Atuhumiwa kuua mpenziwe kwa kumvuta korodani
JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mwanamke na mkazi wa Kijiji cha Usiulize wilayani Meatu kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake kwa kumvuta korodani, kutokana na wivu wa kimapenzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Apr
Amuua mumewe kwa kumvuta korodani
POLISI mkoani Pwani inamshikilia mkazi wa Tarafa ya Vikindu Kata ya Kisemvule wilaya ya Mkuranga, Husna Iddi (16), kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mumewe kwa kumvuta sehemu zake za siri.
11 years ago
GPLMFUNGO WAMZUIA MLELA KWA MPENZIWE
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Josh McNary atuhumiwa kwa ubakaji
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Manmohan atuhumiwa kwa ufisadi India
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Mpishi amchinja na 'kumpika' mpenziwe
11 years ago
Habarileo05 Jun
Atuhumiwa kumuua mama yake kwa fimbo
WATU wawili kutoka vijiji tofauti wilayani Rorya wanashikiliwa na polisi mmoja akituhumiwa kumuua mama yake mzazi kwa kumpiga na fimbo na mwingine kwa kumuunguza viganja binti yake akimtuhumu kuiba fedha.
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Tatizo la mwanaume kupoteza au kukosa korodani
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Aganda katika barafu akimtafuta mpenziwe
10 years ago
Habarileo17 Oct
Atuhumiwa kutapeli mil 2.3/- kwa kujifanya Usalama wa Taifa
POLISI mkoani Mtwara inamshikilia Juma Idrisa (28) mkazi wa Wapiwapi kwa tuhuma za kujipatia fedha zaidi ya Sh milioni 2.3 kwa njia ya udanganyifu kwa kumdanganya mkazi wa kijiji cha Msikisi kata ya Namatutwe, Yusuph Nkondola kuwa yeye ni Ofisa wa Usalama wa Taifa.