WADAU WA MAENDELEO WEKENI MAZINGIRA RAFIKI KWA WANAHABARI KUTEKELEZA MAJUKUMU KIPINDI HICHI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VM7RSHJLWyM/XqkwXfPG43I/AAAAAAALoiU/5ik1Uh43xaQ3YeJVuFxpq8yhrvrAHHfyQCLcBGAsYHQ/s72-c/AA-5-768x345.jpg)
………………………………………………………….
Na Ahmed Mahmoud Arusha .
Imeelezwa kuwa Waandishi wa habari nchini wapo kwenye kipindi kigumu cha kutekeleza majukumu yao wakati huu wa mapambano ya Ugonjwa wa Covid 19 kiuchumi na wadau wametakiwa kujitokeza kusaidia kada hiyo ili iweze kutoa taarifa sahihi na kweli.
Kwa mujibu wa Mdau wa maendeleo jijini Arusha Mwanasheria Maarufu Albert Msando na mmiliki wa The Don ambaye ametoa Barakoa na vitakasa mikono kwa klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Arusha (APC) ikiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_Ue_9-tqFIQ/XmXE_6qpopI/AAAAAAALiJM/mDGnHrPp28ELFsSBUxQTTV9Xe4RCn8d0QCLcBGAsYHQ/s72-c/L-2.jpg)
WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA WAZIRI MKUU WAHIMIZWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA UFANISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-_Ue_9-tqFIQ/XmXE_6qpopI/AAAAAAALiJM/mDGnHrPp28ELFsSBUxQTTV9Xe4RCn8d0QCLcBGAsYHQ/s640/L-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/L-1.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akihutubia watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika Machi 8, 2020 Jijini Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/L-3.jpg)
Sehemu ya Wajumbe wa Baraza la Wafanayakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) wakisikiliza hotuba ya Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na...
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Hofu ya kuenea kwa corona kipindi cha Ramadhani
5 years ago
CCM Blog22 May
MAPIGO 6 YA JPM KWA MABEBERU KATIKA KIPINDI HIKI CHA CORONA.
![Image may contain: 1 person, sitting](https://scontent.fdar5-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-9/98002708_103119514753779_4616803184197763072_n.jpg?_nc_cat=100&_nc_sid=ca434c&_nc_eui2=AeGQFm1U9TEk08sOVemjHMNXi2caL-vzTC-LZxov6_NMLxo263nS_opmNFcxsRyqVZpS5VcHTnbFAOc6_WS7ZHoG&_nc_ohc=UcP5Mo05-6kAX8dxKgc&_nc_ht=scontent.fdar5-1.fna&oh=06849f0844a2112d2455b56c04351aa8&oe=5EECCB69)
*PIGO LA KWANZA HILO*2:Barakoa kutoka nje zikaanza kuwa adimu na kupanda bei JPM akasema watanzania kila mtu ashone yake zikashuka bei zikauzwa hadi buku
*PIGO LA PILI HILO*3: Wakaleta Lockdown ili tujifungie tusifanye kazi watuletee misaada kwa masharti yao JPM akasema no HAPA KAZI TU wakashindwa.
*PIGO LA TATU HILO*4:Wakaleta vipimo feki ili watanzania wengi...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Rwanda yazindua magari rafiki kwa mazingira
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wataalamu na Wadau wa Mazingira waendelea kujadili mada katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu Afrika
Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe wakifuatilia mada leo Oktoba 29, siku ya pili ya mkutano huo. Tayari mada mbalimbali za kitaalamu juu ya mabadiliko ya tabianchi na mambo ya kimikakati ya kukabiliana na mazingira, hali ya hewa na mengine yanaendelea kujadiliwa muda huu. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[VICTORIA FALLS-ZIMBABWE]...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200522-WA0048.jpg)
OLE MILLYA AMFAGILIA RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU MAZISHI YA HESHIMA KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200522-WA0048.jpg)
******************************
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya amempongeza Rais John Magufuli kwa hatua yake ya kuruhusu maziko kufanyika kwa heshima tofauti na awali watu 10 ndiyo walikuwa wanamzika mtu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7bnfQ02Gv-Y/VWKpjE1__LI/AAAAAAAC4-c/QNVFJFdWJZg/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Serikali yajipanga kuboresha mazingira rafiki ya hedhi Salama kwa wanafunzi
![](http://3.bp.blogspot.com/-7bnfQ02Gv-Y/VWKpjE1__LI/AAAAAAAC4-c/QNVFJFdWJZg/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Kauli mbiu ya mwaka huu Ikiwa "Usisite Kuzungumzia Hedhi". Wengine kushoto ni Mwandaaji wa maadhimisho hayo...
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Ifahamu njia mpya ya kuzika mwili ambayo ni rafiki kwa mazingira
9 years ago
MichuziSHIVYAWATA WATAKA MAZINGIRA RAFIKI YA ELIMU KWA SERIKALI YA AWAMU YA TANO