Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawa ya ugonjwa wa mahindi kuanza kutolewa

WATAALAMU wa mahindi kutoka Kenya kwa kushirikiana na wataalamu wa kilimo nchini, wanatarajia kuanza kutoa dawa ya majaribio ya kuzuia ugonjwa wa zao hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa mahindi, mihogo watishia

MAGONJWA ya mazao ya mahindi na mihogo yaliyoikumba Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara yanatishia uwepo wa njaa. Tishio hilo linatokana na baadhi ya wakulima kuanza kung’oa mazao hayo na...

 

9 years ago

Mwananchi

Ushahidi dhidi ya Kubenea kuanza kutolewa Jan 20

Mashahidi sita wa upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea (44), wataanza kutoa ushahidi wao Januari 20 na 21, 2016 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

10 years ago

Habarileo

Orodha vyama vya kijamii vitakavyofutwa kuanza kutolewa

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe.WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakati wowote wiki hii itaanza kutoa orodha ya vyama vya kijamii vitakavyofutwa kwa kuanzia na mkoa wa Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

10 years ago

Dewji Blog

Zanzibar kuanza kupuliza dawa majumbani Feb 15

DSC_0154

Meneja kitengo cha kumaliza Malaria Zanzibar Bw. Abdalla Suleiman Ali akizungumza na waandishi wa habari juu ya zoezi la upigaji dawa ya kuuwa Mmbu wa Malaria zoezi hilo litaanza tarehe 15/02/2015 mpaka 26 kwa Unguja na Pemba ni tarehe 28 mwezi huu, Dawa itayotumika ni ACTELIC ambayo ipo salama kwa binadam taarifa hiyo kaitoa Ofisini kwake mwanakwerekwe Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga -Maelezo Zanzibar.

DSC_0171

Na Makame Mshenga -Maelezo Zanzibar.

Jumla ya nyumba 34,874 zimelengwa kupigwa...

 

9 years ago

Michuzi

Huduma ya kugawa Dawa za Matende na Mabusha kuanza Disemba 19 Dar

Na Shamimu Nyaki - Maelezo
Serikali  kupitia Mpango wa  wa Taifa wa kudhibiti Magonjwa yasiyopewa kipaumbele leo   imetangaza tarehe 19 hadi 23 mwezi huu kuwa itaanza zoezi la kugawa dawa kwa makundi yanayopaswa kupata dawa za magojwa hayo. 
 Tamko  hilo  limetolewa  na Katibu mkuu wa Wizara Ya Afya na Ustawi wa Jamii,Wazee,na Watoto  Bw. Donald  Mmbando   alipokuwa anazungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam na kusema kuwa Magonjwa  ambayo hayapewi kipaumbele  ni...

 

5 years ago

CCM Blog

CHID BENZ AKEMEA WANAOFANYA MZAHA MITANDAONI KUHUSU UGONJWA WA CORONA, ASEMA AMEACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA, ANAJIANDAA KURUDI KWENYE 'GEMU'

Msanii wa muziki wa Bongofleva Rashid Abdallah (Chid Benz) akimweleza jambo Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza, katika mazungumzo yao yaliyofanyika leo jijini Dodoma. Chid amemweleza Naibu Waziri kuwa wiki ijayo anatarajia kutoa video ya wimbo wake wa Beautiful na pia atatunga wimbo kuhusu virusi vya ugonjwa wa Corona.




Na Anitha Jonas – WHUSM
Mwanamuziki ambaye ni miongoni mwa wanamuziki waasisi wa muziki wa Bongofleva hapa nchini, Rashid Abdallah (Chid...

 

10 years ago

GPL

VIFAA VYA KUBAINI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA EBOLA KUPITIA JOTO LA MWILI VYAWASILI NCHINI, KUANZA KUTUMIKA VIWANJA VYA NDEGE

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Kebwe Steven Kebwe (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Afya na Usafi wa Mazingira wa Wizara ya Afya na Ustawi Dkt. Elias Chinamo moja ya kifaa (kamera) itakayotumika kupima dalili za ugonjwa wa Ebola kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia viwanja vya ndege ili kuhakikisha kuwa wananchi wanakuwa salama kwa kuuzuia ugonjwa huo kuingia nchini.… ...

 

9 years ago

Vijimambo

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani