa kuondoka kesho kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya michuano ya kuwania kufuzu kucheza Olimpiki mwaka 2016, Brazil.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q033vaPfAds/VhxNRsIJvDI/AAAAAAAH_mY/GDBYwFXgMr4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Timu ya Taifa ya wanawake ya Mchezo wa Mpira wa Magongo yakabidhiwa bendera kabla ya kuelekea Afrika ya kusini baada ya
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q033vaPfAds/VhxNRsIJvDI/AAAAAAAH_mY/GDBYwFXgMr4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2dTTJKrNGn8/VhxNRja4vrI/AAAAAAAH_mg/YG0zMhPPt3s/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Australia ndio mabingwa wa Kriketi
Australia iliishinda nguvu New Zealand na hivyobasi kuibuka mshindi wa kombe la dunia la mchezo wa Kriketi kwa mara ya tano
11 years ago
BBCSwahili15 May
Sevilla ndio mabingwa wa Europa
Sevilla ndio mabingwa wa mwaka huu wa taji la Europa baada ya kuilaza Benfica mabao 4-2 .
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Chile ndio mabingwa wa Copa America
Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania