Baadhi ya maeneo jijini D’Salaam kukosa maji
Kampuni ya Usambazaji Maji katika Jiji la Dar es Salaam (Dawasco) imesema kuwa baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam yatakosa maji kwa muda usiojulikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Oct
Muhimbili, Kariakoo, maeneo mengine kukosa maji
MAMLAKA ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco) imetangaza kukosekana kwa maji kwa siku mbili kuanzia leo katika jiji la Dar es Salaam na mji wa Bagamoyo, kutokana na kuzimwa kwa mtambo.
10 years ago
Michuzi
9 years ago
Michuzi
DAR ES SALAAM, BAGAMOYO KUKOSA HUDUMA YA MAJI KESHO

Mtambo wa Ruvu Chini utazimwa kutokana na matengenezo na Maboresho ya Njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo katika Jiji la Dar es salaam kukosa...
9 years ago
Michuzi
WAFANYAKAZI WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WAFANYA USAFI MAENEO MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM



5 years ago
StarTV19 Feb
Wananchi waandamana kukosa maji baada ya mhudumu wa maji kukamatwa na DC
Na, Ahmed Makongo, Bunda; WANANCHI wa kitongoji cha Mashine ya Maji katika kata ya Bunda stoo, mjini Bunda mkoani Mara, jana wamepiga yowe na kuanadamana kwa kukusanyika pamoja katika kituo cha Mashine ya kusukuma maji, iliyoko katika eneo la Migungani, mjini humo, kutokana na kituo hicho kufungwa na kusababisha kukosa huduma ya maji, kwa …
10 years ago
MichuziDALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR ES SALAAM LEO ASUBUHI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA...
10 years ago
Michuzi
Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio - Waziri Mahenge

Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio, hali ambayo huatarisha afya za wakazi wanaozunguka maeneo hayo ikiwemo pamoja na wafanyakazi machinjioni humo.
Hayo yalibainika wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu ya Rais - Mazingira, Mh. Binilith Mahenge alipofanya ziara ya ukaguzi mazingira katika baadhi ya machinjio hayo jijini humo leo.
Katika ziara hiyo, Mh. Mahenge alitembelea machinjio ya Ukonga na...
5 years ago
CCM Blog
SMZ YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI ARDHI KWA KUKOSA UAMINIFU
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inasikitishwa na tabia ya baadhi ya Watendaji wa Taasisi zinazosimamia masuala ya Ardhi Nchini kuendelea kutokuwa waaminifu katika utekelezaji wa majukumu yao kitendo ambacho huongeza migogoro ndani ya Jamii Nchini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
10 years ago
Mwananchi27 Jul
BVR yaonyesha unafuu baadhi ya maeneo
>Wakati baadhi ya maeneo wananchi wakitaabika kusimama foleni muda mrefu kusubiri kuandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR), sehemu nyingine adha hiyo hakuna.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania