Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbarali wamtaka Rais Magufuli kulirejesha shamba la Kapunga

WANANCHI katika Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wanasubiri kurudishwa kwa Shamba la Kapunga serika

Felix Mwakyembe

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TNRF WAMTAKA RAIS MAGUFULI ADHIBITI UPOTEVU WA MALIASILI NCHINI

Na Ferdinand Shayo wa Wazalendo 25 Blog ,Arusha.
Mwenyekiti wa Jumuiko la Maliasili nchini Dr.Suma Kaare amemtaka Raisi John Pombe Magufuli adhibiti upotevu wa mali asili za wanyama pori na misitu uliokithiri katika maeneo mengi nchini ili kunusuru uhai wa maliasili.
Suma Kaare amesema hayo katika mkutano wa 7 wa jumuiko la maliasili unaoendelea jijini Arusha,Kaare amesema kuwa jukwaa hilo litashirikiana na Rais huyo katika kuhakikisha kuwa maliasili zinalindwa na kuwanufaisha Watanzania...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aahidi kurejesha mashamba Kapunga

MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameahidi atakapochaguliwa kuwa rais, atarudisha sehemu ya mashamba ya Kapunga ya wilayani Mbarali katika mkoa wa Mbeya kwa wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli afuta hati ya hekta 1,870 Kapunga

Rais John Magufuli amemaliza mgogoro wa ardhi baina ya wananchi wa Kapunga na mwekezaji wa Kapunga Rice Project Limited na sasa hekta 1,780 zitakuwa mali ya wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wamtaka Magufuli atimize ahadi zake

Mchungaji wa Kanisa la AIC Kalangalala la Geita Mjini mkoani hapa, limeitaka Serikali mpya inayoingia madarakani itimize ahadi zote walizozitoa kwa wananachi.

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema wamtaka Magufuli asiwabague wananchi Chato

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemtaka Mbunge wa Chato (CCM), Dk. John Magufuli (pichani), kuacha kuwabagua wananchi wa jimbo hilo kutokana na kuwachagua wenyeweviti na wajumbe wa Chadema kupitia Ukawa katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Desemba 14, mwaka jana.

Chadema walitoa tahadhari hiyo baada ya Dk. Magufuli ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi, hivi karibuni kudai atapeleka fedha za Mfuko wa Jimbo katika vijiji na vitongoji walivyoshinda wagombea wa CCM...

 

9 years ago

Habarileo

Vyama vya siasa, wasomi wamtaka Magufuli

SHIRIKISHO la Vyama vya Siasa nje ya Ukawa Mkoa wa Mbeya na Mtandao wa Wasomi na Wanataaluma vimetangaza rasmi kumuunga mkono Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima wadogo wamtaka Magufuli kuwekeza katika kilimo

Wazalishaji na wakulima wadogo nchini wamemtaka Rais John Magufuli, kuwekeza katika kilimo ili kukamilisha kaulimbiu yake ya Tanzania yenye viwanda pamoja na kutekeleza sera za kilimo chenye tija.

 

9 years ago

Dewji Blog

TNRF wamtaka Magufuli adhibiti upotevu wa maliasili nchini

Mwenyekiti wa Jumuiko la Maliasili nchini (TNRF) ,Dr.Suma Kaare akizungumza katika mkutano wa 7 wa jumuiko hilo uliofanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa na mashirika binafsi pamoja na wawakilishi kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii. (Picha na Gadiola Emmanuel).

Mkurugenzi wa Shirika la Haki kazi Catalyst Alais Moridant akifafanua jambo  katika mkutano wa 7 wa jumuiko hilo uliofanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa na mashirika binafsi pamoja na wawakilishi kutoka Wizara ya Maliasili na...

 

10 years ago

Vijimambo

MTIA NIA UBUNGE JIMBO LA MBARALI LIBERATUS MWANG'OMBE AWASILI MWALIMU NYERERE INTERNATIONA AIRPORT TAYARI KWA KUANZA SAFARI YAKE YA KUWATUMIKIA WANA MBARALI

Akiwa anatokea masomoni Marekani, mtia nia Liberatus Mwangombe kwenye jimbo la Mbarali kwa tiketi ya CHADEMA amewasili mchana huu kwenye kiwanja cha ndege cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam

Mwang'ombe anatarajia kuwa na mikutano na baadhi ya viongozi wa kitaifa Makao Makuu ya CHADEMA hapo kesho kabla ya kuelekea jimboni, Mbarali, siku mbili zijazo.

Akiongea na muwakilishi wa studio za SUN SHINE kutoka Chimala punde tu alipo shuka Airport ya Mwalimu Nyerere, Mwang'ombe amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani