Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugonjwa wa mahindi, mihogo watishia

MAGONJWA ya mazao ya mahindi na mihogo yaliyoikumba Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara yanatishia uwepo wa njaa. Tishio hilo linatokana na baadhi ya wakulima kuanza kung’oa mazao hayo na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Dawa ya ugonjwa wa mahindi kuanza kutolewa

WATAALAMU wa mahindi kutoka Kenya kwa kushirikiana na wataalamu wa kilimo nchini, wanatarajia kuanza kutoa dawa ya majaribio ya kuzuia ugonjwa wa zao hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

9 years ago

StarTV

Wakulima wa zao la mihogo kuanza kunufaika

Wakulima wa zao la muhogokanda ya ziwa wanataraji kufaidika na soko jipya la Muhogo baada ya kupatikana kwa mdau anaye tumia zao hilo kuzalisha chakula cha kuku

Kutokana na  uwekezaji huo Sasa wakulima wataokoa zaidi ya asilimia 30 ya sehemu ya muhogo iliyokua ikipotea baada ya kumenywa

Kwa muda mrefu mhogo umekua ukionekana kama zao Duni na wakulima wake kuishi katika dhiki kubwa kutokana na uhaba wa masoko na bei ndogo

Idara ya Chakula na Lishe Nchini Tanzania  kwa kushirikia na mradi wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mihogo mibichi ina nguvu za kipekee?

Ulaji wa mihogo mibichi Dar es Salaam ni maarufu sana miongoni mwa wanaume, wengi ambao hudai inawapa nguvu za kipekee. Ni kweli?

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu watumia mihogo kuandikia Biharamulo

Walimu wawili wanaojitolea katika Shule ya Msingi Msali, Kata ya Nyakahura, wilayani Biharamulo, mkoani Kagera wanatumia vipande vya mihogo mikavu na mkaa kuandikia ubaoni baada ya kukosa chaki.

 

9 years ago

Vijimambo

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chawaphata watishia kugoma

CHAMA cha Wamiliki wa Famasi nchini (Chawaphata), kimetishia kufanya mgomo wa kufunga maduka yao kama njia mojawapo ya kushinikiza kufanyiwa kazi kwa matatizo yanayowakabili kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa Chawaphata,...

 

11 years ago

Mwananchi

Ulawiti, ubakaji watishia Taifa

>Ilikuwa ni  saa moja na nusu jioni siku ya jumapili wakati,  Anaheri (siyo jina lake halisi) alipokuwa akitoka dukani alikotumwa na mama yake. Si yeye wala mama yake waliokuwa na wasiwasi wowote, kwani mara kadhaa amekuwa akitumwa nyakati hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani