Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samata aongoza kupachika mabao TP Mazembe 2013

Kuna mamia kama siyo maelfu ya wanasoka sehemu mbalimbali duniani walishuhudiwa wakiufunga mwaka 2013 kwa mafanikio makubwa na kuandika historia zitakazokumbukwa daima.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Samata aipiga 3, aivusha Mazembe Afrika

MSHAMBULIAJI nyota wa Tanzania, Mbwana Samata juzi alifunga mabao matatu kuiwezesha TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kuingia nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

11 years ago

TheCitizen

Samata, Ulimwengu back in action for TP Mazembe

TP Mazembe are 90 minutes away from securing their 2014 CAF Champions League semfinal place tomorrow when they host Al Hilal of Sudan in a penultimate Group A fixture.

 

11 years ago

TheCitizen

Samata’s heroics push Mazembe to group stage

TP Mazembe have advanced to the group stage of the CAF Champions League after beating Sewe Sport of Cote d’Ivoire 1-0 on Saturday at Kamalondo Stadium in Lubumbashi.

 

11 years ago

Mwananchi

Samata moto ule ule TP Mazembe

Mshambuliaji Mbwana Samata ameibuka shujaa wa TP Mazembe baada ya kuifungia bao pekee katika mechi dhidi ya AS Vita walipowakishinda bao 1-0 dhidi ya AS Vital katika mchezo wa kwanza wla Kundi A wa Ligi ya Mabingwa Afrika ulilopigwa mwishoni mwa wiki kwenyeatika Uwanja wa Stade TP Mazembe, Lubumbashi.

 

9 years ago

Bongo5

2015 Forbes Africa’s 50 Richest: Dangote aongoza Afrika, Dewji aongoza Tanzania akifatiwa na Rostam

dangote-dewji-rostam

Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya Matajiri 50 wa Afrika ‘2015 Forbes Africa’s 50 Richest People’, ambapo mwekezaji mkubwa wa Nigeria, Aliko Dangote ameshika nafasi ya kwanza kwa utajiri wa Dola Billion 16.5.

forbes1

Watanzania walioingia kwenye rodha hiyo ni Mohammed Dewji aliyeshika nafasi ya 21 kwa Afrika na namba moja kwa Tanzania, akifatiwa na Rostam Aziz aliyeshika namba 25 kwa Afrika na nafasi ya pili kwa Tanzania. Mwingine ni Said Salim Bakhresa aliyekamata nafasi ya 36 kwa Afrika na...

 

9 years ago

Habarileo

Samata kimeeleweka

MENEJA wa mshambuliaji nyota wa TP Mazembe Mbwana Samatta, Jamal Kisongo amesema taratibu za Samatta kujiunga na klabu ya Genk ya Ubelgiji zimekamilika.

 

11 years ago

Mwananchi

Samata amtetea Kapombe

Mshambuliaji wa TP Mazembe na Tanzania, Mbwana Samata  amesema watu wasiwe mahiri wa kuwalaumu wachezaji wanaorudi nchini kutoka nje ya nchi kwa majaribio kwani kuna mambo mengi magumu ambayo hayavumiliki.

 

11 years ago

Mwananchi

Samata: Tukijituma tunaitoa Msumbiji

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbwana Samata amesema upo uwezekano wa kuitoa Msumbiji kwao, kama kila mmoja atatimiza majukumu yake ipasavyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Samata atuma salamu Malawi

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samata aimeitumia salamu Malawi baada ya kufunga mabao mawili na kuiongoza TP Mazembe kuichapa Al-Merreikh 3-0 na kufuzu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani