Michuano ya magongo Kenya
Mashindano ya mchezo wa magongo ya ligi ya dunia yanaanza wiki hii mjini Nairobi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Telkom Kenya ndio mabingwa wa Afrika wa magongo
Timu ya Telkom ya Kenya na Eastern Company ya Misri zimetwaa ubingwa katika mashindano ya magongo ya klabu bingwa Afrika yaliyomalizika leo hii mjini Lusaka, Zambia.
9 years ago
Habarileo18 Oct
Magongo matumaini kibao Afrika
TIMU ya Taifa ya wanawake na wanaume ya mpira wa magongo zinatarajiwa kuondoka kesho kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya michuano ya kuwania kufuzu kucheza Olimpiki mwaka 2016, Brazil.
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Wenye ulemavu waingie mahabusu na magongo
Hili linawezekana? Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Elias Masamaki ametaka watu wenye ulemavu waruhusiwe kuingia na magongo mahabusu.
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
kumi na wawili waalikwa Tanzania:magongo
Wachezaji 12 wa kriketi kutoka nchi za Pakistan, India, Afrika ya Kusini na Uingereza wawasili nchini Tanzania mwezi ujao kushiriki katika michuano maarufu ya APL T20.
9 years ago
Michuzi23 Oct
TIMU YA MAGONGO YA TANZANIA KUANZA KIBARUA CHA KWANZA KESHO NA ZIMBAMBWE
TIMU ya taifa ya mpira wa magongo ya wanawake kesho inacheza mechi yake ya kwanza ya ufunguzi dhidi ya zimbambwe itakayopigwa nchini Afrika kusini,katika mashindano kuwania kufuzu michuano ya Olympic ya mwaka 2016 ambayo itafanyika mjini Rio de Janeiro, nchini Brazil.
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo Varentina Quaranta amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku ya jumapili.
Kocha Quaranta ambaye yuko na timu nchini afrika kusini amesema...
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo Varentina Quaranta amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku ya jumapili.
Kocha Quaranta ambaye yuko na timu nchini afrika kusini amesema...
5 years ago
MichuziRC Wangabo atimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutembelea kwa mlemavu
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutemebelea kwa Mlemavu Azla Sikazwe Mkazi wa mtaa wa Zimamoto, Kata ya Izia, Wilayani Sumbawanga baada ya mama huyo kumuomba Mkuu wa Mkoa huo msaada wa magongo hayo wakati wa kongamano la watu wenye ulemavu lililofanyika katika Manispaa ya Sumbawanga mwezi wa pili Mwaka huu.
Mh. Wangabo amesema kuwa katika kongamano hilo lilihudhuriwa na walemavu zaidi ya 700 na kusema kuwa bado kuna wengine ambao wanahitaji...
Mh. Wangabo amesema kuwa katika kongamano hilo lilihudhuriwa na walemavu zaidi ya 700 na kusema kuwa bado kuna wengine ambao wanahitaji...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q033vaPfAds/VhxNRsIJvDI/AAAAAAAH_mY/GDBYwFXgMr4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Timu ya Taifa ya wanawake ya Mchezo wa Mpira wa Magongo yakabidhiwa bendera kabla ya kuelekea Afrika ya kusini baada ya
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q033vaPfAds/VhxNRsIJvDI/AAAAAAAH_mY/GDBYwFXgMr4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2dTTJKrNGn8/VhxNRja4vrI/AAAAAAAH_mg/YG0zMhPPt3s/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania