Samata: Tukijituma tunaitoa Msumbiji
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbwana Samata amesema upo uwezekano wa kuitoa Msumbiji kwao, kama kila mmoja atatimiza majukumu yake ipasavyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...
9 years ago
Habarileo27 Dec
Samata kimeeleweka
MENEJA wa mshambuliaji nyota wa TP Mazembe Mbwana Samatta, Jamal Kisongo amesema taratibu za Samatta kujiunga na klabu ya Genk ya Ubelgiji zimekamilika.
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Samata amtetea Kapombe
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Samata atuma salamu Malawi
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Samata, Ulimwengu ni mfano wa kuigwaÂ
MOJA ya habari za michezo katika vyombo mbalimbali leo ni hatua ya wanasoka wa kimataifa wa Tanzania wanaocheza soka ya kulipwa nchini DR Congo, Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kwenda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6YQqAONcG0NrbCWZLZdogIlMUsXZhp5lAbfSig*cvZhAs2jJF-jWvgRjg-bvyo8RvqEHqIVAXYGlGI5K3VqYFR3HO5wBnme/SAMATTA.jpg)
ULIMWENGU, SAMATA WAJIUNGA STARS
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L8Ge94vClkI/U3UStG_muSI/AAAAAAAFh8M/pqIVqNX-Ep4/s72-c/TFF+Logo.jpg)
SAMATA, ULIMWENGU KUTUA JUMAMOSI
![](http://3.bp.blogspot.com/-L8Ge94vClkI/U3UStG_muSI/AAAAAAAFh8M/pqIVqNX-Ep4/s1600/TFF+Logo.jpg)
Washambuliaji hao watatokea moja kwa moja Sudan ambapo kesho (Mei 16 mwaka huu) TP Mazembe itacheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya timu ya huko.
Ujio wa washambuliaji hao utafanya wachezaji wote kutoka nje...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qzCCWU2spRc/U8O0cohXJ7I/AAAAAAAF2EA/pjVQseLA4D8/s72-c/download.jpg)
ULIMWENGU, SAMATA KUWASILI JUMATANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-qzCCWU2spRc/U8O0cohXJ7I/AAAAAAAF2EA/pjVQseLA4D8/s1600/download.jpg)
Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika (AFCON) kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Mambas itachezwa Jumapili (Julai 20 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ulimwengu na Samata watawasili saa 12 asubuhi kwa ndege ya EgyptAir wakitokea Tunisia...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Samata, Ulimwengu kuwakosa Burundi
NYOTA wa kimataifa, Mbwana Samata, Thomas Ulimwengu na Mwinyi Kazimoto, wako shakani kucheza mechi ya kirafiki ya Tanzania na Burundi itakayopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Aprili 26,...