Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNASEMA WA NINI, WENZAKO WANAJIULIZA WATAMPATA LINI?

HUU ni msemo maarufu sana katika jamii yetu. Umekuwa ukitumika kama moja ya misemo ya kupeana faraja baina ya watu, kwani mahangaiko na mizunguko ya maisha inawafanya watu wengine kukata tamaa mapema, wakiamini kuwa wao hawana thamani. Ndiyo, kuna watu wengi wanaumizwa sana na mapenzi, wakubwa kwa wadogo. Wapo wanaoumia sana wakiwa katika ndoa zao, kinachowaumiza ni nyenendo zenye kutia shaka za wenza wao. Siyo kwamba wana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHOGA, CHAKULA ULE WEWE KWA NINI UWAKERE WENZAKO?

Shoga zangu, leo nitazunguma nanyi ‘topiki’ inayohuwahusu wenzetu wanaoishi katika nyumba ambazo hazina silingibodi.Naamini hakuna mtu asiyejua maana ya silingibodi, kama wapo ambao nitakuwa nimewaacha hewani, namaanisha wenzetu wanaoishi kwenye nyumba ambazo darini hakujazibwa. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1GiCHTx

 

11 years ago

GPL

USIPORIDHIKA NA KUMSIFIA MKEO, WENZAKO WATAMSIFIA - 2

Mpenzi msomaji wangu, kuna wanaume naweza kusema hawajui mapenzi ni nini na vipi yanaweza kuboreshwa. Baadhi yao wanapuuza vitu vidogovidogo ambavyo huenda wangevifanya vingeliboresha penzi lao. Kabla ya kwenda kwenye mada yenyewe, nikupe kisa kimoja. Kuna dada mmoja ameolewa na anafanya kazi benki. Dada huyu kila akitoka hujitahidi kuvaa vizuri lakini mume wake hajawahi kumwambia amependeza. Mwanamke huyo akitoka nyumbani kwake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye wenzako hawakuelewi kwa haya

MOJA kati ya mambo yanayowakwaza vijana wengi nchini ni kutotimizwa kwa ahadi za kuboreshewa mazingira ya kufanya kazi, kusaidiwa kifedha pamoja na ahadi wanazopewa na viongozi wanapofanya kampeni za kutafuta...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: UKIMDHARAU MUMEO WENZAKO WATAMCHUKUA JUMLA

Shoga, awali ya yote napenda kuwaasa kwamba ukifika muda wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Kupiga Kura kwenye maeneo yenu, jitokezeni kwa wingi  kujiandikisha ili mpate fursa ya kuwachagua viongozi mnaowataka akiwemo rais kwani bila kufanya hivyo hamtapata nafasi hiyo. Baada ya kutoa rai hiyo, sasa ngoja nirejee kwenye jambo nililokusudia kuzungumza nanyi linalohusu dharau dhidi ya waume zetu tabia ambayo inafanywa...

 

5 years ago

BBCSwahili

'Bangi ilikuwa ikichomwa wakati wa ibada' na Waisraeli wa zamani - utafiti unasema

Mabaki ya bangi yamepatikana katika madhabahu yaliopo katika hekalu lililopo jangwani nchini Israel.

 

10 years ago

Vijimambo

Utafiti unasema 60% ya akina dada wafanyakazi wamepata kazi kwa kutoa rushwa ya ngono

Kumekuwa na tabia ya wanawake kutoa rushwa ya ngono makazini Kwa Research yangu Ndogo nimegunduaAsilimia 60 ya wanawake wanaopata hivyo vitu makazini ni kwa kutoa rushwa ya ngono30 ni kwa ajili wao wana watu wanaowajua10 wao wameingia kwa njia ya kawaidaHii imetokea sana hata humu ndani wapo wahanga mbalimbali ya wanawake mbalimbali walioingia kwenye hii disaster kwa pande zote mbiliWanaume nameWanawakeNilichogundua kuwa hii kitu haiepukiki kwani kwa mfumo wa maisha ulivyo tight halafu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hdroxychloroquine inaongeza hatari ya kifo' kwa wagonjwa wa Covid, utafiti unasema

Wagonjwa walio hospitali wenye virusi vya corona wanaotibiwa kwa dawa ya hydroxychloroquine walikuwa katika hatari ya kufa, utafiti umeonesha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Masheha watabadilika lini?

DUNIA hii ina viumbe vya kila aina na hutofautiana kwa kila namna kuanzia kimwili, kiakili, kitabia, mwendo na hata vyakula. Leo nataka nijikite zaidi katika tofauti ya kitabia baina ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mizaha hii ya JK hadi lini?

MTU yeyote aliyezoea mizaha (maneno au vitendo vya kumfanyia mtu masihara; goya, utani, dhihaka) hawawezi kuhangaika kumtafakari sana Rais wetu Jakaya Kikwete. Kwa mtu wa aina hiyo kila atakachokisema au...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani