Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUKIO LA KUSIKITISHA BABA AMTOBOA MWANAYE MACHO KISHA NA YEYE KUJINYONGA!

Godfrey Joseph Kajuna (45) mkazi Muleba Mkoa wa Kagera ampiga kwa fimbo nzito na kumtoboa macho bintiye wa miaka 12 Agripina Godfrey kisha naye kujinyonga hadi kufa Chanzo ni kwamba Baba alitoka na kuwambia wanae kuwa Mama yao akirudi wasimfungulie mlango, hivyo mama aliporudi watoto kwa kumuogopa Baba yao wakakataa kumfungulia Mlango.
Basi Mama akaondoka kujihifadhi kwingine Baba yao aliporudi akawauliza Mama yao yuko wapi,ndipo huyo mtoto aliyeonekana kama ndio mkubwa kwenye familia hiyo...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BABA AMTOBOA MWANAYE MACHO NA YEYE KUJINYONGA!

Godfrey Joseph Kajuna (45) mkazi Muleba Mkoa wa Kagera ampiga kwa fimbo nzito na kumtoboa macho bintiye wa miaka 12 Agripina Godfrey kisha naye kujinyonga hadi kufaChanzo ni kwamba Baba alitoka na kuwambia wanae kuwa Mama yao akirudi wasimfungulie mlango, hivyo mama aliporudi watoto kwa kumuogopa Baba yao wakakataa kumfungulia Mlango. Basi Mama akaondoka kujihifadhi kwingine.

 

9 years ago

Michuzi

AMUUA MKE WAKE KISHA YEYE KUJINYONGA MBOZI MBEYA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.

Na Mwandishi wetu,Mbeya,Jamiimojablog

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanaume mmoja Mkazi wa kijiji cha Malolo Ndugu Chipunguli Mkisi (30) amemuua mke wake kwa kumkata panga kichwani kisha yeye mwenyewe kujiua kwa kujinyonga.

Akizungumzia tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ndugu Ahmed Msangi amesema tukio hilo la aina yake limetokea Desemba 15 mwaka huu majira ya saa 7 mchana huko katika kijiji cha Malolo, Kata ya Msia, wilaya ya...

 

9 years ago

Bongo5

Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari anataka DNA ya mtoto wa Diamond, anadai yeye ni baba, juzi alidai Ivan ndio baba!

Guys kuna mambo mengi sana feki yanaendelea kwenye mitandao ya kijamii. Tena zaidi ni kuwa mengi yanakuja na picha zinazoashiria ukweli lakini katika maisha ya chuki na visasi, kila kitu kinawezekana. Mtoto wa Diamond, Tiffah Bahati mbaya tunaishi kwenye dunia ambayo watu huamini haraka mambo hasi ambayo kwa kawaida husambaa haraka zaidi kuliko yale chanya. […]

 

11 years ago

GPL

BABA ALIVYOMCHINJA MWANAYE

Stori: Mwandishi Wetu, KAHAMA
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Majengo, Kahama mkoani Shinyanga, Said Siraji (13) anaendelea vizuri katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama alikolazwa baada ya kunusurika kifo kwa kuchinjwa shingoni na baba yake mzazi kwa madai ya kushindwa kumtibu mtoto huyo kwa matatizo yake ya afya. Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo, Dokta Joseph Fwoma alisema Said anaendelea vizuri baada ya...

 

9 years ago

GPL

BABA AMRUSHA MWANAYE GHOROFANI

Mwandishi Wetu STRESS! Mtanzania mmoja aliyefahamika kwa jina la utani la Mabastola, amefariki dunia jijini Istanbul nchini Uturuki mwishoni mwa wiki iliyopita, baada ya kumrusha mwanaye kutoka katika ghorofa ya tatu ya jengo alilokuwa akiishi kisha na mwenyewe kujirusha na kufa papo hapo. Akiwa na mwanaye enzi za uhai wao. Chanzo chetu kilichopo jijini humo, kimeliambia gazeti hili kuwa kinacho taarifa za msiba huo ambao chanzo...

 

10 years ago

GPL

BABA ALIVYOMCHINJA MWANAYE DAR!

Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata
HUU ndiyo ukatili wa kutisha kufanywa na baba kwa mtoto wa kumzaa mwenyewe!
Ilikuwa vilio na simanzi kwa wakazi wa Mabibo Loyola jijini Dar kufuatia mtoto  wa mwaka mmoja, William Kasuga kuchinjwa hadi kichwa kutengana na kiwiliwili kitendo kinachodaiwa kufanywa na baba yake mzazi, Maneno Kasuga, Uwazi lina mkasa wote wa kusikitisha. Mtoto William Kasuga enzi za uhai wake. Tukio hilo...

 

10 years ago

GPL

BABA ALIVYOMNYONGA MWANAYE NA KUMZIKA

Na Mwandishi Wetu, Katavi
YULE mtoto wa umri  wa mwaka mmoja na miezi miwili, Regina Geofrey aliyeuawa kikatili kwa kunyongwa kisha kuzikwa na baba yake mzazi, Geofrey Kilangwa ‘Simbaiwe’ (27) kwa kuwa alizaliwa akiwa ametanguliza makalio yake, amezidi kuibua maswali. Mtuhumiwa Geofrey Kilangwa ‘Simbaiwe’( katikati) aliyemuua mwanaye mwenye umri  wa mwaka mmoja na miezi miwili, Regina Geofrey. ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baba adaiwa kumnyonga mwanaye

MTOTO Henry Juma, mwenye umri wa miezi saba, mkazi wa Migombani mjini Tunduma, wilayani Momba, mkoani hapa, amekutwa ameuawa kwa kunyongwa shingo na baba yake mzazi, Juma Venance, kisha mwili...

 

10 years ago

Mwananchi

Baba mzazi adaiwa kumchinja mwanaye

Baba mzazi na mkazi wa Kijiji cha Sima wilayani hapa mkoani Mwanza anadaiwa kumuua kikatili mwanaye Maneno Faida (4) kwa kumchinja koromeo na kumchoma kwa kisu kwenye kitovu na utumbo kutoka nje.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani