FUNDIMBANGA WILAYANI TUNDURU WAJENGEWA DARAJA LA KISASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ntIi6yOWqFE/XuC7ue_RidI/AAAAAAALtVA/2xdpbiPqHsI4iY7YsDXFo6mVAtqw1o5vwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200607_154617_058.jpg)
WAKAZI wa kijiji cha Fundimbanga kata ya Matemanga wilayani Tunduru, wameipongeza Serikali kwa kujenga daraja la kisasa litakalounganisha kijiji hicho na maeneo mengine ya wilaya ya Tunduru.
Wametoa pongezi hizo jana mbele ya Mbunge wa jimbo la Tunduru Kaskazini Ramo Makani aliyetembelea kijiji cha Fundimbanga kukagua na kuhamasisha kazi za maendeleo sambamba na kusikiliza kero za wananchi wa kijiji hicho.
Wamesema, kujengwa kwa daraja hilo kutamaliza tishio la wananchi wa kijiji hicho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
11 years ago
MichuziWWF TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA WANYAMAPORI DUNIANI,HUKO WILAYANI TUNDURU
![](http://4.bp.blogspot.com/-GwAaDS4FrVM/UxWjxYqbICI/AAAAAAAFRA0/vvg9qLS2vJU/s1600/New+Picture+(3).png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dEkB7UlmzW4/VPL5zZwaNLI/AAAAAAAHGuw/k_iQovqneYU/s72-c/1.jpg)
MPANGO WA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA KISASA LA SALENDER WAKAMILIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dEkB7UlmzW4/VPL5zZwaNLI/AAAAAAAHGuw/k_iQovqneYU/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4qKkghN4VHk/VUxjslaq8RI/AAAAAAAAPHU/mUjfOicpnLk/s72-c/E86A5954%2B(800x533)%2B(800x533).jpg)
MAFURIKO YAATHILI DARAJA LA KIKULETWA WILAYANI HAI
![](http://1.bp.blogspot.com/-4qKkghN4VHk/VUxjslaq8RI/AAAAAAAAPHU/mUjfOicpnLk/s640/E86A5954%2B(800x533)%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-00mGRa98UOM/VUxjtNFVYQI/AAAAAAAAPHc/MpwjO9HIQN0/s640/E86A5957%2B(800x533)%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tieUal9DD28/VUxjsDLIU5I/AAAAAAAAPHQ/WVr0AGwgiHk/s640/E86A5968%2B(800x533)%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NYWs1tSFQMg/VUxjx2gS0VI/AAAAAAAAPHo/NHDYCPjpe1M/s640/E86A5977%2B(800x533)%2B(800x533).jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
VijimamboDARAJA LA KISASA KUJENGWA BAHARINI ENEO LA AGHA KHAN HADI BARABARA YA KENYATA
11 years ago
MichuziRais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru
10 years ago
MichuziWakazi na wananchi wa Mbweni JKT wilayani Kinondoni wamuomba DC Makonda apige jicho mradi wa daraja uliokwama
Licha ya mtaa wa Mbweni JKT, jijini Dar es Salaam kujengwa majumba ya kifahari na kupatikana pia nyumba za viongozi mbalimbali wa serikali, miundo mbinu yake, hususan daraja linalojengwa katika eneo hilo ili kuwafanya wananchi wapite kwa urahisi kusua sua. Kwa miaka kadhaa sasa ujenzi wa daraja hilo umesimama.
Pichani ni gari la mwananchi na mkazi wa eneo hilo akipta kwenye maji ambayo mara kadhaa hujikuta wamesimama kwa saa kadhaa, hususan kama eneo hilo litajaa baada ya eneo hilo kujaa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zmn4fRbUfIM/U2yI6cYEkTI/AAAAAAACgk4/3chLd68yg2w/s72-c/2.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU WILAYANI IGUNGA LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zmn4fRbUfIM/U2yI6cYEkTI/AAAAAAACgk4/3chLd68yg2w/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7zmM79fHVJU/U2yI7Sz3P4I/AAAAAAACglA/bTGMwkhXpNA/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-E6EitV4gQ30/U2yJA5WtmnI/AAAAAAACglI/WjriLj0QMZ0/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8tEfBS9cWbE/U2yJGiRUynI/AAAAAAACglQ/ih15ku0tR6Y/s1600/5.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s72-c/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
WATU WANNE WAFARIKI DUNIA BAADA YA HIACE KUGONGANA NA FUSO KATIKA DARAJA LA MTO KIKAVI WILAYANI HAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s640/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQWDm2f8_rs/VajZd82oAcI/AAAAAAABSA4/X8V-H92lOrA/s640/photo_2015-07-17_13-27-23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yAa1X-AUcKo/VajZf4WRicI/AAAAAAABSBE/bJFKpqB8nBs/s640/photo_2015-07-17_13-27-56.jpg)