BATULI, MTUNISI KIMEELEWEKA
![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8T9z0-k3jLwqsoDScbDVgP2JeUT9esWWqSA0ygBg2aIiqkMek09ajKYajfixqFcLtFO-SNEb8G9TZawD6sLtaNt/BATULI.gif?width=650)
Stori:Musa Mateja na Gladness Mallya WASANII wawili wa filamu, Nice Mohamed ‘Mtunisi’ na Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ambao walikuwa wapenzi kabla ya kuachana na mwanaume huyo kuoa, sasa wamerudiana rasmi. Staa wa filamu Bongo Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Kwa mujibu wa chanzo chetu kilicho jirani na wasanii hao kimesema wawili hao hivi sasa wanapika na kupakua.Kilisema baada ya kurudiana, kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwMC*hHjMKHk-*AzwMYesUhPGAOBmBAlMHloTJra*riPQbxsItQzxD-w3lDs3JYbge8jIByFEbzpcrhi1-AH5rLT/BATULI.jpg)
BATULI: SITAKI HABARI ZA MTUNISI
10 years ago
Bongo Movies06 Dec
BATULI: Mtunisi Hana Mvuto Kwangu, Nimepata Mzungu
Msanii ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwigizaji Nice Mohammed ‘ Mtunis ’ aitwaye batuli, amemchana zilipendwa wake huyo kwa kumwambia hana mvuto!
Kuonesha msisitizo, Batuli alisema kwa Mtunis ilikuwa ni kama daraja tu , alishapita hivyo hana mpango naye tena kwani tayari amepata mchumba wa Kizungu , raia wa nchi moja barani Afrika, ambaye muda wowote atamtangaza kuwa mume wake .
Alisema anaamini kwamba si kila jambo lililowahi kumtokea lina maana kwake kwani hata kutoka na Mtunis ilikuwa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgSx6UpEtSG2IpaVaMp-Lqr0wKSbOnSiy-qsjl8bxTGyJEVyB56gvjx9LwEo*6LFp3Z-RJnKbfUTaB1O2KAgCboO/MTUNUSI.jpg)
MTUNISI AKIONA CHA MOTO MAHAKAMANI
10 years ago
Bongo Movies03 Dec
INASIKITISHA: Mtunisi afikishwa mahakamani kwa kumpiga mkewe.
Mtunisi alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo Manzese Sinza jijini Dar es Salaam Jumatatu iliyopita, ambapo baada ya kusomewa shtaka lake la kushambulia mwili, mtuhumiwa alikana na hivyo hakimu kuahirisha kesi hiyo hadi Desemba 15 mwaka huu itakapotajwa tena.
Hata hivyo, Mtunisi alishindwa kupewa dhamana baada ya hakimu kutoridhishwa na afya ya mwanamke huyo, Aziz ambaye anaugulia nyumbani.Katika hali nyingine, walinzi wa mahakama hiyo walionyesha mizengwe mikubwa kwa waandishi wa habari...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
IPTL kimeeleweka
HATIMAYE sakata la kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Tegeta Escrow, zilizohifadhiwa kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), litajadiliwa bungeni Novemba 27 na 28 mwaka huu, imebainika. Hatua hiyo imefikiwa...
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
UKAWA kimeeleweka
KATIKA kuhakikisha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinang’oka madarakani, vyama vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vinakusudia kufunga mkaba wa kusimamisha mgombea mmoja katika ngazi zote za uchaguzi....
9 years ago
Habarileo27 Dec
Samata kimeeleweka
MENEJA wa mshambuliaji nyota wa TP Mazembe Mbwana Samatta, Jamal Kisongo amesema taratibu za Samatta kujiunga na klabu ya Genk ya Ubelgiji zimekamilika.
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
NICE MOHAMED ‘MTUNISI’: Msanii aliyekacha kurusha ndege kwa kunogewa uigizaji
TASNIA ya filamu ni miongoni mwa sekta ambazo zimefanikiwa kutoa ajira nyingi kwa vijana wa Kitanzania katika miaka ya hivi karibuni, hali inayosaidia kupunguza tabia za vijana kukaa vijiweni. Hata...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Kimeeleweka Bunge la Katiba
BAADA ya msuguano wa siku 21, hatimaye wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameipitisha rasimu ya kanuni zitakazotumika kuendesha vikao vya Bunge hilo huku wakiweka kiporo utaratibu wa upigaji kura....