MSANII METTY KUZINDUA WIMBO WAKE MPYA "NAJUA" JUMATANO HII
Wmbo mpya ya msanii Metty iitwayo "Najua" inatarajiwa kuzinduliwa tarehe 1 Octoba siku ya jumatano ya wiki hii katika vyombo mbalimbali vya habari ndani na nje ya Tanzania.
Wimbo huo amashirikishwa msanii Conrad anaekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa bongo flava ikiwa wapenzi wengi wa muziki wa kizazi kipya watapata nafasi ya kumfahamu msanii huyo.Najua ni wimbo uliotayarishwa katika studio mpya za kisasa Centric Records chini ya producer Eng.Davy Machords.
Metty amewaomba wadau na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uGGy25sdyjc/VCw7odZ67XI/AAAAAAAGnHc/Jy2yNyeNC-0/s72-c/metyy%2B-najua.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
10 years ago
Vijimambo11 Feb
10 years ago
Vijimambo30 Nov
10 years ago
Michuzi05 Nov
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8fVgWl7OpGg/XvX58j4f0FI/AAAAAAALvk8/6JLpDswIEIMNViZCbDU6JnqMDPOytcetwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200625-WA0575.jpg)
MSANII WA NIGERIA OLAKIRA KUACHIA WIMBO MPYA WA ‘IN MY MASERATI’
![](https://1.bp.blogspot.com/-8fVgWl7OpGg/XvX58j4f0FI/AAAAAAALvk8/6JLpDswIEIMNViZCbDU6JnqMDPOytcetwCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200625-WA0575.jpg)
MSANII nyota wa miondoko ya Afro Pop, Pop na RnB kutoka Nchini Nigeria, Adefemi Ebenezer maarufu kama Olakira Ijumaa ya 26 Juni anatarajia rasmi kuachia wimbo mpya wa ‘In my Maserati’. Olakira anayetamba na nyimbo bora mbalimbali zikiwemo ‘Aya Mi’, ‘Wakanda Jollof na zingine nyingi ambapo kwa sasa anakuja ba ujio mpya wa wimbo wake...
10 years ago
Michuzi10 Feb
10 years ago
Dewji Blog31 May
Download na Sikiliza wimbo mpya msanii Wiz Tayson Ft Barnaba — Sijutii
Barnaba ameingia katika list ya wasanii wakubwa walioshiriki katika kazi za wasanii wengine na ndiye msanii anayeongoza kusaidia wasanii wanaochipukia katika muziki wa Bongo Fleva kwa mwaka 2015.
Safari hii Barnaba anasikika kwenye kiitikio cha wimbo mpya kabisa wa Hip Hop alioshirikiswa na Wiz Tayson kutoka Maskan ya B.O.B Click.
Wiz Tayson wimbo wake mpya huu ameupatia jina la SIJUTII alioufanyia katika studio za Kir record chini ya muandaaji Rash Don.
Sijutii Wiz anazungumzia maisha ya...
10 years ago
Bongo Movies05 Jul
Shilole kuzindua msimu mpya MKASI TV Jumatatu hii
Msanii Shilole Kiuno alimaarufu kama Shishi Baby amepata bahati ya kuzindua msimu mpya wa kipindi cha Mkasi TV ambacho kinarushwa kila siku ya Jumatatu kuanzia saa tatu na nusu usiku kupitia Televisheni namba moja kwa vijana EATV.
Mkasi TV inarejea tena kwa kasi kubwa baada ya kufanyiwa mabadiliko na kuboreshwa zaidi ili kuleta hamasa na kuzidi kuwahamasisha watazamaji kuendelea kuwa katika familia hiyo inayokuwa kila siku, muonekano mpya wa mkasi TV hautafanana na ule wa awali.
Shilole...