Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JULIANA SHONZA : Nilihama Chadema baada ya kugundua Natumika vibaya

Ni asubuhi na mapema yapata saa 2.30 hivi nikiwa katika mgahawa katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma. Msichana mdogo na mrembo mwenye rangi ya chungwa ananishika bega na kunisalimia kwa heshima.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Juliana Shonza wa CCM apongezwa kila kona kuchaguliwa Mbunge wa Viti Maalum

12189068_912799682137594_380257420280610232_n

Pichani ni picha na ujumbe wa Shy-Rose Bhanji aliotuma katika kurasa wake wa facebook.: “Hongera sana Juliana Shonza Mbunge Mteule kupitia mkoa mpya wa Songwe ‪#‎VitiMaalum‬ Wanawake wa Songwe wameonyesha imani kubwa kwako kwasababu wewe ni Mpiganaji. Ninakutakia Kila Heri ktk majukumu yako mapya.”

184282_128661920641409_868125194_n

Juliana Shonza katika ubora wake..

Mwingine ni  Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),  Anne Deo ambapo aliandika ujumbe huu:

“Navipongeza vyama vyote vya siasa vilivyobahatika...

 

11 years ago

Mwananchi

Nini hatima ya Tanzania baada ya kugundua mafuta- 2

Wiki iliyopita tulieleza uzoefu wa mataifa kadhaa barani Afrika yaliyobahatika kuwa na hazina ya utajiri wa rasilimali nyingi zikiwemo mafuta, gesi na madini.

 

9 years ago

Bongo5

Mr Blue aliacha uigizaji baada ya kugundua anapoteza tu muda

Mr Blue amesema aligundua sanaa ya uigizaji wa filamu haulipi kuliko muziki ndio maana aliachana nayo. sasa hivi kaonekani kwenye tasnia hiyo. Blue ambaye alionekana kwenye filamu ya Pretty Teacher na House Boy, ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa, baada ya kuingia kwenye filamu na akagundua hakuna maslahi aliamua kuachana na kazi hiyo. “Nilikuwa najaribu zali […]

 

9 years ago

MillardAyo

Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti..

Picha zimeenea mitandaoni zikimuonesha Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba akiwa kwenye ziara katika machinjio maarufu ya ng’ombe pamoja na mbuzi iliyopo eneo la Vingunguti Dar es Salaam. Baada ya ziara hiyo Waziri Nchemba ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Twitter >>> ‘Machinjio- Vingunguti usiku huu,hatua za awali nakutana na upotevu wa kodi […]

The post Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti.. appeared first...

 

10 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian alimpiga chini French Montana baada ya kugundua anammendea rafiki yake

Khloe Kardashian anadaiwa kuwa aliamua kumpiga chini mpenzi wake French Montana mapema mwezi huu baada ya kugundua kuwa alikuwa akimmendea rafiki yake.. Khloe na Malika Kwa mujibu wa mtandao wa Media Take Out, Khloe aligundua kuwa mpenzi wake alikuwa akitumiana ujumbe wa simu kwa siri na rafiki yake Malika Haqq. French Montana na Malika (kulia) […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Kocha Arsene Wenger akasirika baada ya kugundua Harry Kane aliruhusiwa kutoka katika Academy ya Arsenal

ArseneWenger_large

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger.

Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane

Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane.

Na Rabi Hume

Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger amesema alikasirika kidogo baada ya kugundua mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane aliruhusiwa kutoka katika kituo cha kukuzia vipaji (academy) ya Arsenal na kuhamia academy ya wapinzani wao wakubwa klabu ya Tottenham.

Wenger amezungumzia habari hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa ligi kuu ya Wingereza kesho jumapili...

 

10 years ago

Bongo5

Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha

Baada ya kuachia video mpya ‘Njoo’ iliyoongozwa na director Enos Olik, Shaa amezungumzia mambo kadhaa kuhusu collabo hiyo mpya na star mkubwa wa Kenya, Redsan ikiwemo sababu za kumchagua kumshirikisha pamoja na mtu aliyemsaidia kumpata Redsan kiurahisi na kufanya nae kazi. Shaa amesema baada ya kufanya utafiti aligundua Redsan ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya ambaye […]

 

10 years ago

Vijimambo

WATU 12 WAJERUHIWA VIBAYA BAADA YA BOKO HARAM KUSHAMBULIA CHUO NIGERIA

 Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, amefanya shambulizi la kujitoa mhanga katika Chuo kimoja cha Masomo ya Uongozi wa Biashara nchini Nigeria na kuwajeruhi wanafunzi kadhaa.Tukio hilo limetokea jana Mei 8, 2015 baada ya mtu huyo kuvuka geti na kuingia ndani ya chuo hicho na kutekeleza shambulio hilo kwa kufyatua risasi kisha kujilipua kwa mabomu.Vyombo vya habari nchini Nigeria vimeripoti kuwa, shambulizi hilo lilifanyika katika Chuo...

 

9 years ago

Vijimambo

SIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA (CCM) BAADA YA USHINDI PAMOJA NA EZEKIEL WENJE (CHADEMA) BAADA YA KUSHINDWA.

Stanslaus Shing'oma Mabula akiongea na wanahabari usiku wa kuamkia jana Octoba 27,2015 muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Ubunge Jimbo la Nyamagana (CCM)

BONYEA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA Ezekiel Dibogo Wenje (Chadema) akiongea na wanahabari muda mfupi kabla ya matokeo kutangazwa usiku wa Kuamkia jana.Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Jijini Mwanza ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi wa Jiji hilo Titho Mahinya akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu Jimboni Nyamagana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani