Mbarali wamtaka Rais Magufuli kulirejesha shamba la Kapunga
WANANCHI katika Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wanasubiri kurudishwa kwa Shamba la Kapunga serika
Felix Mwakyembe
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTNRF WAMTAKA RAIS MAGUFULI ADHIBITI UPOTEVU WA MALIASILI NCHINI
Mwenyekiti wa Jumuiko la Maliasili nchini Dr.Suma Kaare amemtaka Raisi John Pombe Magufuli adhibiti upotevu wa mali asili za wanyama pori na misitu uliokithiri katika maeneo mengi nchini ili kunusuru uhai wa maliasili.
Suma Kaare amesema hayo katika mkutano wa 7 wa jumuiko la maliasili unaoendelea jijini Arusha,Kaare amesema kuwa jukwaa hilo litashirikiana na Rais huyo katika kuhakikisha kuwa maliasili zinalindwa na kuwanufaisha Watanzania...
9 years ago
Habarileo28 Sep
Magufuli aahidi kurejesha mashamba Kapunga
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameahidi atakapochaguliwa kuwa rais, atarudisha sehemu ya mashamba ya Kapunga ya wilayani Mbarali katika mkoa wa Mbeya kwa wananchi.
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Magufuli afuta hati ya hekta 1,870 Kapunga
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Wamtaka Magufuli atimize ahadi zake
10 years ago
Vijimambo12 Jan
Chadema wamtaka Magufuli asiwabague wananchi Chato
Chadema walitoa tahadhari hiyo baada ya Dk. Magufuli ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi, hivi karibuni kudai atapeleka fedha za Mfuko wa Jimbo katika vijiji na vitongoji walivyoshinda wagombea wa CCM...
9 years ago
Habarileo23 Oct
Vyama vya siasa, wasomi wamtaka Magufuli
SHIRIKISHO la Vyama vya Siasa nje ya Ukawa Mkoa wa Mbeya na Mtandao wa Wasomi na Wanataaluma vimetangaza rasmi kumuunga mkono Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Wakulima wadogo wamtaka Magufuli kuwekeza katika kilimo
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
TNRF wamtaka Magufuli adhibiti upotevu wa maliasili nchini
Mwenyekiti wa Jumuiko la Maliasili nchini (TNRF) ,Dr.Suma Kaare akizungumza katika mkutano wa 7 wa jumuiko hilo uliofanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa na mashirika binafsi pamoja na wawakilishi kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii. (Picha na Gadiola Emmanuel).
Mkurugenzi wa Shirika la Haki kazi Catalyst Alais Moridant akifafanua jambo katika mkutano wa 7 wa jumuiko hilo uliofanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa na mashirika binafsi pamoja na wawakilishi kutoka Wizara ya Maliasili na...
10 years ago
VijimamboMTIA NIA UBUNGE JIMBO LA MBARALI LIBERATUS MWANG'OMBE AWASILI MWALIMU NYERERE INTERNATIONA AIRPORT TAYARI KWA KUANZA SAFARI YAKE YA KUWATUMIKIA WANA MBARALI
Mwang'ombe anatarajia kuwa na mikutano na baadhi ya viongozi wa kitaifa Makao Makuu ya CHADEMA hapo kesho kabla ya kuelekea jimboni, Mbarali, siku mbili zijazo.
Akiongea na muwakilishi wa studio za SUN SHINE kutoka Chimala punde tu alipo shuka Airport ya Mwalimu Nyerere, Mwang'ombe amesema...