Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea -nusu fainali Capital Cup.

Chelsea, waliwachabanga timu ya Derby County, Bao 3-1 kwenye Kombe la Ligi maarufu kama Capital One Cup, na kutinga Nusu Fainali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool nusu fainali Capital one

Timu ya Liverpool imekua timu ya mwisho kutinga katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya Capital one

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali

Capital-One-Cup-1

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.

Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;

Everton 2 – 0 Middlesbrough

Manchester City 4 – 1 Hull City

Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday

Southampton 1 – 6 Liverpool

Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...

 

9 years ago

Mtanzania

Liverpool yatinga nusu fainali Capital one

5440e5ea639b3LIVEPOOL, ENGLAND

KIKOSI cha kocha Jurgen Klopp, Liverpool, imekuwa timu ya mwisho kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Capital One.

Klabu hiyo imeingia hatua hiyo baada ya kuichapa timu ya Southampton kichapo kitakatifu cha mabao 6-1.

Southampton walikuwa wa kwanza kupata bao la mapema katika dakika ya kwanza ya mchezo huo kupitia kwa mshambuliaji wake, Sadio Mane na kuanza kuwachanganya wapinzani wao, lakini mfumo wa Klopp uliweza kubadilisha matokeo.

Mshambuliaji wa...

 

9 years ago

Bongo5

Liverpool waingia nusu fainali ya Capital one

article-3343438-2F00819500000578-709_964x387

Timu ya Liverpool imefanikiwa kutinga katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la ligi maarufu kama Capital one .

article-3343438-2F00819500000578-709_964x387

Liverpool ilipata ushindi kwa kuichapa timu ya Southampton kichapo cha mabao 6-1.

Southampton walikuwa wa kwanza kupata bao la mapema katika dakika ya kwanza ya mchezo kupitia kwa mshambuliaji Sadio Mane.

2F0048BD00000578-3343438-image-m-63_1449091396265

Liverpool wakakomboa bao hilo kupitia mshambuliaji wao Daniel Sturridge katika dakika ya 29 , Sturridge, tena akaongeza bao la pili.

Mshambuliaji Divock Origi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yatinga fainali Kombe la Capital

Chelsea wamefanikiwa kutinga fainali ya kombe la ligi la Capital One baada ya kuwachapa Liverpool bao 1-0

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni Liverpool na Chelsea Capital Cup

Liverpool wameibuka na ushindi wa goli 3-1 dhidi ya Bournemouth katika michuano ya kombe la Capital Cup.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni shughuli nusu fainali Mapinduzi Cup Leo

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, leo wanashuka kwenye dimba la Amaan hapa Unguja kuwavaa Watoza Ushuru wa Mamlaka ya Mapato Uganda (URA), katika nusu fainali ya pili ya Kombe la...

 

10 years ago

Michuzi

NUSU FAINALI YA MTEMVU CUP YAPIGWA MWEMBE YANGA

 Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wakiwa sambamba na Mbunge Jimbo la Temeke, Mh. Abbas Mtemvu (kati) kwenye viwanja vya Mwembe Yanga wakifuatilia mpambano kati ya timu ya Mtoni dhidi ya Kata ya 14, zilipokuwa zikichuana ambapo katika mchezo huo, Kata ya 14 iliichapa Mtoni  mabao 4-3.
 Mshambuliaji wa timu ya Mtoni, Samwel Salonge  (kulia) akimtoka beki wa timu ya timu ya Kata ya 14,katika mpambano wa Nusu Fainal  ya  Mtemvu Cup  kwenye Uwanja wa Mwembeyanga  Dar es Salaam jana, ...

 

10 years ago

GPL

CHELSEA IMETWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE CUP KWA KUIFUNGA TOTTENHAM BAO 2- 0

Kikosi cha timu ya Chelsea kikiongozwa na Kocha wao, Jose Mourinho baada ya kutangazwa mabingwa wa Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One Cup 2014/15 usiku wa leo Uwanja wa Wembley kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tottenham. Kaptani wa Chelsea, John Terry (katikati) akinyanyua Kombe akiwa na wachezaji…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani