AMUUA MKE WAKE KISHA YEYE KUJINYONGA MBOZI MBEYA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.
Na Mwandishi wetu,Mbeya,Jamiimojablog
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanaume mmoja Mkazi wa kijiji cha Malolo Ndugu Chipunguli Mkisi (30) amemuua mke wake kwa kumkata panga kichwani kisha yeye mwenyewe kujiua kwa kujinyonga.
Akizungumzia tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ndugu Ahmed Msangi amesema tukio hilo la aina yake limetokea Desemba 15 mwaka huu majira ya saa 7 mchana huko katika kijiji cha Malolo, Kata ya Msia, wilaya ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM09 Jan
TUKIO LA KUSIKITISHA BABA AMTOBOA MWANAYE MACHO KISHA NA YEYE KUJINYONGA!
Basi Mama akaondoka kujihifadhi kwingine Baba yao aliporudi akawauliza Mama yao yuko wapi,ndipo huyo mtoto aliyeonekana kama ndio mkubwa kwenye familia hiyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2QH0PUKTJC0/VONfD20NZ-I/AAAAAAADZt8/fQbvRTJEZak/s72-c/6921526e62150a8871edd4c0bd02a8ef.jpg)
AMUUA MDENI WAKE NA KUMZIKA MWENYEWE KISHA KUHAMA NYUMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2QH0PUKTJC0/VONfD20NZ-I/AAAAAAADZt8/fQbvRTJEZak/s1600/6921526e62150a8871edd4c0bd02a8ef.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-buN1feY9SYQ/VONfEDjNNuI/AAAAAAADZuA/gHkFqTaXPkA/s1600/d644d6c391d60d1b0c603848fac992a5.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/I8WK1WGyX-k/default.jpg)
MAMA SAMIA AONYESHA UBORA WAKE KATIKA KAMPENI JIMBO LA MBOZI, MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IXfuZ0dVpXs/ViO_OY1itFI/AAAAAAAA0pQ/f91SPAmNKNI/s640/DSC_1453.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OgDhyayfxvI/ViPAVG4TbqI/AAAAAAAA0ps/FIYW4IZAvpA/s640/DSC_0006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XgmVf_4MAYA/ViPASOs3bTI/AAAAAAAA0pk/Xnnwn7d29RE/s640/DSC_0009.jpg)
10 years ago
Vijimambo06 Jan
BABA AMTOBOA MWANAYE MACHO NA YEYE KUJINYONGA!
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10920934_1120984407915976_2212513218825127705_n.jpg?oh=001596dfdf620087822d2000adc152da&oe=553C9522)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXWBnXhu1xq6Ov7xOBb*9RWrBEYGfaF0w7Caoq2ns8DgOE2MsuwuFVAFu16BkhOjzzXUcATNuctGtzFvcZFFywSo/slaa4.jpg?width=650)
DK. SLAA AVISHWA VAZI LA KICHIFU, APEWA JINA LA 'MWENE WA MBOZI' HUKO MBOZI MKOANI MBEYA
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Bomoabomoa Dar, Vigogo wa TRA waachiwa, Mume amuua mkewe kisha kujiua, ya Jaji Bomani..MAGAZETINI
MTANZANIA Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema afya yake ni njema na anaendelea na majukumu yake ya kila siku kama kawaida. Amesema hivi sasa yuko India alikokwenda kufanya uchunguzi wa afya yake katika Hospital ya Apollo na kwamba madaktari wake bado wanaendelea kumfanyia uchunguzi wa macho. Akizungumza jana kupitia simu yake ya kuganjani kutokea nchini […]
The post Bomoabomoa Dar, Vigogo wa TRA waachiwa, Mume amuua mkewe kisha kujiua, ya Jaji Bomani..MAGAZETINI appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3vKQkh-FlonBMVTnLHqxPSM3yeaVe5*RuvvaNKZLcfslEHIPo9sELtTYhWt28FMGEgMFagAncHZi*Axib1WDhCwUqqW0W4pp/MWINJILISTI.jpg?width=650)
MWINJILISTI ALIVYOMCHINJA MKE, NAYE KUJINYONGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PIJUTubi-U8/Xr_LGTECp-I/AAAAAAAC5cA/aMOU_ZokYIYpwY00EUKo2EN8a4Ol7phuwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AMUUA MAMA YAKE MZAZI KISHA KUINYWA DAMU YAKE
Na.Vero Ignatus Arusha.
Jeshi la Polisi la Mkoa wa Arusha linamshikilia Daniel Emmanuel (32) Mkazi wa Sakila wilayani Arumeru, kwa kukutwa akinywa damu ya mama yake Mzazi Eliyamulika Emmanuel Sarakikiya (79) kwenye kikombe, baada ya kumuua kwa shoka na kutenganisha shingo,mkono na mguu na kiwiliwili.
Akizungumza kwa masikitiko, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jonathan Shana amesema mtuhumiwa huyo alifanya mauaji hayo Mei 15 mwaka huu, majira ya saa 9:00 mchana katika Kijiji cha Sakila...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pKJO9s8NOU1MYviywrnTbE3U4*a*ruGMZDBvd1fBNu3fmRMYieyhIRVoC1epnyCzUQ-06p0-0UDNLAGjYYpBENd/wivu.gif)
AMUUA MKE KWA WIVU WA MAPENZI