Taasisi zinazosafirisha mahujaji zijifunze kwa janga la Makka
Sherehe za sikukuu ya Idd el Hajj mwaka huu ilikumbwa na mtihani mkubwa baada ya mahujaji zaidi ya 700 wa Kiislamu kufariki dunia na maelfu kujeruhiwa wakati wa ibada hiyo kwenye mji Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia kutokana na kukanyagana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo25 Sep
Mamia ya mahujaji wafa kwa kukanyagana Makka
MAHUJAJI wapatao 700 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana katika mji wa Mina ulioko nje kidogo ya Makka, ambapo watu 2,000,0000 wana swali ibada ya hija.
9 years ago
Habarileo08 Oct
Mahujaji waliofia Makka wafikia 11
SERIKALI imepokea majina matatu ya mahujaji wengine wa Tanzania, waliokufa kutokana na tukio la kukanyagana lililotokea eneo la Mina, katika mji Mtakatifu wa Makka, Saudia Arabia Septemba 24, mwaka huu, hivyo kufanya idadi ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha nchini humo kufikia 11.
9 years ago
Habarileo30 Sep
Mahujaji 18 waliopotea Makka watambuliwa
SIKU moja baada ya Serikali kutangaza kuwa mahujaji 50 wa Tanzania waliokuwa katika Mji Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, hawajulikani walipo tangu kutokea kwa tukio la kukanyagana na kusababisha vifo vya watu 769, imesema imepokea majina 18 ya watu ambao hawajulikani walipo.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mahujai-2.jpg?width=650)
MAHUJAJI WANNE WATANZANIA WAFARIKI, MAKKA
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Matukio yaliyogharimu maisha ya mahujaji Makka
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Mamia ya mahujaji wafariki katika mkanyagano Makka
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Mahujaji wengine wanane wagundulika kufariki Makka
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ai6X3FWhHqE/VTJaP5OMUoI/AAAAAAAHRzo/R0wE5fZFsAA/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
UMOJA WA TAASISI ZA HIJJA ZANZIBAR ZAANDAA KONGAMANO KWA MAHUJAJI WATARAJIWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hG4B2Bv73xk/Xra5VOWLZGI/AAAAAAALpjM/HxpBExecPLkX7q29IeXtA1yOojStxqnHwCLcBGAsYHQ/s72-c/3d720bd7-79eb-4a8d-af7f-3b402e50b4e3.jpg)
Taasisi ya DYCCC na AlHikma Foundation wakabidhi vifaa vya PPE kwa Taasisi ya JAI kwa ajili ya kuzikia
![](https://1.bp.blogspot.com/-hG4B2Bv73xk/Xra5VOWLZGI/AAAAAAALpjM/HxpBExecPLkX7q29IeXtA1yOojStxqnHwCLcBGAsYHQ/s640/3d720bd7-79eb-4a8d-af7f-3b402e50b4e3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ec5Q6ju2NAA/Xra5Vs6rk3I/AAAAAAALpjU/OisqI73Gh0kj0kKm7wCpOBNfzCUFo0lSQCLcBGAsYHQ/s640/9e3dfba9-eb30-48c6-95ab-a238604cc37c.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--BJW1hJUyjU/Xra5VE7biyI/AAAAAAALpjQ/sSi5PyvjfTMlIsi8mSI1AkSU2TuXSH50ACLcBGAsYHQ/s640/87cbce05-6f25-49e9-ab60-bae06aca34ab.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_lXebxgvym4/Xra5UxKas2I/AAAAAAALpjI/IZKl-A5pm3QQkE_iFyfC6nS4Y6gNsJ39gCLcBGAsYHQ/s640/1581cea7-5da2-43f7-8eda-316535ee3240.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SdRrAo_STF8/Xra5WBMAgGI/AAAAAAALpjY/V_Bfs2Dk9dAV2GHDPOeo7CZSK18QjBbxQCLcBGAsYHQ/s640/e6bde3ff-8489-49e6-9c12-192c81aa6429.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iZnoIK6vYR4/Xra5WeE4FbI/AAAAAAALpjc/gyxpOyVoVLg_-5Ram7l4hQjAMl39-a-7ACLcBGAsYHQ/s640/ed0061d6-c190-494f-b0f5-394ee04aa95e.jpg)