Ni Liverpool na Chelsea Capital Cup
Liverpool wameibuka na ushindi wa goli 3-1 dhidi ya Bournemouth katika michuano ya kombe la Capital Cup.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Chelsea -nusu fainali Capital Cup.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWkf31rUVemcbTA0wyXuJfxJlsT71xi1Mhfq1s*J9h*iRmJTKAaISrv7RQDDOK7GQKik4SZ28XKyen6xATOkawFG/2638822E000005782974579imagem15_1425234872701.jpg?width=650)
CHELSEA IMETWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE CUP KWA KUIFUNGA TOTTENHAM BAO 2- 0
5 years ago
Football.London04 Mar
Loftus-Cheek, Pulisic and Jorginho - Latest Chelsea team news ahead of Liverpool FA Cup tie
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Liverpool nusu fainali Capital one
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Liverpool yaichapa Stoke Capital One
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Chelsea mabingwa wapya Capital One
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Liverpool yatinga nusu fainali Capital one
LIVEPOOL, ENGLAND
KIKOSI cha kocha Jurgen Klopp, Liverpool, imekuwa timu ya mwisho kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Capital One.
Klabu hiyo imeingia hatua hiyo baada ya kuichapa timu ya Southampton kichapo kitakatifu cha mabao 6-1.
Southampton walikuwa wa kwanza kupata bao la mapema katika dakika ya kwanza ya mchezo huo kupitia kwa mshambuliaji wake, Sadio Mane na kuanza kuwachanganya wapinzani wao, lakini mfumo wa Klopp uliweza kubadilisha matokeo.
Mshambuliaji wa...
9 years ago
Bongo503 Dec
Liverpool waingia nusu fainali ya Capital one
![article-3343438-2F00819500000578-709_964x387](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/article-3343438-2F00819500000578-709_964x387-300x194.jpg)
Timu ya Liverpool imefanikiwa kutinga katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la ligi maarufu kama Capital one .
Liverpool ilipata ushindi kwa kuichapa timu ya Southampton kichapo cha mabao 6-1.
Southampton walikuwa wa kwanza kupata bao la mapema katika dakika ya kwanza ya mchezo kupitia kwa mshambuliaji Sadio Mane.
Liverpool wakakomboa bao hilo kupitia mshambuliaji wao Daniel Sturridge katika dakika ya 29 , Sturridge, tena akaongeza bao la pili.
Mshambuliaji Divock Origi...
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Chelsea yatinga fainali Kombe la Capital