Jack Ma: Bilionea anayejaribu kumaliza virusi vya corona na kurejesha hadhi ya China kuwa juu
Jinsi umaarufu wa Jack Ma unavyokuwa wakati huu wa mlipuko wa virusi vya corona, unaweza kumuweka hatarini kutokana na macho ya wivu ya viongozi wa China.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Taasisi za utafiti Marekani zatahadharishwa juu ya wizi wa data unaodaiwa kuhusisha China
Wadukuzi wanaohusishwa na China wanalenga mashirika yanayofanya utafiti wa janga la Covid-19, Maafisa wa Marekani wanasema.
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Eric Yuan, bilionea aliyetajirika kutokana na corona na kwa nini aliomba msamaha
Wiki chache zilizopita usingemjua . Ama pengine sio sasa, lakini kulikuwa na uwezekano kwamba wakati wa karantini uliweza kuwasiliana na rafiki zako kwa sababu yake .
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Je msaada wa Jack Ma Afrika una umuhimu gani katika kupambana na janga la corona?
Huku mlipuko wa virusi vya corona ukiendelea kuathiri sekta zote duniani mataifa mengi yameshindwa kupata jibu la kukabiliana na janga hilo.
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China
India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya kubainika kuwa vifaa hivyo ''vina dosari''.
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya Corona: Maswali yaibuka juu ya uwazi wa taarifa za corona Tanzania
Maambukizi ya virusi vya corona yafikia 480 nchini Tanzania.
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: China yakerwa Trump kuita corona 'virusi vya China'
Rais wa Marekani Donald Trump ametumia neno hilo ingawa kumekuwa na wito wa kuepuka kunyanyapaa eneo au kundi fulani wakati huu wa maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Hatari ya kuambukizwa corona Dar es Salaam ipo juu yasema Marekani
Hatari ya kupata maambukizi ya Corona jijini Dar es Salaam ni kubwa sana. Licha ya kwamba taarifa hazitolewi mara kwa mara, ubalozi wa Marekani Tanzania waeleza.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Je magari yenye huduma za 'kukabiliana' na corona China ni 'njama'?
Watengenezaji magari nchini China wanaangazia wasiwasi wa kiafya kupitia uzinduzi wa magari ambayo yana huduma za kukabiliana na virusi vya virusi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania