TUKIO LA KUSIKITISHA BABA AMTOBOA MWANAYE MACHO KISHA NA YEYE KUJINYONGA!
Basi Mama akaondoka kujihifadhi kwingine Baba yao aliporudi akawauliza Mama yao yuko wapi,ndipo huyo mtoto aliyeonekana kama ndio mkubwa kwenye familia hiyo...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Jan
BABA AMTOBOA MWANAYE MACHO NA YEYE KUJINYONGA!
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10920934_1120984407915976_2212513218825127705_n.jpg?oh=001596dfdf620087822d2000adc152da&oe=553C9522)
9 years ago
MichuziAMUUA MKE WAKE KISHA YEYE KUJINYONGA MBOZI MBEYA
Na Mwandishi wetu,Mbeya,Jamiimojablog
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanaume mmoja Mkazi wa kijiji cha Malolo Ndugu Chipunguli Mkisi (30) amemuua mke wake kwa kumkata panga kichwani kisha yeye mwenyewe kujiua kwa kujinyonga.
Akizungumzia tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ndugu Ahmed Msangi amesema tukio hilo la aina yake limetokea Desemba 15 mwaka huu majira ya saa 7 mchana huko katika kijiji cha Malolo, Kata ya Msia, wilaya ya...
9 years ago
Bongo517 Aug
Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari anataka DNA ya mtoto wa Diamond, anadai yeye ni baba, juzi alidai Ivan ndio baba!
Guys kuna mambo mengi sana feki yanaendelea kwenye mitandao ya kijamii. Tena zaidi ni kuwa mengi yanakuja na picha zinazoashiria ukweli lakini katika maisha ya chuki na visasi, kila kitu kinawezekana. Mtoto wa Diamond, Tiffah Bahati mbaya tunaishi kwenye dunia ambayo watu huamini haraka mambo hasi ambayo kwa kawaida husambaa haraka zaidi kuliko yale chanya. […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVd1-hvLcAdDj5ZREmv1sT0LiceItyxvwmwD93Zmf8Wk4vQGGCtPQyyp2lIqfIjWB5SG2XtrlUjSYj77wZi*wifu/baba.jpg?width=650)
BABA ALIVYOMCHINJA MWANAYE
Stori: Mwandishi Wetu, KAHAMA
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Majengo, Kahama mkoani Shinyanga, Said Siraji (13) anaendelea vizuri katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama alikolazwa baada ya kunusurika kifo kwa kuchinjwa shingoni na baba yake mzazi kwa madai ya kushindwa kumtibu mtoto huyo kwa matatizo yake ya afya. Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo, Dokta Joseph Fwoma alisema Said anaendelea vizuri baada ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JQbgrkxt9ufR-VOe7vO0xN3z5Sr6Y48PCFFBVQbAoUu4*2he-GmL-799uLFLv4*2MhNsvHOHZXZyjkvwCzkl4zPouGZDb-k-/baba.jpg?width=650)
BABA AMRUSHA MWANAYE GHOROFANI
Mwandishi Wetu STRESS! Mtanzania mmoja aliyefahamika kwa jina la utani la Mabastola, amefariki dunia jijini Istanbul nchini Uturuki mwishoni mwa wiki iliyopita, baada ya kumrusha mwanaye kutoka katika ghorofa ya tatu ya jengo alilokuwa akiishi kisha na mwenyewe kujirusha na kufa papo hapo. Akiwa na mwanaye enzi za uhai wao. Chanzo chetu kilichopo jijini humo, kimeliambia gazeti hili kuwa kinacho taarifa za msiba huo ambao chanzo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-SH5vFbeCgeVje-i6P4UrP1tRrAEYfGv43Mpz3q0uQMaM2t3yRvlkVD7uGcSjYagVROxttrTijWVC9ZjrzOfJ55/FRONTUWAZI.jpg)
BABA ALIVYOMCHINJA MWANAYE DAR!
Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata
HUU ndiyo ukatili wa kutisha kufanywa na baba kwa mtoto wa kumzaa mwenyewe!
Ilikuwa vilio na simanzi kwa wakazi wa Mabibo Loyola jijini Dar kufuatia mtoto wa mwaka mmoja, William Kasuga kuchinjwa hadi kichwa kutengana na kiwiliwili kitendo kinachodaiwa kufanywa na baba yake mzazi, Maneno Kasuga, Uwazi lina mkasa wote wa kusikitisha. Mtoto William Kasuga enzi za uhai wake. Tukio hilo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*B180K2ZGEO4-uCqjaUfFJXP5EU5tM0XNFNb2nag05R5nGMAGGX2LU05CgQ3ly2b**EMy6oq2N1TadyTyoFoxwg/backAMANI.jpg?width=650)
BABA ALIVYOMNYONGA MWANAYE NA KUMZIKA
Na Mwandishi Wetu, Katavi
YULE mtoto wa umri wa mwaka mmoja na miezi miwili, Regina Geofrey aliyeuawa kikatili kwa kunyongwa kisha kuzikwa na baba yake mzazi, Geofrey Kilangwa ‘Simbaiwe’ (27) kwa kuwa alizaliwa akiwa ametanguliza makalio yake, amezidi kuibua maswali. Mtuhumiwa Geofrey Kilangwa ‘Simbaiwe’( katikati) aliyemuua mwanaye mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi miwili, Regina Geofrey. ...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Baba adaiwa kumnyonga mwanaye
MTOTO Henry Juma, mwenye umri wa miezi saba, mkazi wa Migombani mjini Tunduma, wilayani Momba, mkoani hapa, amekutwa ameuawa kwa kunyongwa shingo na baba yake mzazi, Juma Venance, kisha mwili...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Baba mzazi adaiwa kumchinja mwanaye
Baba mzazi na mkazi wa Kijiji cha Sima wilayani hapa mkoani Mwanza anadaiwa kumuua kikatili mwanaye Maneno Faida (4) kwa kumchinja koromeo na kumchoma kwa kisu kwenye kitovu na utumbo kutoka nje.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania