Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kumi na wawili waalikwa Tanzania:magongo

Wachezaji 12 wa kriketi kutoka nchi za Pakistan, India, Afrika ya Kusini na Uingereza wawasili nchini Tanzania mwezi ujao kushiriki katika michuano maarufu ya APL T20.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MAGONGO YA TANZANIA KUANZA KIBARUA CHA KWANZA KESHO NA ZIMBAMBWE

TIMU ya taifa ya mpira wa magongo ya wanawake kesho inacheza mechi yake ya kwanza ya ufunguzi dhidi ya zimbambwe itakayopigwa nchini Afrika kusini,katika mashindano kuwania kufuzu michuano ya Olympic ya mwaka 2016 ambayo itafanyika mjini Rio de Janeiro, nchini Brazil.
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo  Varentina Quaranta amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku ya jumapili. 
Kocha Quaranta ambaye yuko na timu nchini afrika kusini amesema...

 

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya magongo Kenya

Mashindano ya mchezo wa magongo ya ligi ya dunia yanaanza wiki hii mjini Nairobi

 

9 years ago

Habarileo

Magongo matumaini kibao Afrika

TIMU ya Taifa ya wanawake na wanaume ya mpira wa magongo zinatarajiwa kuondoka kesho kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya michuano ya kuwania kufuzu kucheza Olimpiki mwaka 2016, Brazil.

 

11 years ago

Dewji Blog

Ratiba Bunge la Kumi, Mkutano wa Kumi na Tano

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifunga Bunge  leo twasira ya muono wa Mandhari ilivyokuwa.

Ratiba Ya Mkutano Wa 15 Wa Bunge New by moblog

 

10 years ago

Mwananchi

Wenye ulemavu waingie mahabusu na magongo

Hili linawezekana? Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Elias Masamaki ametaka watu wenye ulemavu waruhusiwe kuingia na magongo mahabusu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania ndani ya miaka kumi

Rais wa Tanzania Jakaya kikwete amelivunja rasmi bunge ,kama ishara ya kukamilika kwa awamu ya nne ya uongozi nchini Tanzania .

 

9 years ago

BBCSwahili

Telkom Kenya ndio mabingwa wa Afrika wa magongo

Timu ya Telkom ya Kenya na Eastern Company ya Misri zimetwaa ubingwa katika mashindano ya magongo ya klabu bingwa Afrika yaliyomalizika leo hii mjini Lusaka, Zambia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani