Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aganda katika barafu akimtafuta mpenziwe

Raia mmoja wa Uturuki aliganda na kuwa barafu baada ya kujaribu kuingia ndani ya ndege ili kwenda kumuona mpenziwe

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Barafu yaanguka katika maeneo ya DMV

Embedded image permalink
Na Abou Shatry DMV 

Kama vile matangazo ya hali ya hewa yalivyo tolewa mwazoni mwa wiki hii na National Weather Service, katika maeneo mbali mbali ya hapa DMV kwamba  hali ya hewa itazidi kuwa baridi na kutegemea kuanguka  theluji ya inches mbili hadi tatu  katika maeneo mbali mbali hapa DMV
Theluji hiyo iliotarajiwa kuanguka mapema mapema mida asubuhi 6: AM ya leo Jumanne Jan,6 na kutegemea kusimama kuanguka mida ya 11:AM ya Saa tano mchana . 
Aidha maeneo mbali mbali ya barabara kuu...

 

9 years ago

Vijimambo

WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAFANYA IBADA KUBWA YA EID EL HAJJ KATIKA VIWANJA VYA BARAFU MIJINI DODOMA

 Ustaadh Yahaya Kiduma akitoa mawadha ya Dini ya Kiislamu katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma wakati wa Swala ya Eid El Haji iliyoandaliwa na kamati ya Sherehe za Dini hiyo mkoani humo.Shekh wa Msikiti wa Nunge Ahmed Zuber akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kumaliza kuswalisha Swala ya Eid El Haji katika viwanja vya jamhuri mjini Dodoma.  Waumini wa Dini ya Kiislamu wakifanya Ibada ya Eid El Haji katika uwanja wa Jamhuri, ambapo ibada hiyo iliandaliwa na kamati ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mpishi amchinja na 'kumpika' mpenziwe

Mwanamume mpishi nchini Australia, anadaiwa kumuua mpenzi wake na kumkatakata vipande na kupika baadhi ya sehemu zake za mwili.

 

11 years ago

GPL

MFUNGO WAMZUIA MLELA KWA MPENZIWE

Stori: Gladness Mallya NYOTA wa filamu Bongo, Yusuph Mlela hataweza kuonana na mpenzi wake ambaye pia ni mzazi mwenzake kutokana na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Nyota  wa filamu Bongo, Yusuph Mlela. Akipiga stori na gazeti hili, Mlela alisema alikuwa na desturi ya kwenda kwa mzazi mwenzake kila siku kwa ajili ya kwenda kumuona mwanaye, Mwantumu lakini kwa mwezi huu itakuwa ngumu kutokana na misingi ya dini yake....

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kuua mpenziwe kwa kumvuta korodani

JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mwanamke na mkazi wa Kijiji cha Usiulize wilayani Meatu kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake kwa kumvuta korodani, kutokana na wivu wa kimapenzi.

 

9 years ago

Mtanzania

Barafu amfagilia Riyama

riyama_allyNA SHARIFA MMASI

MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Suleiman Said ‘Barafu’, ameamua kumfagilia msanii mwenzake wa tasnia hiyo, Riyama Ally, kwamba ndiye anayeitendea haki kazi yake ya sanaa kutokana na umahiri anaoufanya anapoigiza mambo mbalimbali.

“Napenda sana kazi za Riyama Ally, huyu dada kwanza anajielewa na kutambua kitu anachofanya, hasa awapo mbele ya kamera,” alisema Barafu.

Barafu anasema ipo haja ya waigizaji wa kike kuzifuatilia kazi za msanii huyo ili wajifunze mbinu anazotumia...

 

11 years ago

BBCSwahili

Karibu Sochi kwenye michezo ya barafu

Mashindano yaliyo gharimu Kitita kikubwa zaidi katika historia ya Olimpiki yatafunguliwa Urusi leo huku medali 98 ziking'ang'aniwa katika siku kumi na sita.

 

10 years ago

Bongo Movies

Barafu: Jamani Sijaenda Momabasa Kuoa

Staa wa Bongo Movies, Barafu Suleiman amezitolea ufafanuzi picha za harusi zilizozagaa mitandaoni ambazo amepiga akiwa Mombasa nchini Kenya zikimuonyesha anafunga ndoa kitendo ambacho kimemletea matatizo kwenye familia yake kwani sio kweli ameoa bali ni kazi mpya wanayoifanya huko Mombasa.

"Samahani ngugu zangu mashabiki zangu kuna picha za harusi zimeenea kwenye mitandao ya kijamii zinanihusu Mimi kuoa.kwakweli sijaowa ni movie tu tunaifanya Mombasa Mimi Riyama na Mzee Chiro na wasanii wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani