BATULI: Mtunisi Hana Mvuto Kwangu, Nimepata Mzungu
Msanii ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwigizaji Nice Mohammed ‘ Mtunis ’ aitwaye batuli, amemchana zilipendwa wake huyo kwa kumwambia hana mvuto!
Kuonesha msisitizo, Batuli alisema kwa Mtunis ilikuwa ni kama daraja tu , alishapita hivyo hana mpango naye tena kwani tayari amepata mchumba wa Kizungu , raia wa nchi moja barani Afrika, ambaye muda wowote atamtangaza kuwa mume wake .
Alisema anaamini kwamba si kila jambo lililowahi kumtokea lina maana kwake kwani hata kutoka na Mtunis ilikuwa ni...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8T9z0-k3jLwqsoDScbDVgP2JeUT9esWWqSA0ygBg2aIiqkMek09ajKYajfixqFcLtFO-SNEb8G9TZawD6sLtaNt/BATULI.gif?width=650)
BATULI, MTUNISI KIMEELEWEKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwMC*hHjMKHk-*AzwMYesUhPGAOBmBAlMHloTJra*riPQbxsItQzxD-w3lDs3JYbge8jIByFEbzpcrhi1-AH5rLT/BATULI.jpg)
BATULI: SITAKI HABARI ZA MTUNISI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH371JEch0UNzLUg6AfsCE2h47NC4IDtgWtCLalZhpJtnIObkwMFO7rwOGmpd32e4EmR-ppdalLJNGfuKhxkamDA/3AMISA.jpg?width=650)
AMISA: DIAMOND HANA CHAKE KWANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJJPnGHfztqjl5j3*20Ts4zc-lR*aQjo-XDC4F9m2SzQ2xHAZzNCfGsgKBfkFadXwGjFI2LnD8gu4Ra1UTE8eO*o/ngasa.gif?width=650)
Ngassa: Nimepata timu Qatar
10 years ago
MichuziNGEJELA: NIMEPATA FUNDISHO KUWANIA URAIS
Na Mwandishi Maalum, Dodoma
MBUNGE...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9HbKdnoM5qI/VNCd-RgmXdI/AAAAAAAAK3w/04vF3CaVpos/s72-c/NIME.png)
USIKOZE SEHEMU YA KWANZA YA SIMULIZI "NIMEPATA NJIA"
![](http://3.bp.blogspot.com/-9HbKdnoM5qI/VNCd-RgmXdI/AAAAAAAAK3w/04vF3CaVpos/s1600/NIME.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p0ZiZvXgHQgHU39qHbOP8ehDkSsn5YgELz*OhIa1fdAV8s1*ID1IdRRNe9H2YAY5d9mfO*iiJZRj9RA6J30b6s8LoviAX9sV/Mlela.jpg)
MLELA: NIMEPATA MTOTO KWA BAHATI MBAYA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgSx6UpEtSG2IpaVaMp-Lqr0wKSbOnSiy-qsjl8bxTGyJEVyB56gvjx9LwEo*6LFp3Z-RJnKbfUTaB1O2KAgCboO/MTUNUSI.jpg)
MTUNISI AKIONA CHA MOTO MAHAKAMANI
10 years ago
Bongo Movies03 Dec
INASIKITISHA: Mtunisi afikishwa mahakamani kwa kumpiga mkewe.
Mtunisi alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo Manzese Sinza jijini Dar es Salaam Jumatatu iliyopita, ambapo baada ya kusomewa shtaka lake la kushambulia mwili, mtuhumiwa alikana na hivyo hakimu kuahirisha kesi hiyo hadi Desemba 15 mwaka huu itakapotajwa tena.
Hata hivyo, Mtunisi alishindwa kupewa dhamana baada ya hakimu kutoridhishwa na afya ya mwanamke huyo, Aziz ambaye anaugulia nyumbani.Katika hali nyingine, walinzi wa mahakama hiyo walionyesha mizengwe mikubwa kwa waandishi wa habari...