Idara ya ardhi kuzindua mfumo wa mtandao leo
IDARA ya Ardhi na Mazingira inatarajia kuzindua mfumo wa Mtandao wa Upatikanaji Taarifa za Ardhi Zanzibar (Zanzibar Land Information Service ’ZALIS’ ) itakayosaidia upatikanaji wa taarifa sahihi za ardhi nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s72-c/MMG_2917.jpg)
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWAAGIZA WAKUU WA IDARA KUANDAA TAARIFA ZA IDARA ZAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s640/MMG_2917.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PeMavfyeBsY/Vm6aRt_5nmI/AAAAAAAIMRY/8aipDHh_aiI/s640/MMG_2894.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_122816.jpg)
LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI
![IMG_20200624_122816 IMG_20200624_122816](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200624_122816.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--mVlYJYu1b0/Xra8L_xNOSI/AAAAAAAAJ78/0bZjiSpzGEYnWtmcX0-en2NgFoD5_ox8gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-09%2Bat%2B17.20.03.png)
WAZIRI KAMWELWE AZINDUA MFUMO WA TIKETI MTANDAO LEO JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/--mVlYJYu1b0/Xra8L_xNOSI/AAAAAAAAJ78/0bZjiSpzGEYnWtmcX0-en2NgFoD5_ox8gCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-05-09%2Bat%2B17.20.03.png)
Waziri Kamwelwe amezindua mfumo huo jijini Dar Es salaam ambapo amesema kuwa mfumo huo uliotengenezwa na Kituo cha Taifa cha Kutunza Taarifa (NIDC) utasaidia kupunguza msongamano katika vituo na kurahisisha huduma ya...
10 years ago
Habarileo28 Mar
Lukuvi aijia juu idara ya ardhi
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewajia juu maofisa ardhi nchini kuwa idara yao imekuwa kichaka na uchochoro wa kuwafanyia unyanyasaji na uonevu mkubwa wananchi kwa kuwapoka haki zao za kumiliki viwanja vya makazi na mashamba kihalali na kueleza kuwa sasa watakiona.
10 years ago
Habarileo18 Apr
Mfumo wa kielektroniki wa ardhi waja
SERIKALI iko mbioni kuanzisha mfumo wa kielektroniki wa usimamizi wa ardhi hapa nchini, utakaosaidia kupima, kupanga na kukusanya kodi ya pango la ardhi na kuondoa kero ambazo wananchi wamekuwa wanakumbana nazo katika sekta hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zF-jq8sCuws/XlUUXsc6-xI/AAAAAAALfR4/NFJBzGIv010EK47oGU4M4Fbo__BniR8bgCLcBGAsYHQ/s72-c/e35b3bc0-ebdc-45d2-855c-1a231dc36507.jpg)
MAMA SAMIA KUZINDUA MTANDAO WA WANAWAKE VIONGOZI WA AFRIKA TAWI LA TANZANIA
Charles James, Michuzi TV
MTANDAO wa Viongozi Wanawake wa Afrika (AWLN) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na Wanawake UN Women kesho wanatarajia kuzindua tawi lao nchini ambapo mgeni rasmi atakua Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan.
Uzinduzi huo utafanyika jijini Dodoma ambapo utahusisha viongozi 60 wanawake pamoja na wageni walioalikwa wakiwemo watendaji kutoka serikalini, Umoja wa Mataifa, Wajumbe wa kibalozi na Umoja wa Afrika.
Akizungumza leo na wandishi...
11 years ago
Dewji Blog16 Jun
UN kuzindua mfumo mpya wa kuhabarisha umma ndani ya tamasha la ZIFF 2014 jioni hii
Ofisa habari wa Kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vusso (kushoto) akionesha taarifa ya Umoja wa Mataifa ya utekelezaji wa mpango wa pamoja wa mashirika ya Umoja wa mataifa hapa nchini. Taarifa hiyo imo katika documentary (taarifa ambayo iko katika mfumo wa video) ya dakika saba inayoonyesha kazi mbalimbali Umoja wa Mataifa nchi itazinduliwa leo kwenye ukumbi wa Ngome Kongwe kuanzia saa moja jioni katika mpango wa Umoja wa Mataifa wa kutumia mitandao ya kijamii...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NY0_pXMwCZs/XqgpndQvHII/AAAAAAAA34Q/1QCq1TFqoqgeAMzy0et4ePVm6Wk5YNK7wCNcBGAsYHQ/s72-c/haki.jpg)
LHRC KUZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA 2019 KWA NJIA YA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-NY0_pXMwCZs/XqgpndQvHII/AAAAAAAA34Q/1QCq1TFqoqgeAMzy0et4ePVm6Wk5YNK7wCNcBGAsYHQ/s640/haki.jpg)
RIPOTI imepangwa kuzinduliwa Jumatano, Aprili 29, 2020 kupitia mtandao wa YouTube (Haki TV), mtandao wa Zoom na mitandao ya Twitter, Facebook na Instagram.
Kwa mujibu wa LHRC, hii ni mara ya kwanza kwa shirika hilo la utetezi wa haki za binadamu hapa nchini kuzindua ripoti kwa njia ya kidigitali tangu walipoanza kuchapisha ripoti hiyo mwaka...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Hospitali kuunganishwa mfumo wa tiba kwa mtandao
SERIKALI ina mpango wa kuziunganisha hospitali zote katika mfumo wa matibabu kwa njia ya mtandao ili wananchi waweze kutibiwa kwa wakati na kwa gharama nafuu. Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa alisema hayo juzi mjini hapa wakati akifungua mkutano wa siku mbili uliohusisha wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), madaktari na wadau mbalimbali. Profesa Mbarawa alisema, mfumo huo utamwezesha mgonjwa ambaye yupo kijijini au hospitali ya mbali...