BATULI: SITAKI HABARI ZA MTUNISI
![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwMC*hHjMKHk-*AzwMYesUhPGAOBmBAlMHloTJra*riPQbxsItQzxD-w3lDs3JYbge8jIByFEbzpcrhi1-AH5rLT/BATULI.jpg)
Stori: Gladness Mallya WAMEMALIZANA! YOBNESH Yusuph ‘Batuli’ anayekimbiza kunako soko la Bongo Movies, amefunguka kuwa hataki kusikia habari za aliyekuwa mpenzi wake aliye pia msanii mwenzake, Mtunisi kwani mapenzi yalishaisha. Staa anayekimbiza kunako soko la Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli akipozi. Akistorisha na paparazi wetu, Batuli alisema hataki kumsikia wala kujua habari za Mtunisi kwani mapenzi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8T9z0-k3jLwqsoDScbDVgP2JeUT9esWWqSA0ygBg2aIiqkMek09ajKYajfixqFcLtFO-SNEb8G9TZawD6sLtaNt/BATULI.gif?width=650)
BATULI, MTUNISI KIMEELEWEKA
10 years ago
Bongo Movies06 Dec
BATULI: Mtunisi Hana Mvuto Kwangu, Nimepata Mzungu
Msanii ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwigizaji Nice Mohammed ‘ Mtunis ’ aitwaye batuli, amemchana zilipendwa wake huyo kwa kumwambia hana mvuto!
Kuonesha msisitizo, Batuli alisema kwa Mtunis ilikuwa ni kama daraja tu , alishapita hivyo hana mpango naye tena kwani tayari amepata mchumba wa Kizungu , raia wa nchi moja barani Afrika, ambaye muda wowote atamtangaza kuwa mume wake .
Alisema anaamini kwamba si kila jambo lililowahi kumtokea lina maana kwake kwani hata kutoka na Mtunis ilikuwa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TtwBo078M6hxhZgRqqyWHIKMH22Ifsy0IRMe535nXDhO4XQv0sZCeOCJqrCHy7Wc0soXJ6ioUUJVsx4n09DK0i9hcernIs0N/chuchu.jpg)
JOHARI: SITAKI KUSIKIA HABARI ZA CHUCHU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgSx6UpEtSG2IpaVaMp-Lqr0wKSbOnSiy-qsjl8bxTGyJEVyB56gvjx9LwEo*6LFp3Z-RJnKbfUTaB1O2KAgCboO/MTUNUSI.jpg)
MTUNISI AKIONA CHA MOTO MAHAKAMANI
10 years ago
Bongo Movies03 Dec
INASIKITISHA: Mtunisi afikishwa mahakamani kwa kumpiga mkewe.
Mtunisi alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo Manzese Sinza jijini Dar es Salaam Jumatatu iliyopita, ambapo baada ya kusomewa shtaka lake la kushambulia mwili, mtuhumiwa alikana na hivyo hakimu kuahirisha kesi hiyo hadi Desemba 15 mwaka huu itakapotajwa tena.
Hata hivyo, Mtunisi alishindwa kupewa dhamana baada ya hakimu kutoridhishwa na afya ya mwanamke huyo, Aziz ambaye anaugulia nyumbani.Katika hali nyingine, walinzi wa mahakama hiyo walionyesha mizengwe mikubwa kwa waandishi wa habari...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
NICE MOHAMED ‘MTUNISI’: Msanii aliyekacha kurusha ndege kwa kunogewa uigizaji
TASNIA ya filamu ni miongoni mwa sekta ambazo zimefanikiwa kutoa ajira nyingi kwa vijana wa Kitanzania katika miaka ya hivi karibuni, hali inayosaidia kupunguza tabia za vijana kukaa vijiweni. Hata...
11 years ago
Bongo Movies18 Jul
Mtunisi Awachana "LIVE" Diamond na Wema Sepetu kwa kuendekeza ‘mapenzi’ wakati wa mwezi mtukufu.
Msanii mkongwe wa filamu nchini, nice mohamed aka mtunisi amewapa makavu live mastaa wenzie ,diamond pamoja na hawara yake wema sepetu aka mama ubaya ,kwa kitendo alichokifanya staa huyo wa filamu(wema) kufutarisha nyumbani kwake na kumkaribisha harawa yake(Diamond) pamoja na mama mkwe wake(haijulikani mkwewe kwa nani na kwa ndoa ipi) bi sanura kitendo ambacho mtunisi amekiona ni kinyume na dini yao hiyo ya kiislamu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPPX0oQx7I0jzHY27HIJh2fWoKlZo*idQpNqjja4xXXMVI7bS1ElsswWofs-G2MGCahYOthvy1OK2sX8k3tV1NZ/batuli.jpg?width=650)
BATULI KUOLEWA SOON