Ubungo hali shwari, ulanguzi umekwisha
Hali ya ulanguzi wa kupandisha nauli katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo (UBT) kwa wasafiri imekwisha kutoka Sh150,000 hadi Sh25,000 kwa mikoa ya Kaskazini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Ulanguzi wa tiketi Ubungo watisha
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Ulanguzi wa tiketi wapamba moto Ubungo
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Kamanda Mpiga akwamisha ulanguzi tiketi Ubungo
Kamanda Mpinga akiwa ndani ya basi la kuelekea mkoani Tanga akizungumza na baadhi ya abiria juu ya viwango vya nauli walivyotozwa kama vipo sahihi.
Abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea mkoani Tanga wakimsikiliza Mpinga.
Kamanda Mpinga na Kamishna Sima wakiwa ndani ya moja ya mabasi kituoni hapo.
Kamanda Mpinga akishuka ndani ya basi baada ya kuchukua maoni ya abiria.
Abiria wakiwa makini kuhakikisha wanafunga mikanda kwenye viti vya kukalia
Kamanda Mpinga (kushoto) akiwa na Kamishna Msaidizi wa...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Hali si shwari Simba
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Hali si shwari nchini
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
‘Hali si shwari Afrika Mashariki’
RAIS wa Chama cha Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), James Mwamu, amesema kitendo cha nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuanza kutekeleza miradi yao bila kuzishirikisha Tanzania na Burundi inadhihirisha kuna...
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Hali si shwari Tughe Taifa
10 years ago
Mtanzania14 Feb
ACT hali bado si shwari
NA AGATHA CHARLES
LICHA ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, kukishauri Chama cha ACT-Tanzania kurudisha muundo wa uongozi uliokuwepo kabla ya kufukuzana ili kumaliza tofauti zao,lakini ushauri huo umekataliwa.
Katibu Mkuu wamuda wa chama hicho, Samson Mwigamba, alifanya mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam janana kutangaza kupeleka barua ya kupinga ushauri huo.
Akizungumza katika ofisi za chama hicho zilizopo Kijitonyama, Dar es Salaam, Mwigamba, alisema...