Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFUNGO WAMZUIA MLELA KWA MPENZIWE

Stori: Gladness Mallya NYOTA wa filamu Bongo, Yusuph Mlela hataweza kuonana na mpenzi wake ambaye pia ni mzazi mwenzake kutokana na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Nyota  wa filamu Bongo, Yusuph Mlela. Akipiga stori na gazeti hili, Mlela alisema alikuwa na desturi ya kwenda kwa mzazi mwenzake kila siku kwa ajili ya kwenda kumuona mwanaye, Mwantumu lakini kwa mwezi huu itakuwa ngumu kutokana na misingi ya dini yake....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kuua mpenziwe kwa kumvuta korodani

JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mwanamke na mkazi wa Kijiji cha Usiulize wilayani Meatu kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake kwa kumvuta korodani, kutokana na wivu wa kimapenzi.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI AWAPONGEZA WAISLAM KWA KUMALIZA MFUNGO WA RAMADHANI, AWASHUKURU KWA KULIOMBEA TAIFA DHIDI YA CORONA

DODOMA, Tanzania
RAIS Dk. John Magufuli amewapongeza Waislam wote nchini kwa kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku akiwashuru kwa namna walivyoshiriki kuliombea Taifa hasa  katika kipindi hiki cha kukabilia na ugonjwa wa COVID-19.
Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli...

 

10 years ago

Michuzi

Waumini wa Mwembetanga kwa Karagosi waadhimisha Maulidi ya Mfungo Sita

Vijana na wazee wa kiIslamu wa MwembeTanga wamefanikisha kuadhimisha Maulid ya Mtume Muhammad Salallahu alayhi wasalam, yaliosomwa Siku ya Jumanne Jan 13 ,2015 sawa na Rabii Awal 1436Maulidi hayo walioaza rami mida ya Saa tatu usiku maraa tu baada kusaliwa sala ya Ishaa, katika Mtaa wa Mwembetanga maarufu (Kwa Karagosi) Zanzibar ambapo Wazee na vijana hao huuandaa maulidi kila mwaka, ifikapo mwezi wa kuzaliwa Mtume Muhammed S.A.W.
Muongozaji Maulidi ya Mwembetanga kwa karagosi MC Imam Sadat...

 

10 years ago

GPL

MLELA: NIMEPATA MTOTO KWA BAHATI MBAYA!

Brighton Masalu
YUSUF Godfrey Willard Mlela, muigizaji nyota wa filamu Bongo, alipata mtoto kwa bahati mbaya baada ya ‘kuuza mechi’ kwa msichana ambaye hakuwa na malengo naye kimaisha, lakini amelazimika kumhudumia kijana wake kwa kila kitu muhimu. muigizaji nyota wa filamu Bongo, Yusuph Godfrey Willard Mlela. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, alisema alikutana na msichana huyo ambaye alikataa kumtaja jina...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mpishi amchinja na 'kumpika' mpenziwe

Mwanamume mpishi nchini Australia, anadaiwa kumuua mpenzi wake na kumkatakata vipande na kupika baadhi ya sehemu zake za mwili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aganda katika barafu akimtafuta mpenziwe

Raia mmoja wa Uturuki aliganda na kuwa barafu baada ya kujaribu kuingia ndani ya ndege ili kwenda kumuona mpenziwe

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wamzuia Mbowe

HATIMAYE Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amekubali ombi la Wazee la kumtaka atetea nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Septemba 14 mwaka huu. Licha ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wamzuia JK awasikilize

MSAFARA wa Rais Jakaya Kikwete, jana ulizuiwa mara mbili tofauti na wananchi wa vijiji vya Handali na Ndebwa Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wakimshinikiza asikilize kero zao. Kikwete ambaye alikuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wamzuia mbunge waeleze kero

WANANCHI wa Kijiji cha Kwefingo kilichopo Kata ya Dindira, wilayani Korogwe, walizuia msafara wa Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani ‘Profesa Majimarefu’, ili waweze kumweleza kero zao. Wananchi hao waliokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani