Muhimbili, Kariakoo, maeneo mengine kukosa maji
MAMLAKA ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco) imetangaza kukosekana kwa maji kwa siku mbili kuanzia leo katika jiji la Dar es Salaam na mji wa Bagamoyo, kutokana na kuzimwa kwa mtambo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Baadhi ya maeneo jijini D’Salaam kukosa maji
5 years ago
StarTV19 Feb
Wananchi waandamana kukosa maji baada ya mhudumu wa maji kukamatwa na DC
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan..
Agizo la Rais Magufuli la kupatikana kwa mashine mpya ya CT Scan katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili limeonekana kuzaa matunda baada ya Serikali kununua mashine mpya ambayo imegharimu dola za Kimarekani milioni 1.7. Kutokana na mashine ya awali kuharibika kila wakati Serikali imegharamia mashine mpya ambayo imeelezwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya kazi […]
The post Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
MichuziMATENGENEZO YAKIENDELEA MAENEO MBALIMBALI YA KARIAKOO
![](http://3.bp.blogspot.com/-_9UYDRyLCqU/VaERvI9qbQI/AAAAAAAHo1E/7TPCEz7LIhk/s640/IMG_5865.jpeg)
10 years ago
VijimamboBAADHI YA MAENEO MENGINE YALIKUMBWA NA MAFURIKO HUKO ZANZIBAR BAADA YA MVUA YA MASAA MANANE MFULULIZO
Posta ya Kijangwani hakuna alietuma wa kupokea barua, ni kizaizai tu
Hii inanikumbusa sunami iliyotokea Indonesia ilikushanya marundo ya mataka kama hivi
Kiwanja cha kufurahishia watoto kikiwa kimejaa maji kote, Marry Go Round ikiwa...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Makubwa mengine ya Enock Bella wa Yamoto Band ni haya…yanahusisha pilipili na maji
Enock Bella ni mwimbaji wa bandi ya Yamoto kutoka kwenye mikono ya mkubwa na wanae kundi linavijana wanne kila mmoja na kionjo chake cha sauti, usidhani ile sauti ya Enock wa yamoto band unayoisikia kwenye hits kadhaa imekuja tu hapana inalishwa pilipili Msanii huyo alikaa na ripota wa millardayo.com kwenye Exclusive siri ya sauti yake…kwenye […]
The post Makubwa mengine ya Enock Bella wa Yamoto Band ni haya…yanahusisha pilipili na maji appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mtanzania18 Nov
Dar kuendelea kukosa maji
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
WIZARA ya Maji imesema jiji la Dar es Salaam litaendelea kukabiliwa na uhaba wa maji, kutokana na uboreshwaji wa miundombinu yake kushindwa kukamilika kwa wakati.
Hadi sasa mradi mkubwa wa maji kwa ajili ya jiji hilo umefikia wastani wa asilimia 68.
Akitoa taarifa ya miradi inayotekelezwa na kuboresha huduma ya majisafi na majitaka katika jiji hilo, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Maji na Mifugo, Athumani Sharifu, alisema jiji la Dar es Salaam...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S5KEymRDv1k/VmvX4gNXRXI/AAAAAAAILv8/yUWTxvn964o/s72-c/download%2B%25281%2529.jpeg)
DAR ES SALAAM, BAGAMOYO KUKOSA HUDUMA YA MAJI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-S5KEymRDv1k/VmvX4gNXRXI/AAAAAAAILv8/yUWTxvn964o/s640/download%2B%25281%2529.jpeg)
Mtambo wa Ruvu Chini utazimwa kutokana na matengenezo na Maboresho ya Njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo katika Jiji la Dar es salaam kukosa...
11 years ago
Michuzi07 Feb
KIJITONYAMA SASA WALIA KWA KUKOSA UMEME NA MAJI
Ila kwa sasa matatizo yetu yameongezeka maana kwa muda wa siku tatu sasa tunalala usiku bila ya huduma ya umeme na mchana tunaupata kwa mgao.
Kwa kweli wakazi wa maeneo haya tunateseka sana na huduma hizi mbili na hakuna maelezo yeyote kutoka kwa wahusika. Tunaomba mawaziri husika watusaidie kama sio kupata huduma hizo basi angalau...