Polisi wamzuia Lowassa kuzika
Na Waandishi Wetu
MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amepata kashikashi baada ya polisi kumzuia kumzika mwasisi wa Chama cha TANU na CCM, Peter Kisumo, kwa madai kuwa wamepata maagizo kutoka juu.
Msafara wa Lowassa ulioanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ulikutana na kizuizi cha polisi katika Kijiji cha Maroro, kilomita moja kutoka Mwanga kuelekea Ugweno, ambako Kisumo alizikwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
CHADEMA wamzuia Mbowe
HATIMAYE Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amekubali ombi la Wazee la kumtaka atetea nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Septemba 14 mwaka huu. Licha ya...
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Wananchi wamzuia JK awasikilize
MSAFARA wa Rais Jakaya Kikwete, jana ulizuiwa mara mbili tofauti na wananchi wa vijiji vya Handali na Ndebwa Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wakimshinikiza asikilize kero zao. Kikwete ambaye alikuwa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Wamzuia mbunge waeleze kero
WANANCHI wa Kijiji cha Kwefingo kilichopo Kata ya Dindira, wilayani Korogwe, walizuia msafara wa Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani ‘Profesa Majimarefu’, ili waweze kumweleza kero zao. Wananchi hao waliokuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPvGFuJq2de6wE8BQnTfBUEFNcC*prdn-zKpVbP4fGhGAeFVLNXqwBQRn1f3rQOiRoMGnWheESqqpHl*XZs0qMdT/mlela.jpg)
MFUNGO WAMZUIA MLELA KWA MPENZIWE
10 years ago
Habarileo28 May
JK aahidi kuzika kero za walimu
RAIS Jakaya Kikwete amesema atahakikisha anamaliza matatizo yote yanayowakabili walimu kote nchini katika kipindi kilichobaki cha utawala wake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX0REptwiaIYRmNrQACuiRA58jzx9naU8q8xZrFkvFySPf6xf4ryh0aM5bSHT7VhzZ3Vh8rZsWc1*b9-isr9WdDE/1copy.jpg?width=650)
Friends of Simba wamzuia Tambwe kwenda Yanga
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Kumfumbia macho Sitta ni kuzika uhuru
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amedhihirisha wazi kuwa hapendi na hathamini kazi kubwa inayofanywa na vyombo vya habari katika kuelimisha umma kuhusu mchakato wa Katiba mpya. Mapema...
9 years ago
Habarileo01 Oct
Magufuli kuzika mapigano ya wakulima na wafugaji
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameahidi atakapochaguliwa atahakikisha anafunga mapigano kati ya wakulima na wafugaji huku akihadharisha viongozi atakaowateua kuwa lazima wahakikishe hayatokei kwenye maeneo yao.
9 years ago
Vijimambo25 Aug
WANANCHI WAMZUIA MGOMBEA MWENZA WA CCM BARABARANI MWANGA
![Bi. Samia Othuman Suluhu akipokewa na baadhi ya viongozi na makada wakiwa kwenye mkutano huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_00661.jpg)
![Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_00882.jpg)
![Mjumbe Mkuu wa Baraza Kuu la Wanawake na Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Same, Anjela Kailuki akizungumza alipokuwa anamnadi Bi. Samia Suluhu,](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_01511.jpg)
Bi. Samia Suluhu alilazimika kuusimamisha msafara wake baada ya...