Kumfumbia macho Sitta ni kuzika uhuru
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amedhihirisha wazi kuwa hapendi na hathamini kazi kubwa inayofanywa na vyombo vya habari katika kuelimisha umma kuhusu mchakato wa Katiba mpya. Mapema...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s72-c/1036.jpg)
Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s640/1036.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-V1UQiJ_mNtc/VPdgJn3vryI/AAAAAAABnDM/zPWV8-VZLwQ/s640/1031.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RMNp-NXmTOY/VPdgKSJSpbI/AAAAAAABnDU/hEyIWj4H6do/s640/1005.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Polisi wamzuia Lowassa kuzika
Na Waandishi Wetu
MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amepata kashikashi baada ya polisi kumzuia kumzika mwasisi wa Chama cha TANU na CCM, Peter Kisumo, kwa madai kuwa wamepata maagizo kutoka juu.
Msafara wa Lowassa ulioanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ulikutana na kizuizi cha polisi katika Kijiji cha Maroro, kilomita moja kutoka Mwanga kuelekea Ugweno, ambako Kisumo alizikwa...
10 years ago
Habarileo28 May
JK aahidi kuzika kero za walimu
RAIS Jakaya Kikwete amesema atahakikisha anamaliza matatizo yote yanayowakabili walimu kote nchini katika kipindi kilichobaki cha utawala wake.
9 years ago
Habarileo01 Oct
Magufuli kuzika mapigano ya wakulima na wafugaji
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameahidi atakapochaguliwa atahakikisha anafunga mapigano kati ya wakulima na wafugaji huku akihadharisha viongozi atakaowateua kuwa lazima wahakikishe hayatokei kwenye maeneo yao.
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Boko Haram wazuia watu kuzika maiti
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1baqUgSz7xPeoiqwwQMFPxOZI-Dx8XNf-ryvRHsvvM7kBKN0zgT1OaoWA-PQ5MHAK7f8UxjxAaIx9oasW-R8Zem/12_0.png?width=650)
JIJI LA NAIROBI LAKANUSHA KUZIKA MAITI ZA GARISSA KABURI MOJA
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Serikali ya Ecuador inavyopambana kuzika waliofariki
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Ifahamu njia mpya ya kuzika mwili ambayo ni rafiki kwa mazingira
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LnJ2JohNx4I/VaZhLTMUJTI/AAAAAAAC8kE/LJf90CHSfNU/s72-c/_MG_6453.jpg)
KINGUNGE AWATAKA WANACCM KUSHIKAMANA NA KUZIKA TOFAUTI ZAO ILI KUPATA USHINDI WA KISHINDO UCHAGUZI MKUU 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-LnJ2JohNx4I/VaZhLTMUJTI/AAAAAAAC8kE/LJf90CHSfNU/s640/_MG_6453.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-69n8_eYeKbU/VaZhKwT1LEI/AAAAAAAC8kA/Ik2GxrZzM5w/s640/_MG_6474.jpg)