Wakulima wa zao la mihogo kuanza kunufaika
Wakulima wa zao la muhogokanda ya ziwa wanataraji kufaidika na soko jipya la Muhogo baada ya kupatikana kwa mdau anaye tumia zao hilo kuzalisha chakula cha kuku
Kutokana na uwekezaji huo Sasa wakulima wataokoa zaidi ya asilimia 30 ya sehemu ya muhogo iliyokua ikipotea baada ya kumenywa
Kwa muda mrefu mhogo umekua ukionekana kama zao Duni na wakulima wake kuishi katika dhiki kubwa kutokana na uhaba wa masoko na bei ndogo
Idara ya Chakula na Lishe Nchini Tanzania kwa kushirikia na mradi wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Wakulima 4,900 kunufaika
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Wakulima wa kahawa kunufaika
10 years ago
StarTV13 Jan
Wakulima wa Tangawizi Same kunufaika kiuchumi
Na Zephania Renatus,
Same.
Tatizo la ukosefu wa barabara lililokuwa likiwakabili wakulima wa zao la Tangawizi kufikisha mazao yao kiwandani katika kata ya Mamba Myamba wilayani Same Mkoani Kilimanjaro huenda likamalizika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu, baada ya serikali kwa kushirikiana na benki ya maendeleo ya afrika kutenga kiasi cha shilingi bilioni 2. ili kukamilisha ujenzi wa barabara hizo.
Barabara hizo mbili zenye urefu wa kilimota 13.9 zinazopita katika vijiji nne vya...
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Wakulima Iringa kunufaika ruzuku ya pembejeo
WAKULIMA wa Mkoa wa Iringa wanatarajia kunufaika kupitia Benki ya Wananchi Mufindi (Mucoba Bank PLC), kwa kuanza kupewa mikopo ya pembejeo kwa vikundi vya wakulima kwa riba nafuu na kulipwa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Wakulima wa mpunga Igunga kunufaika na mradi wa samaki
WAKULIMA wa zao la mpunga Kanda ya Kati, wanatarajia kunufaika na mfumo mpya wa serikali wa kuwaanzishia ujenzi wa Chuo cha Ufugaji Samaki kwa lengo la kuwaongezea kipato. Mkurugenzi Msaidizi...
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Wakulima Liwale kunufaika na mbegu za alizeti, ufuta
9 years ago
Bongo527 Nov
Wasanii wachanga kunufaika pia na uchezwaji wa nyimbo zao
![Muziki Pesa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Muziki-Pesa-300x194.jpg)
Baada ya Chama cha Haki Miliki Tanzania (COSOTA) pamoja na kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) kutangaza neema kwa wasanii kuanza kunufaika kwa kulipwa mirahaba itokanayo na kazi zao kuchezwa kwenye redio na TV, wasanii wachanga wameanza kuwa na hofu na mfumo huo.
muziki pesa
Akizungumza na 255 ya XXL kupitia Clouds FM, Afisa Mtendaji Mkuu COSOTA, Doreen Anthony alisema kila kazi ya msanii itakayosikika itatakiwa kulipiwa.
“Kwetu sisi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RNe5MyCYDMY/VR6_LfzJvAI/AAAAAAAHPMA/HcwQxPMc51w/s72-c/9Heifer%2BArk%2Bw%2Blogo%2Bsm3.jpg)
Wakulima wa Kahawa Mbozi kunufaika na bilioni 1.35 kutoka Heifer International
![](http://2.bp.blogspot.com/-RNe5MyCYDMY/VR6_LfzJvAI/AAAAAAAHPMA/HcwQxPMc51w/s1600/9Heifer%2BArk%2Bw%2Blogo%2Bsm3.jpg)
Shirika lisilo la Kiserekali la Heifer International limepokea ufadhili wa Shilingi bilioni 1.35 (USD 750,000) kutoka Starbucks Foundation ili kuwasaidia wakulima wadogo wadogo wilayani Mbozi kupitia mradi wa Heifer unaojulikana kama “Mbozi Farmer Livelihood Improvement Project”. Fedha hizi zinatarajia kuziwezesha jumuiya za wakulima wadogo wadogo wa zao la kahawa wa nchi za Afrika Mashariki kuboresha na kuinua viwango vya maisha.
Fedha hizi ni sehemu ya mkakati wa...
5 years ago
MichuziWADAU WA UVUVI MDOGO WAKIWEMO WANAWAKE KUANZA KUNUFAIKA.
Na. Edward Kondela
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesema ana matumaini makubwa na mradi wa Mwongozo wa Masuala ya Uvuvi Mdogo (Small Scale Fisheries Guidelines) kwa kuwa mbali na kushughulika na wavuvi wadogo unalenga pia katika kuhakikisha wanawake wanahusishwa kikamilifu katika mnyororo wa uzalishaji kuanzia ngazi za awali.
Akizungumza jana majira ya jioni (11.03.2020) katika kikao kilichofanyika kwenye ofisi ndogo za wizara hiyo katika jengo la NBC jijini Dodoma,...