Zanzibar kuanza kupuliza dawa majumbani Feb 15
Meneja kitengo cha kumaliza Malaria Zanzibar Bw. Abdalla Suleiman Ali akizungumza na waandishi wa habari juu ya zoezi la upigaji dawa ya kuuwa Mmbu wa Malaria zoezi hilo litaanza tarehe 15/02/2015 mpaka 26 kwa Unguja na Pemba ni tarehe 28 mwezi huu, Dawa itayotumika ni ACTELIC ambayo ipo salama kwa binadam taarifa hiyo kaitoa Ofisini kwake mwanakwerekwe Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga -Maelezo Zanzibar.
Na Makame Mshenga -Maelezo Zanzibar.
Jumla ya nyumba 34,874 zimelengwa kupigwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 May
Mabasi yalipa 65,000/- kupuliza dawa ya dengue
MABASI yaendayo mikoani yanalipa Sh 65,000 kwa ajili ya kupuliza dawa ndani ya magari hayo ikiwa ni hatua ya kupambana na ugonjwa wa dengue nchini.
11 years ago
Business Standard31 Jan
Zanzibar President to visit India from Feb 1 to Feb 9
ANINEWS
Business Standard
President of Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein will be on an official visit to India from February 1 to February 9 at the invitation of Vice President Hamid Ansari. Dr. Shein will be leading a delegation comprising of senior Ministers and officials. The visiting ...
President of Zanzibar to pay official visit to IndiaJagran Post
all 2
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z5JI1NefIDY/XoY6i4N4PKI/AAAAAAALl4g/Y8bV64ciycoyhsvvMC1scempOjPsY1pLgCLcBGAsYHQ/s72-c/8dbb392a-9d26-45fb-bb1f-59bcf9a2fdbc.jpg)
Manispaa ya Ubungo yachukua tahadhari ya Virusi vya Corona kwa kupuliza dawa maeneo mbalimbali
Manispaa ya Ubungo imesema kuwa iko katika mkakati wa upuliziaji dawa katika maeneo ya mbalimbali ikiwemo na sehemu za huduma za kijamii.
Akizungumza na Michuzi TV Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic Swai amesema kuwa mkakati huo ni kuchukua tahadhari ya kujikinga na Virusi vya Corona.
Swai amesema kuwa katika kipindi chote hiki wananchi wazinagatie usafi wa kunawa mikono katika sehemu za huduma za Jamii kwani vifaa wameweka wameweka.
Amesema ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZJG-jMYT2_g/Xn7k78Fk2gI/AAAAAAALlWg/lHJ-IoXwSTMMcUUhJhEELU6iKlKrPEPqQCLcBGAsYHQ/s72-c/0335e4ed-ca65-407b-a452-afedd86344fc.jpg)
ARUSHA YAZINDUA ZOAEZI LA KUPULIZA DAWA KUUWA VIJIDUDU NA KUWAKINGA ABIRIA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA
Na Jusline Marco;Arusha
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe.Gabriel Daqarro amezindua zoezi la upulizaji wa dawa ya kuuwa vijidudu kwa lengo la kuwakinga abiria na maambukizi ya virusi vya Corona pindi wanapotumia vyombo vya usafiri.
Zoezi hilo limezinduliwa leo rasmi kwa mabasi yanayotoka Jiji la Arusha kuelekea mikoa mingine , pamoja na vyombo vingine vya usafiri wa umma vinavyotumika katika safari za ndani ya Jiji la Arusha.
Mhe.Gabriel Daqaro amesema kuwa operesheni hiyo ya upulizaji wa dawa...
5 years ago
MichuziTUNAANZA RASMI ZOEZI LA KUPULIZA DAWA YA KUUA WADUDU NA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA KESHO-RC MAKONDA
RC Makonda amesema kwa kufanya hivyo itasaidia pia kuua Vimelea na Wadudu kama Mbu wanaoenzeza ugonjwa wa Malaria, homa ya dengu na magonjwa mengineyo na kufanya jiji hilo kuwa katika hali nzuri...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XqMvbPM0ix0/VO38l5BD64I/AAAAAAABmco/T46rg_vBm7E/s72-c/BODI%2B2.jpg)
BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA TANI 8.5 ZA DAWA NA VYAKULA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-XqMvbPM0ix0/VO38l5BD64I/AAAAAAABmco/T46rg_vBm7E/s640/BODI%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jhjeV0C3F9k/VO381AjrVKI/AAAAAAABmcw/e8GqpRWckLg/s640/BODI%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TRi-8a7wuKA/VO3-36wLcZI/AAAAAAABmc8/-JA_3B0L1Qc/s640/0236.jpg)
10 years ago
CloudsFM09 Feb
Tuzo za wasanii wa Zanzibar kufanyika Feb 27
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
RED CUP Party Zanzibar ndani ya Palm Beach Bwejuu Feb 28
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Ile party ya kijanja inayosubiriwa kwa hamu kubwa na watu mbalimbali wa ndani na nje ya Zanzibar Maarufu kama ‘RED CUP Party’ kufanyika Februari 28 ndani ya Hoteli ya Palm Beach iliyopo Bwejuu, Unguja.
Akielezea mwandaaji wa shoo hiyo ya kijanja, Djzoro ON Mix Man amesema tayari mipango yote imekamilika na tiketi zimeanza kuuzwa kwa sasa.
“Party ya kijanja ya RED CUP Party, kwa sasa ni gumzo na tiketi zimeshaanza kuuzwa. Kwa kiingilio cha sh 10,000/= kwa...
11 years ago
Habarileo31 Jan
Dawa ya ugonjwa wa mahindi kuanza kutolewa
WATAALAMU wa mahindi kutoka Kenya kwa kushirikiana na wataalamu wa kilimo nchini, wanatarajia kuanza kutoa dawa ya majaribio ya kuzuia ugonjwa wa zao hilo.