IPTL kimeeleweka
HATIMAYE sakata la kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Tegeta Escrow, zilizohifadhiwa kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), litajadiliwa bungeni Novemba 27 na 28 mwaka huu, imebainika. Hatua hiyo imefikiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo27 Dec
Samata kimeeleweka
MENEJA wa mshambuliaji nyota wa TP Mazembe Mbwana Samatta, Jamal Kisongo amesema taratibu za Samatta kujiunga na klabu ya Genk ya Ubelgiji zimekamilika.
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
UKAWA kimeeleweka
KATIKA kuhakikisha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinang’oka madarakani, vyama vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vinakusudia kufunga mkaba wa kusimamisha mgombea mmoja katika ngazi zote za uchaguzi....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8T9z0-k3jLwqsoDScbDVgP2JeUT9esWWqSA0ygBg2aIiqkMek09ajKYajfixqFcLtFO-SNEb8G9TZawD6sLtaNt/BATULI.gif?width=650)
BATULI, MTUNISI KIMEELEWEKA
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Wambura kimeeleweka Simba
MGOMBEA aliyeenguliwa kuwania urais wa Klabu ya Simba katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Juni 29, Michael Wambura, amerejeshwa rasmi katika kinyang’anyiro hicho baada ya kushinda rufaa yake. Wambura, alienguliwa na Kamati...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Kimeeleweka Bunge la Katiba
BAADA ya msuguano wa siku 21, hatimaye wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameipitisha rasimu ya kanuni zitakazotumika kuendesha vikao vya Bunge hilo huku wakiweka kiporo utaratibu wa upigaji kura....
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Zawadi Ligi Kuu kimeeleweka
WADHAMINI wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom, leo inatarajiwa kutoa zawadi kwa washindi mbalimbali wa ligi hiyo iliyofikia tamati Aprili 19, mwaka huu. Katika...
10 years ago
Habarileo10 Sep
Hatimaye wafanyakazi Tazara kimeeleweka
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) wamelipwa mishahara yao ya miezi minne waliyokuwa wakidai .
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Ephraim Sekeleti kimeeleweka Tamasha la Pasaka
MUIMBAJI wa muziki wa Injili raia wa Zambia, Ephraim Sekeleti, naye amepata nafasi ya kushiriki kwenye Tamasha la Pasaka linalotarajiwa kuanza Aprili 20 jijini Dar es Salaam. Sekeleti, mmoja wa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Sep
Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar.
NA RAHMA SULEIMAN 7th September 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia United Democratic Party (UPDP) Mwajuma Ali Khamis, ameshindwa kurejesha fomu na kukosa sifa ya kugombea. Mwajuma alikuwa miongoni mwa wagombea 15 waliochukua fomu Tume ya […]
The post Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar. appeared first on Mzalendo.net.