Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Atuhumiwa kuua mpenziwe kwa kumvuta korodani

JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mwanamke na mkazi wa Kijiji cha Usiulize wilayani Meatu kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake kwa kumvuta korodani, kutokana na wivu wa kimapenzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Amuua mumewe kwa kumvuta korodani

POLISI mkoani Pwani inamshikilia mkazi wa Tarafa ya Vikindu Kata ya Kisemvule wilaya ya Mkuranga, Husna Iddi (16), kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mumewe kwa kumvuta sehemu zake za siri.

 

11 years ago

GPL

MFUNGO WAMZUIA MLELA KWA MPENZIWE

Stori: Gladness Mallya NYOTA wa filamu Bongo, Yusuph Mlela hataweza kuonana na mpenzi wake ambaye pia ni mzazi mwenzake kutokana na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Nyota  wa filamu Bongo, Yusuph Mlela. Akipiga stori na gazeti hili, Mlela alisema alikuwa na desturi ya kwenda kwa mzazi mwenzake kila siku kwa ajili ya kwenda kumuona mwanaye, Mwantumu lakini kwa mwezi huu itakuwa ngumu kutokana na misingi ya dini yake....

 

10 years ago

BBCSwahili

Josh McNary atuhumiwa kwa ubakaji

Josh McNary, kutoka timu ya Indianapolis colts ambaye anakamata nafasi ya ulinzi ,anakabiliwa na tuhuma za ubakaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Manmohan atuhumiwa kwa ufisadi India

Waziri mkuu wa zamani wa India Manmohan Singh ametuhumiwa kwa ufisadi katika kuuza migodi ya makaa ya mawe

 

10 years ago

BBCSwahili

Mpishi amchinja na 'kumpika' mpenziwe

Mwanamume mpishi nchini Australia, anadaiwa kumuua mpenzi wake na kumkatakata vipande na kupika baadhi ya sehemu zake za mwili.

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kumuua mama yake kwa fimbo

WATU wawili kutoka vijiji tofauti wilayani Rorya wanashikiliwa na polisi mmoja akituhumiwa kumuua mama yake mzazi kwa kumpiga na fimbo na mwingine kwa kumuunguza viganja binti yake akimtuhumu kuiba fedha.

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo la mwanaume kupoteza au kukosa korodani

Ni tatizo au ugonjwa unaoweza kumpata mwanaume yeyote lakini zaidi kwa watoto wa kiume, hali hii inatokana na mtoto wa kiume kuzaliwa bila kuwa na korodani na hivyo mifuko ya korodani japo ipo lakini mitupu, au kuzaliwa na korodani lakini baadae zikapotea ghafla ukubwani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aganda katika barafu akimtafuta mpenziwe

Raia mmoja wa Uturuki aliganda na kuwa barafu baada ya kujaribu kuingia ndani ya ndege ili kwenda kumuona mpenziwe

 

10 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kutapeli mil 2.3/- kwa kujifanya Usalama wa Taifa

POLISI mkoani Mtwara inamshikilia Juma Idrisa (28) mkazi wa Wapiwapi kwa tuhuma za kujipatia fedha zaidi ya Sh milioni 2.3 kwa njia ya udanganyifu kwa kumdanganya mkazi wa kijiji cha Msikisi kata ya Namatutwe, Yusuph Nkondola kuwa yeye ni Ofisa wa Usalama wa Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani