MATENGENEZO YAKIENDELEA MAENEO MBALIMBALI YA KARIAKOO
Kazi zikiendele katika mitaa mbalimbali ya Kariakoo jijini Dar es Salaam ikiwa na matengenezo ya fremu mbalimbali.
Nondo zikiwa katwa kwaajili ya kutengeneza fremu katika mtaa wa Congo ,Kariakoo jijini Dar es Salaam.(Picha na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Oct
Muhimbili, Kariakoo, maeneo mengine kukosa maji
MAMLAKA ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco) imetangaza kukosekana kwa maji kwa siku mbili kuanzia leo katika jiji la Dar es Salaam na mji wa Bagamoyo, kutokana na kuzimwa kwa mtambo.
11 years ago
GPLKAMERA YETU IMETEMBELEA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI
10 years ago
GPLWAMAREKANI WAKARIBISHWA KUWEKEZANCHINI KATIKA MAENEO MBALIMBALI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OG9oygIBt1E/VI2G30dk1zI/AAAAAAAG3JY/9DerUXndtzY/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Uchaguzi Serikali za Mitaa katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-OG9oygIBt1E/VI2G30dk1zI/AAAAAAAG3JY/9DerUXndtzY/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0ZWkoqMozcI/VI2G4UlV_PI/AAAAAAAG3JU/pm6TFZtyiDE/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--5jufqTIbGQ/VI2G5XNl6vI/AAAAAAAG3J0/ntNMvRn3nq4/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KPucvek-SBQ/XoJDftBK65I/AAAAAAALloE/XOTv2kKRVcQz8lgeaF2sRSIsLiJlstGVACLcBGAsYHQ/s72-c/a146cae1-59a5-4c64-8e04-3ac8ab04f5fc.jpg)
MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI
Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.
Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...
9 years ago
MichuziWANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA MAENEO MBALIMBALI YA KATA YA KIJITONYAMA JIJINI DAR
Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9H4qzsRmOgg/VmiSTP_vvrI/AAAAAAAILSY/Rs0sOkICLzc/s72-c/picha%2Bno.3.jpg)
WAFANYAKAZI WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WAFANYA USAFI MAENEO MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-9H4qzsRmOgg/VmiSTP_vvrI/AAAAAAAILSY/Rs0sOkICLzc/s640/picha%2Bno.3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-95kqMR8lgEU/VmiSOV25w9I/AAAAAAAILR8/X2OMnGTqlAk/s640/Picha%2Bno.%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3RCsCH-4hWY/VmiSOo9GjGI/AAAAAAAILSA/1KldodrMqKw/s640/Picha%2Bno.%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z5JI1NefIDY/XoY6i4N4PKI/AAAAAAALl4g/Y8bV64ciycoyhsvvMC1scempOjPsY1pLgCLcBGAsYHQ/s72-c/8dbb392a-9d26-45fb-bb1f-59bcf9a2fdbc.jpg)
Manispaa ya Ubungo yachukua tahadhari ya Virusi vya Corona kwa kupuliza dawa maeneo mbalimbali
Manispaa ya Ubungo imesema kuwa iko katika mkakati wa upuliziaji dawa katika maeneo ya mbalimbali ikiwemo na sehemu za huduma za kijamii.
Akizungumza na Michuzi TV Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic Swai amesema kuwa mkakati huo ni kuchukua tahadhari ya kujikinga na Virusi vya Corona.
Swai amesema kuwa katika kipindi chote hiki wananchi wazinagatie usafi wa kunawa mikono katika sehemu za huduma za Jamii kwani vifaa wameweka wameweka.
Amesema ...
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Wananchi wajitokeza kwa wingi kupiga kura maeneo mbalimbali ya Kata ya Kijitonyama jijini Dar
Wasimamizi wa uchaguzi wakiendelea kuwahudumia wananchi waliofika katika kituo cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kijitonyama leo jijini Dar kwa ajili ya kupiga kura.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Mmoja wa wazee akisaidiwa na mtu wake wa karibu ili kupiga kura katika kituo cha Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini Dar leo.
Mlemavu akisaidiwa na mtu wa karibu alipofika katika kituo cha Kenton kwa ajili ya kupiga kura.
Mmoja wa wananchi akiwa kwenye sehemu ya kupigia kura...