Aganda katika barafu akimtafuta mpenziwe
Raia mmoja wa Uturuki aliganda na kuwa barafu baada ya kujaribu kuingia ndani ya ndege ili kwenda kumuona mpenziwe
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi06 Jan
Barafu yaanguka katika maeneo ya DMV
![Embedded image permalink](https://pbs.twimg.com/media/B6rCt6nIYAICE3Q.jpg)
Na Abou Shatry DMV
Kama vile matangazo ya hali ya hewa yalivyo tolewa mwazoni mwa wiki hii na National Weather Service, katika maeneo mbali mbali ya hapa DMV kwamba hali ya hewa itazidi kuwa baridi na kutegemea kuanguka theluji ya inches mbili hadi tatu katika maeneo mbali mbali hapa DMV
Theluji hiyo iliotarajiwa kuanguka mapema mapema mida asubuhi 6: AM ya leo Jumanne Jan,6 na kutegemea kusimama kuanguka mida ya 11:AM ya Saa tano mchana .
Aidha maeneo mbali mbali ya barabara kuu...
9 years ago
VijimamboWAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAFANYA IBADA KUBWA YA EID EL HAJJ KATIKA VIWANJA VYA BARAFU MIJINI DODOMA
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Mpishi amchinja na 'kumpika' mpenziwe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPvGFuJq2de6wE8BQnTfBUEFNcC*prdn-zKpVbP4fGhGAeFVLNXqwBQRn1f3rQOiRoMGnWheESqqpHl*XZs0qMdT/mlela.jpg)
MFUNGO WAMZUIA MLELA KWA MPENZIWE
11 years ago
Habarileo26 Dec
Atuhumiwa kuua mpenziwe kwa kumvuta korodani
JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mwanamke na mkazi wa Kijiji cha Usiulize wilayani Meatu kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake kwa kumvuta korodani, kutokana na wivu wa kimapenzi.
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Barafu amfagilia Riyama
NA SHARIFA MMASI
MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Suleiman Said ‘Barafu’, ameamua kumfagilia msanii mwenzake wa tasnia hiyo, Riyama Ally, kwamba ndiye anayeitendea haki kazi yake ya sanaa kutokana na umahiri anaoufanya anapoigiza mambo mbalimbali.
“Napenda sana kazi za Riyama Ally, huyu dada kwanza anajielewa na kutambua kitu anachofanya, hasa awapo mbele ya kamera,” alisema Barafu.
Barafu anasema ipo haja ya waigizaji wa kike kuzifuatilia kazi za msanii huyo ili wajifunze mbinu anazotumia...
11 years ago
BBCSwahili07 Feb
Karibu Sochi kwenye michezo ya barafu
10 years ago
Bongo Movies10 Jun
Barafu: Jamani Sijaenda Momabasa Kuoa
Staa wa Bongo Movies, Barafu Suleiman amezitolea ufafanuzi picha za harusi zilizozagaa mitandaoni ambazo amepiga akiwa Mombasa nchini Kenya zikimuonyesha anafunga ndoa kitendo ambacho kimemletea matatizo kwenye familia yake kwani sio kweli ameoa bali ni kazi mpya wanayoifanya huko Mombasa.
"Samahani ngugu zangu mashabiki zangu kuna picha za harusi zimeenea kwenye mitandao ya kijamii zinanihusu Mimi kuoa.kwakweli sijaowa ni movie tu tunaifanya Mombasa Mimi Riyama na Mzee Chiro na wasanii wa...