Asilimia 93 ya Unguja, Pemba kuna umeme
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imefanikiwa kusambaza huduma za umeme mjini na vijijini Unguja na Pemba kwa asilimia 93.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NIA-xC6b1CY/VTKFrlHxp1I/AAAAAAAHR6o/kYgl5ULkc3A/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba wakabidhiwa pikipiki
10 years ago
Dewji Blog07 May
Wizara ya mambo ya nje yakabidhi msaada wa vyandarua hospitali 8 za Pemba na Unguja
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Mahadhi Juma Maalim akimkabidhi Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman msaada wa Vyandarua kwa ajili ya kumaliza maradhi ya Malaria Zanzibar katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja.
Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akitoa neno la shukrani baada ya kupokea msaada wa vyandarua ambao utatumika katika Hospital nane zinazolaza wagonjwa Unguja na Pemba.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
MichuziDKT. MAGUFULI ATAPA WADHAMINI KATIKA MIKOA YA UNGUJA NA PEMBA, ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Taasisi ya JSI Â yakabidhi pikipiki 10 kwa maafisa wa afya Unguja na Pemba
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo (kushoto) akimkabidhi Pikipiki Afisa wa Afya wa Wilaya Nd. Khamis Daud Ali katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Maruhubi.
Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar
Jumla ya Pikipiki 10 zenye thamani ya Sh.Million 42 zimegawiwa kwa Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba.
Pikipiki hizo ni Msaada kutoka Shirika la Watu wa Marekani USAID kupitia Taasisi ya JSI wenye lengo la kusaidia Sekta ya Afya Zanzibar.
Akikabidhi Pikipiki hizo Naibu...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Uwekaji wazi wa daftari la awali la wapiga kura katika mikoa ya Unguja na Pemba
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA UMMA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KATIKA MIKOA YOTE YA UNGUJA NA PEMBA. Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuweka […]
The post Uwekaji wazi wa daftari la awali la wapiga kura katika mikoa ya Unguja na Pemba appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Dewji Blog12 Jun
THPS yakabidhi Komputer kwa vituo vinane vya Afya Unguja na Pemba
Mkurugenzi Mtendaji wa THPS, Dr. Redempta Mbatia, akizungumza kabla ya kukabidhi seti za kumputer kwa vituo vya afya vinane vya Unguja na Pemba kwa ajili ya kutunzia kumbukumbu katika vituo vyao.
DR Mdahoma akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa Komputer kwa ajili ya kuwekea Kumbukumbu katika Vituo vya Afya vya Unguja na Pemba, makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya hoteli ya mazsons shangani Zanzibar.
Naibu Katibu Mku Wazara ya Afya Zanzibar Halima Maulid...
10 years ago
MichuziTHPS Yakabidhi Komputa kwa Vituo Vinane vya Afya Unguja na Pemba
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-twvei9g3yVs/VLamYMckPFI/AAAAAAACxd8/sufuq2L27u4/s72-c/19.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA YA SIKU 16 YA UNGUJA NA PEMBA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-twvei9g3yVs/VLamYMckPFI/AAAAAAACxd8/sufuq2L27u4/s1600/19.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XJfWW3TvNgM/VLamZsxGvJI/AAAAAAACxeQ/6OaaCzN0LLE/s1600/22.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Asilimia 56 ya Watanzania kufikiwa na umeme 2025