Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STOP PRESS: DEVELOPMENT OF MCC COMPACT WITH TANZANIA TO CONTINUE

DAR ES SALAAM, TANZANIA – September 26, 2015.  The U.S. Government’s Millennium Challenge Corporation (MCC) has released a statement indicating that Tanzania will pass the FY 2016 Control of Corruption Indicator.  The statement is available below and on the MCC website here:  https://www.mcc.gov/news-and-events/release/pressstmt-092615-tanzania-passes-fy16-corruption-indicator

The $472.8 million compact, when approved by the Board, will promote increased access to reliable electricity in...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: TANZANIA YAPETA TENA KATIKA MPANGO WA KUPATA MABILIONI YA MCC

·          Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya fedha baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.Habari hizo njema zimetangazwa Jumamosi, Septemba 26, 2015, kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, na...

 

10 years ago

Morocco World News

MCC Congratulates Morocco for Eligibility to Second Compact


IPPmedia
MCC Congratulates Morocco for Eligibility to Second Compact
Morocco World News
Washington – Thomas Kelly, Acting Vice President for Policy and Evaluation at the Millennium Challenge Corporation (MCC), congratulated Morocco for being eligible to develop second compact proposals. “We congratulate Morocco on being re-selected to ...
U.S. warns Tanzania from aid depend on its success in fighting corruptionDiplomat News Network
Ambassador Mark Childress warns corruption will bar new MCC...

 

10 years ago

Himalayan Times

MCC Board selects Nepal for US Compact grant


IPPmedia
MCC Board selects Nepal for US Compact grant
Himalayan Times
KATHMANDU: The United States Millennium Challenge Corporation Board of Directors voted to make Nepal eligible for a Compact, MCC's large-scale investment programme. The MCC Board meeting, held in Washington DC on Wednesday, selected Nepal ...
U.S. warns Tanzania from aid depend on its success in fighting corruptionDiplomat News Network

all 8

 

9 years ago

IPPmedia

Fixing the MCC compact dispute: JK's parting shot in America


Fixing the MCC compact dispute: JK's parting shot in America
IPPmedia
President Jakaya Kikwete has passed a supreme test while facing a titanic examination of perhaps having to hand over the presidency to a victorious opposition candidate and his own best friend for a decade or so in political life. He left Dar es Salaam ...

 

10 years ago

Michuzi

U.S. GOVERNMENT PROVIDES FUNDING TO DEVELOP SECOND MCC COMPACT FOCUSED ON THE POWER SECTOR

The United States Government, through the Millennium Challenge Corporation (MCC), agreed on November 14, 2014, to provide up to $9.78 million for the development of high-impact investment projects in Tanzania’s energy sector. United States Ambassador Mark B. Childress presided over the signing of the grant agreement at the Ministry of Finance in Dar es Salaam. The agreement was signed by MCC’s Vice President of Compact Operations, Kamran Khan, and Tanzania’s Minister of Finance,...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

MCC Yaisaidia Tena Serikali ya Tanzania §472.8 Kwa Development Project.

Assalamu alaikhum Warahmatullah ndugu Watanzania wote kutoka Katika Bara la Tanganyika na Visiwa Vya Zanzibar. Ama mimi Sina budu ili Kuwaletea habari hii ambayo nimeandika hapo juu ili muweze kuifafanua na ikiwezekana kuipigia Simu Ubalozi wa […]

The post MCC Yaisaidia Tena Serikali ya Tanzania §472.8 Kwa Development Project. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea taarifa za kuwepo Mahujaji wawili kutoka Tanzania ambao wamelazwa katika mojawapo ya hospitali nchini Saudi Arabia baada ya kujeruhiwa kutokana na tukio la mkanyagano wa Mahujaji lililotokea eneo la Mina, Makkah, tarehe 24 Septemba, 2015.


Mahujaji hao ambao wanaendelea kupata matibabu na hali zao zikiendelea vizuri ni Bi. Hidaya Mchomvu na Bi. Mahjabin Taslim Khan. Pia kwa mujibu wa taarifa za Ubalozi Hujaji mwingine anayejulikana...

 

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: HUKUMU YA RUFAA YA MRAMBA NA YONA KESHO

Mawaziri  wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona siku walipohukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya milioni tano baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka Mwezi Julai mwaka huu. Picha ya maktabaNa Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Dar es Salaam. MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kesho imepanga kutoa hukumu ya rufaa dhidi ya mawaziri  wa zamani, Bazil Mramba na Daniel Yona waliohukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya milioni tano baada ya kukutwa na hatia ya matumizi...

 

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: Mchungaji Mtikila afariki katika ajali alfajiri leo


Mwanasiasa maarufu nchini Tanzania mwenyekiti wa chama cha DP Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia Majira ya saa 10 alfajiri akitokea mkoani kwake Njombe katika kampeni .
 Taarifa zilizothibitishwa na mgombea Ubunge jimbo la Iringa Mjini na mwenyekiti wa DP Mkoa Robart Kisinini wakati akizungumza na mtandao huu wa www.matukiodaima.co.tz amesema ni kweli mwenyekiti wake huyo Taifa amefariki dunia Kamanda wa polisi mkoa wa pwani pia amethibitisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani