Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samata kimeeleweka

MENEJA wa mshambuliaji nyota wa TP Mazembe Mbwana Samatta, Jamal Kisongo amesema taratibu za Samatta kujiunga na klabu ya Genk ya Ubelgiji zimekamilika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA kimeeleweka

KATIKA kuhakikisha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinang’oka madarakani, vyama vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vinakusudia kufunga mkaba wa kusimamisha mgombea mmoja katika ngazi zote za uchaguzi....

 

10 years ago

Tanzania Daima

IPTL kimeeleweka

HATIMAYE sakata la kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Tegeta Escrow, zilizohifadhiwa kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), litajadiliwa bungeni Novemba 27 na 28 mwaka huu, imebainika. Hatua hiyo imefikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura kimeeleweka Simba

MGOMBEA aliyeenguliwa kuwania urais wa Klabu ya Simba katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Juni 29, Michael Wambura, amerejeshwa rasmi katika kinyang’anyiro hicho baada ya kushinda rufaa yake. Wambura, alienguliwa na Kamati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kimeeleweka Bunge la Katiba

BAADA ya msuguano wa siku 21, hatimaye wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameipitisha rasimu ya kanuni zitakazotumika kuendesha vikao vya Bunge hilo huku wakiweka kiporo utaratibu wa upigaji kura....

 

11 years ago

GPL

BATULI, MTUNISI KIMEELEWEKA

Stori:Musa Mateja na Gladness Mallya
WASANII wawili wa filamu, Nice Mohamed ‘Mtunisi’ na Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ambao walikuwa wapenzi kabla ya kuachana na mwanaume huyo kuoa, sasa wamerudiana rasmi. Staa wa filamu Bongo Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Kwa mujibu wa chanzo chetu kilicho jirani na wasanii hao kimesema wawili hao hivi sasa wanapika na kupakua.Kilisema baada ya kurudiana, kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Hatimaye wafanyakazi Tazara kimeeleweka

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) wamelipwa mishahara yao ya miezi minne waliyokuwa wakidai .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zawadi Ligi Kuu kimeeleweka

WADHAMINI wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom, leo inatarajiwa kutoa zawadi kwa washindi mbalimbali wa ligi hiyo iliyofikia tamati Aprili 19, mwaka huu. Katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ephraim Sekeleti kimeeleweka Tamasha la Pasaka

MUIMBAJI wa muziki wa Injili raia wa Zambia, Ephraim Sekeleti, naye amepata nafasi ya kushiriki kwenye Tamasha la Pasaka linalotarajiwa kuanza Aprili 20 jijini Dar es Salaam. Sekeleti, mmoja wa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar.

NA RAHMA SULEIMAN 7th September 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia United Democratic Party (UPDP) Mwajuma Ali Khamis, ameshindwa kurejesha fomu na kukosa sifa ya kugombea. Mwajuma alikuwa miongoni mwa wagombea 15 waliochukua fomu Tume ya […]

The post Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar. appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani