Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAEC:MIONZI INA FAIDA KUBWA NA SIYO MADHARA PEKE YAKE



Profesa Lazaro Busagala,Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu ya nchini (TAEC) akizungumza na washiriki wa mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo ya siku tano kutoka Serengeti Breweries mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.

Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Zitto: ACT itasimama peke yake

KIONGOZI wa chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama hicho hakitaungana na kingine chochote kutokana na misingi waliyojiwekea.

Akizungumza na wanachama wa ACT wenye nia ya kugombea nafasi za ubunge mkoani Dar Zitto alisema chama hicho kuungana na chama chenye misingi tofauti kutapoteza maana ya kuwapo kwake.

“Tukifanya hivyo hakutakuwa na sababu ya kuwapo kwa ACT – Wazalendo,” alisema Zitto.

Alisema ACT itasafiri peke yake katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa vyama...

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI ASIMAMIA SHOW PEKE YAKE TUNDUMA

 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa shule ya msingi Tunduma tayari kuhutubia mkutano wa kampeni. Wananchi wa Tunduma wakizingira gari la mgombea wa urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli wakati akiwasili kwenye uwanja wa mkutano Tunduma.
 Katibu wa Siasa na Uenezi CCM mkoa wa Mbeya Ndugu Bashiru Madodi akizungumza kabla mgombea wa urais kupitia CCM Dk.John pombe magufuli hajahutubia wakazi wa Tunduma. Wakazi wa Tunduma wakiwa wamefurika kumsikiliza...

 

9 years ago

Habarileo

Ligi bara kumnufaisha bingwa peke yake

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) jana lilitoa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Septemba 12 mwaka huu na ambayo safari hii bingwa pekee ndiye ataiwakilisha nchi kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wamejifunza kwa Nyerere muundo wa Muungano peke yake?

IJUMAA iliyopita nilipata nafasi ya kusikiliza japo kwa muda mfupi kinachondelea huko Dodoma kwenye Bunge Maalumu la Katiba. Alikuwa akizungumza mwanamama. Hapana, alikuwa akizungumza kwa kusoma. Alionekana haelewi barabara kile...

 

10 years ago

Michuzi

HAKUNA NCHI INAYOWEZA KUSIMAMA PEKE YAKE-BAN KI MOON

Na Mwandishi Maalum, New York  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amesema, kutokana na dunia kukabiliwa na matatizo mengi na ambayo yanatokea kwa wakati mmoja.Kuanzia mlipuko wa Ebola, vita na machafuko , ugadi, uhalifu wa kupangwa na mabadiliko ya tabia nchi.  Hakuna nchi ambayo inaweza kujidai kwamba inaweza kusimama peke yake. Ameyasema hayo siku ya jumanne wakati alipokuwa akibadilishana mawazo na wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Dunia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Facebook yapata faida kubwa

Facebook imeandikisha faida kubwa ya dola $891m kati ya mwezi Julai na Septemba.

 

11 years ago

GPL

Kufuru, ndege ya watu 150, Malkia wa Nyuki apanda peke yake

Mlezi wa Simba, Rahma Al Kharoosi 'Malkia wa Nyuki'. MLEZI wa Simba, Rahma Al Kharoosi, ametua jijini Dar es Salaam akiwa kwenye ndege kubwa yenye uwezo wa kubeba watu 150, lakini yeye akiwa ndiye abiria pekee ndani ya ndege hiyo. Rahma, maarufu kama Malkia wa Nyuki, ametua na ndege hiyo aina ya Airbus 320 inayomilikiwa na Serikali ya Oman na anaitumia yeye kupitia cheo chake cha Balozi wa Heshima wa Oman nchini Morocco.…...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

BBCSwahili

Soko la hisa la Japan limepata faida kubwa

Soko hilo limesema kuwa faida hiyo imepanda kwa kiwango cha asilimia saba nukta saba

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani