Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKAZI WA TUNDURU WAJITOKEZA KUMPOKEA PROF IBRAHIM LIPUMBA

 Dereva Boda boda ambao ni wananchama wa Chama cha Wananchi CUF wakiongoza msafara wa mapokezi ya Prof Ibrahim Lipumba mara tu alipo wasili Wilayani Tunduru akitokea Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma.Lipumba yupo Mikoa ya Kusini inayojumuisha Ruvuma,Lindi na Mtwara  kwa  ziara ya siku 16 ikiwa na dhumuni la kuimarisha chama pamoja kuhamasisha wananchi  kujitokeza  katika daftari  la  wapiga  kura na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAELFU YA WAKAZI WA TUNDURU WAJITOKEZA KUMPOKEA PROF IBRAHIM LIPUMBA

 Wanachama wa Chama cha Wananchi CUF wakiwa katika msafara wa mapokezi ya Mwenyekiti wa chama hicho,Prof Ibrahim LipumbaMwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF,Prof Ibrahim Lipumba mwenye shati jekundu na kofia nyekundu akiwapungia mkono wanachama wa chama cha CUF mara tu baada ya kufika katika ofisi za CUF Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma Polisi wakiwa katika ulinzi wa Prof Ibrahim LipumbaNaibu Mkurugenzi wa Oganaizesheni Uchaguzi na Bunge wa Chama Cha Wananchi CUF – Shaweji Mketo...

 

5 years ago

The Citizen Daily

'Agriculture way forward'- CUF chairman Ibrahim Lipumba

'Agriculture way forward'- CUF chairman Ibrahim Lipumba  The Citizen Daily

 

10 years ago

IPPmedia

CUF National Chairman Professor Ibrahim Lipumba


IPPmedia
CUF National Chairman Professor Ibrahim Lipumba
IPPmedia
Both the ruling party and major opposition Civic United Front (CUF) are calling on all officials implicated in the Tegeta 306bn/- escrow account scandal to voluntarily resign before they are publicly kicked out of office. Additionally, CUF wants all accounts that ...

 

11 years ago

Mwananchi

Profesa Ibrahim Lipumba aifunda Chadema Dar

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetakiwa kuweka kando tofauti za kisiasa na kuunganisha nguvu zao, hasa katika kipindi hiki ambacho taifa lipo katika mchakato wa uundaji wa Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mtanzania

Sura mbili za Ibrahim Lipumba ndani ya Cuf na ukawa

Katuni LIPUMBANA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

HATIMAYE Profesa Ibrahim Lipumba ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), huku suala hilo likigubikwa na sura mbili na kauli tata za kiongozi huyo.

Profesa Lipumba amefikia uamuzi huo jana, jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kuhitimisha tetesi zilizokuwa zikimuhusisha na kung’atuka katika uongozi wa cha hicho.

Alisema kuwa ameikabidhi Ofisi ya Katibu Mkuu, barua ya kung’atuka nafasi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Profesa Ibrahim Lipumba ajiuzulu nyazifa zote CUF na UKAWA, abaki mwanachama wa kawaida

????????????????????????????????????

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Peacock leo jijini Dar es salaam wakati akitangaza kujuuzulu nyazifa zake zote katika chama hicho na kubaki mwanachama wa kawaida kutokana kile alichokiita dhamira inamsuta.(NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM).

????????????????????????????????????

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba akionyesha rasimu ya katiba iliyoandaliwa na tume ya katiba mpya iliyokuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA KUJIUZULU UWENYEKITI, UONGOZI WA CUF ZANZIBAR WATOA TAMKO

Kaimu Mkurugenzi wa Habari Uenezi na Mawasiliano na Umma Mhe. Ismail Jussa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na kadhia ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicha Profesa Ibrahim Lipumba, aliotangaza jana jijini Dar es Salaam kujiuzulu kwake kwa nafasi hiyo na kubaki kama mwanachama tu wa CUF, mkutano huo umefanyika katika Afisi za CUF Vuga Zanzibar
Jana tarehe 6 Agosti, 2015 Profesa Ibrahim Lipumba aliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacock, mjini Dar es...

 

10 years ago

Vijimambo

Katibu wa CUF Maalim Seif Akanusha kuhama kwa Mwenyekiti wake Mhe Pro. Ibrahim Lipumba.

Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akihutubia kwenye mkutano Mkuu wa Chadema uliofanyika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekanusha taarifa za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Haruna Lipumba.

Amesema akiwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, hajapokea taarifa zozote za kujiuzulu kwa Prof. Lipumba, na kwamba hadi saa nne za usiku wa jana Jumatatu ya tarehe 03/08/2015, alikuwa na...

 

5 years ago

Michuzi

JAJI MKUU WA TANZANIA PROF IBRAHIM JUMA AMUAPISHA HAKIMU MKAZI OLIVIA TOWILO JIJINI DAR

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akimpatia vitendea kazi Hakimu Mkazi, Mhe. Olivia Towilo leo ofisini kwake, iliyopo Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es Salaam baada ya kuampisha.Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akizungumza mara baada ya kumuapisha Hakimu Mkazi, Mhe. Olivia Towilo leo ofisini kwake, iliyopo Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es Salaam.Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Wilbert Chuma (wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani