Wananchi wamzuia JK awasikilize
MSAFARA wa Rais Jakaya Kikwete, jana ulizuiwa mara mbili tofauti na wananchi wa vijiji vya Handali na Ndebwa Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wakimshinikiza asikilize kero zao. Kikwete ambaye alikuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 Apr
Wananchi wamsimamisha Kinana awasikilize
MSAFARA wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kutoka Kata ya Karema kwenda mjini Mpanda, mkoani Katavi ulijikuta ukisimamishwa baada ya wananchi katika vijiji mbalimbali kufunga njia wakiwa na mabango wakitaka asikilize shida zao.
10 years ago
Vijimambo25 Aug
WANANCHI WAMZUIA MGOMBEA MWENZA WA CCM BARABARANI MWANGA



Bi. Samia Suluhu alilazimika kuusimamisha msafara wake baada ya...
11 years ago
Tanzania Daima29 Aug
CHADEMA wamzuia Mbowe
HATIMAYE Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amekubali ombi la Wazee la kumtaka atetea nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Septemba 14 mwaka huu. Licha ya...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Wamzuia mbunge waeleze kero
WANANCHI wa Kijiji cha Kwefingo kilichopo Kata ya Dindira, wilayani Korogwe, walizuia msafara wa Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani ‘Profesa Majimarefu’, ili waweze kumweleza kero zao. Wananchi hao waliokuwa...
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Polisi wamzuia Lowassa kuzika
Na Waandishi Wetu
MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amepata kashikashi baada ya polisi kumzuia kumzika mwasisi wa Chama cha TANU na CCM, Peter Kisumo, kwa madai kuwa wamepata maagizo kutoka juu.
Msafara wa Lowassa ulioanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ulikutana na kizuizi cha polisi katika Kijiji cha Maroro, kilomita moja kutoka Mwanga kuelekea Ugweno, ambako Kisumo alizikwa...
11 years ago
GPL
MFUNGO WAMZUIA MLELA KWA MPENZIWE
11 years ago
GPL
Friends of Simba wamzuia Tambwe kwenda Yanga
11 years ago
CloudsFM29 May
WAMASAI WAMZUIA “MWANA FA” ASIENDE KUSHUTI VIDEO YA “MFALME” NJE YA AFRIKA MASHARIKI
Staa wa ngoma ya ‘’Mfalme’ Mwana FA huenda angeenda kuishoot nje ya mipaka ya Africa Mashariki ili kufata viwango kama ilivyokua kwenye ngoma yao yeye na ay, “bila kukunja goti” ila kuna sababu ya msingi imefanya msanii huyo afute wazo la kwenda kushuti video hiyo nje ya Africa Mashariki.
Lakini pia mwana fa alikua ana ngoma nyingine kali featuring Ally Kiba ambayo kama ingepata kura za kutosha ingetoka kabla ya mfalme.Clouds fm imepiga story na fa huyu hapa...