Wimbo unapotamba ni bahati au mkosi kwa msanii?
Ndoto ya kila msanii wa muziki ni kurekodi wimbo mzuri utakaopendwa na mashabiki na utakaochezwa kila mara kwenye vituo vya redio pamoja na kushika chart mbalimbali. Pia ndoto ya kila msanii ni kutoa wimbo utakaompa tuzo na kumpa show nyingi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s72-c/Master%2BJ.jpg)
Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25
![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s640/Master%2BJ.jpg)
9 years ago
Bongo522 Dec
COSOTA yataja kiasi atakacholipwa msanii kwa kila wimbo au video itakayochezwa kwenye Redio au TV
![majani](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/majani-300x194.jpg)
Miongoni mwa maswali mengi ambayo yanaendelea kuulizwa kuhusiana na utaratibu mpya wa vyombo vya habari kuanza kuwalipa wasanii kwa kucheza nyimbo zao kuanzia mwakani, ni pamoja na kiasi gani msanii atakuwa analipwa.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama cha Hakimiliki Tanzania (Cosota), Doreen Sinare alisema kuwa wanamuziki, watunzi na maproducer watalipwa asilimia 60 kwa kila wimbo au video itakayochezwa katika redio na televisheni yoyote ndani na nje ya nchi kwa kutumia vifaa bora vilivyowekwa na...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
10 years ago
Michuzi10 Feb
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8fVgWl7OpGg/XvX58j4f0FI/AAAAAAALvk8/6JLpDswIEIMNViZCbDU6JnqMDPOytcetwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200625-WA0575.jpg)
MSANII WA NIGERIA OLAKIRA KUACHIA WIMBO MPYA WA ‘IN MY MASERATI’
![](https://1.bp.blogspot.com/-8fVgWl7OpGg/XvX58j4f0FI/AAAAAAALvk8/6JLpDswIEIMNViZCbDU6JnqMDPOytcetwCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200625-WA0575.jpg)
MSANII nyota wa miondoko ya Afro Pop, Pop na RnB kutoka Nchini Nigeria, Adefemi Ebenezer maarufu kama Olakira Ijumaa ya 26 Juni anatarajia rasmi kuachia wimbo mpya wa ‘In my Maserati’. Olakira anayetamba na nyimbo bora mbalimbali zikiwemo ‘Aya Mi’, ‘Wakanda Jollof na zingine nyingi ambapo kwa sasa anakuja ba ujio mpya wa wimbo wake...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7hRyefEXhvs/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Sep
MSANII METTY KUZINDUA WIMBO WAKE MPYA "NAJUA" JUMATANO HII
![](https://4.bp.blogspot.com/-nVKf2TpA2As/VCLmBJqrmsI/AAAAAAAAJyg/knPqiFPgQ1w/s1600/metyy%2B-najua.jpg)
Wimbo huo amashirikishwa msanii Conrad anaekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa bongo flava ikiwa wapenzi wengi wa muziki wa kizazi kipya watapata nafasi ya kumfahamu msanii huyo.Najua ni wimbo uliotayarishwa katika studio mpya za kisasa Centric Records chini ya producer Eng.Davy Machords.
Metty amewaomba wadau na...
10 years ago
Michuzi05 Nov
10 years ago
Dewji Blog31 May
Download na Sikiliza wimbo mpya msanii Wiz Tayson Ft Barnaba — Sijutii
Barnaba ameingia katika list ya wasanii wakubwa walioshiriki katika kazi za wasanii wengine na ndiye msanii anayeongoza kusaidia wasanii wanaochipukia katika muziki wa Bongo Fleva kwa mwaka 2015.
Safari hii Barnaba anasikika kwenye kiitikio cha wimbo mpya kabisa wa Hip Hop alioshirikiswa na Wiz Tayson kutoka Maskan ya B.O.B Click.
Wiz Tayson wimbo wake mpya huu ameupatia jina la SIJUTII alioufanyia katika studio za Kir record chini ya muandaaji Rash Don.
Sijutii Wiz anazungumzia maisha ya...