Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MLELA: NIMEPATA MTOTO KWA BAHATI MBAYA!

Brighton Masalu
YUSUF Godfrey Willard Mlela, muigizaji nyota wa filamu Bongo, alipata mtoto kwa bahati mbaya baada ya ‘kuuza mechi’ kwa msichana ambaye hakuwa na malengo naye kimaisha, lakini amelazimika kumhudumia kijana wake kwa kila kitu muhimu. muigizaji nyota wa filamu Bongo, Yusuph Godfrey Willard Mlela. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, alisema alikutana na msichana huyo ambaye alikataa kumtaja jina...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mkunga 'amkata' mtoto mchanga shingo Uganda: Je ni uzembe ama bahati mbaya?

Maafisa wa polisi nchini Uganda wanachunguza kisa kimoja ambapo mkunga mmoja aliripotiwa kumuhudumia visivyo mama mjamzito

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama:Mateka waliuawa kwa bahati mbaya

Marekani imetangaza kuwa watu wawili waliokuwa wamezuiliwa na wapiganaji katika nyumba moja nchini Afghanistan, waliuwawa kimakosa na majeshi ya Marekani

 

10 years ago

Mwananchi

Goli la mkono si la bahati mbaya

Uchaguzi Mkuu unakaribia. Kukaribia kwa uchaguzi huu, kumeanza kuzuka kwa kauli tata kutoka kwa baadhi ya wanasiasa.

 

11 years ago

GPL

MFUNGO WAMZUIA MLELA KWA MPENZIWE

Stori: Gladness Mallya NYOTA wa filamu Bongo, Yusuph Mlela hataweza kuonana na mpenzi wake ambaye pia ni mzazi mwenzake kutokana na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Nyota  wa filamu Bongo, Yusuph Mlela. Akipiga stori na gazeti hili, Mlela alisema alikuwa na desturi ya kwenda kwa mzazi mwenzake kila siku kwa ajili ya kwenda kumuona mwanaye, Mwantumu lakini kwa mwezi huu itakuwa ngumu kutokana na misingi ya dini yake....

 

10 years ago

GPL

Ngassa: Nimepata timu Qatar

Mchezaji wa Yanga, Mrisho Ngassa. Wilbert Molandi na Hans Mloli
BAADA ya kutoa kauli kuwa anaondoka Yanga, hatimaye kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Mrisho Ngassa, amefunguka juu ya kule anapoelekea baada ya kuondoka klabuni hapo. Ngassa ameliambia gazeti hili katika mahojiano maalum kuwa, kuna timu tatu za nchi tatu tofauti ambazo anafanya nazo mazungumzo na muda wowote anaweza kumalizana na mojawapo, kisha atataja rasmi...

 

9 years ago

Mwananchi

Siku 67 za bahati kwa Dk Tulia Ackson

Dar es Salaam. Dk Tulia Ackson huenda akawa mmoja wa Watanzania wachache wenye bahati ya kupata vyeo tofauti vya juu nchini ndani ya siku 67.

 

10 years ago

Michuzi

NGEJELA: NIMEPATA FUNDISHO KUWANIA URAIS

 MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja akibadilisha mawazo na wabunge wenzake, Ezekiel Maige (Msalala) na Dk. Dalaly Peter Kafumu (Igunga), wakati aliporejesha fomu kwenye ofisi za Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma.MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja, akirejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia CCM kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Rajab Luhwavi, kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho mjini Dodoma, jana.
Na Mwandishi Maalum, Dodoma
MBUNGE...

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaenda kujaribu bahati kwa Ndanda

WAKATI michuano ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara ikitarajiwa kuendelea kesho na keshokutwa katika viwanja mbalimbali nchini, timu ya Azam inatarajiwa kuondoka leo kwenda Mtwara kuifuata Ndanda FC ya huko, huku Simba ikiwa jijini Mbeya kuikabili Prisons na Yanga ikiwakaribisha Toto Africans jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Wimbo unapotamba ni bahati au mkosi kwa msanii?

Ndoto ya kila msanii wa muziki ni kurekodi wimbo mzuri utakaopendwa na mashabiki na utakaochezwa kila mara kwenye vituo vya redio pamoja na kushika chart mbalimbali. Pia ndoto ya kila msanii ni kutoa wimbo utakaompa tuzo na kumpa show nyingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani