Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngassa: Nimepata timu Qatar

Mchezaji wa Yanga, Mrisho Ngassa. Wilbert Molandi na Hans Mloli
BAADA ya kutoa kauli kuwa anaondoka Yanga, hatimaye kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Mrisho Ngassa, amefunguka juu ya kule anapoelekea baada ya kuondoka klabuni hapo. Ngassa ameliambia gazeti hili katika mahojiano maalum kuwa, kuna timu tatu za nchi tatu tofauti ambazo anafanya nazo mazungumzo na muda wowote anaweza kumalizana na mojawapo, kisha atataja rasmi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0

Siphiwe Tshabalala alipigia msumari wa moto jeneza la Free State jana

TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.

PG4A5517

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw.  Otty Msuku  ambaye ni Mtanzania ,  Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar  wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5521

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...

 

10 years ago

BBCSwahili

Qatar 2022: Qatar yapinga madai ya Amnesty

Qatar imepinga madai ya Amnesty International kuwa inawadhulumu wafanyikazi wanaojenga viwanja

 

10 years ago

Michuzi

NGEJELA: NIMEPATA FUNDISHO KUWANIA URAIS

 MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja akibadilisha mawazo na wabunge wenzake, Ezekiel Maige (Msalala) na Dk. Dalaly Peter Kafumu (Igunga), wakati aliporejesha fomu kwenye ofisi za Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma.MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja, akirejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia CCM kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Rajab Luhwavi, kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho mjini Dodoma, jana.
Na Mwandishi Maalum, Dodoma
MBUNGE...

 

10 years ago

Michuzi

USIKOZE SEHEMU YA KWANZA YA SIMULIZI "NIMEPATA NJIA"

Ulikuwa ni usiku wa manane majira ya saa nane na nusu, ambapo Mzee Jengo alikuwa amepumzika kitandani akiwa na mtoto wake wa kiume ambaye alikuwa anaitwa Rony. Alikuwa ni kijana mdogo mwenye umri  kati ya miaka nane au tisa, Usiku huo hali ya Mzee Jengo ilikuwa si nzuri kwani alianza kujisikia vibaya ghafla kiasi kwamba hata alipojaribu kunyanyuka alishindwa. Kutokana na maumivu makali aliyokuwa akiyasikia aliamua kumuamsha mtoto wake, taratibu alinyoosha mkono na kuanza kumvuta Ronyhuku...

 

10 years ago

GPL

MLELA: NIMEPATA MTOTO KWA BAHATI MBAYA!

Brighton Masalu
YUSUF Godfrey Willard Mlela, muigizaji nyota wa filamu Bongo, alipata mtoto kwa bahati mbaya baada ya ‘kuuza mechi’ kwa msichana ambaye hakuwa na malengo naye kimaisha, lakini amelazimika kumhudumia kijana wake kwa kila kitu muhimu. muigizaji nyota wa filamu Bongo, Yusuph Godfrey Willard Mlela. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, alisema alikutana na msichana huyo ambaye alikataa kumtaja jina...

 

10 years ago

Bongo Movies

BATULI: Mtunisi Hana Mvuto Kwangu, Nimepata Mzungu

Msanii ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwigizaji Nice Mohammed ‘ Mtunis ’ aitwaye batuli, amemchana zilipendwa wake huyo kwa kumwambia hana mvuto!

Kuonesha msisitizo, Batuli alisema kwa Mtunis ilikuwa ni kama daraja tu , alishapita hivyo hana mpango naye tena kwani tayari amepata mchumba wa Kizungu , raia wa nchi moja barani Afrika, ambaye muda wowote atamtangaza kuwa mume wake .

Alisema anaamini kwamba si kila jambo lililowahi kumtokea lina maana kwake kwani hata kutoka na Mtunis ilikuwa ni...

 

11 years ago

Bongo5

Ali Kiba:Nawasaidia wasanii wachanga kutokana na mateso ambayo nimepata

Msanii wa muziki, Ali Kiba amefunguka kwa kusema kuwa anapenda kufanya kollabo na wasanii wachanga ili kuwasaidia kimuziki kwa sababu yeye mwenyewe alipata shida sana kutoka kimuziki. Akizungumza na 255 ya XXL ndani ya Clouds Fm, Ali kiba alisema wakati anataka kutoka kimuziki alitamani kutafuta wasanii wakubwa wa kufanyanao kollabo lakini alishindwa. “Napenda kuwasaidia kutokana […]

 

5 years ago

Michuzi

TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA

Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani