Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya Corona: Maswali yaibuka juu ya uwazi wa taarifa za corona Tanzania

Maambukizi ya virusi vya corona yafikia 480 nchini Tanzania.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hatari ya kuambukizwa corona Dar es Salaam ipo juu yasema Marekani

Hatari ya kupata maambukizi ya Corona jijini Dar es Salaam ni kubwa sana. Licha ya kwamba taarifa hazitolewi mara kwa mara, ubalozi wa Marekani Tanzania waeleza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Taarifa ambazo si sahihi kuhusu corona zimetapakaa Afrika?

Madai kuhusu virusi Corona ambayo hayana udhibitisho zimetapakaa katika mataifa mbalimbali Afrika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Ubalozi wa Marekani Tanzania waendelea kutoa tahadhari juu ya maambukizi

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa tahadhari mpya ya afya na kusisitiza kuwa hatari ya maambukizi ya virusi vya corona bado ipo juu jijini Dar es Salaam.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mashine ya kupima corona 'yakutwa na hitilafu Tanzania'

Wizara ya afya nchini Tanzania imebaini kuwa palikuwa na upungufu katika mfumo wa kimuundo na kiutendaji katika kukabiliana na covid-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, Tanzania inajitenga na majirani kwenye mapambano ya corona?

Kufungwa kwa mpaka wa Tanzania na Zambia kumeongeza mjadala wa namna Tanzania inavyopambana na corona na athari kwa nchi zinazoizunguka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yasema 'adui si Tanzania ni Corona'

Balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan Kazungu, ametetea hatua ya Kenya kufunga mpaka na majirani zake akisema kuwa haiwalengi Watanzania.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wagonjwa wanne wa Corona waongezeka Tanzania

Tanzania imethibitisha kuwepo kwa watu wanne walioambukizwa virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mazishi ya usiku na hofu ya corona Tanzania

Baadhi wana hofu kuwa mamlaka nchini Tanzania halichukulii janga kwa uzito wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani