Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zanzibar kuanza kupuliza dawa majumbani Feb 15

DSC_0154

Meneja kitengo cha kumaliza Malaria Zanzibar Bw. Abdalla Suleiman Ali akizungumza na waandishi wa habari juu ya zoezi la upigaji dawa ya kuuwa Mmbu wa Malaria zoezi hilo litaanza tarehe 15/02/2015 mpaka 26 kwa Unguja na Pemba ni tarehe 28 mwezi huu, Dawa itayotumika ni ACTELIC ambayo ipo salama kwa binadam taarifa hiyo kaitoa Ofisini kwake mwanakwerekwe Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga -Maelezo Zanzibar.

DSC_0171

Na Makame Mshenga -Maelezo Zanzibar.

Jumla ya nyumba 34,874 zimelengwa kupigwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mabasi yalipa 65,000/- kupuliza dawa ya dengue

MABASI yaendayo mikoani yanalipa Sh 65,000 kwa ajili ya kupuliza dawa ndani ya magari hayo ikiwa ni hatua ya kupambana na ugonjwa wa dengue nchini.

 

11 years ago

Business Standard

Zanzibar President to visit India from Feb 1 to Feb 9


ANINEWS
Zanzibar President to visit India from Feb 1 to Feb 9
Business Standard
President of Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein will be on an official visit to India from February 1 to February 9 at the invitation of Vice President Hamid Ansari. Dr. Shein will be leading a delegation comprising of senior Ministers and officials. The visiting ...
President of Zanzibar to pay official visit to IndiaJagran Post

all 2

 

5 years ago

Michuzi

Manispaa ya Ubungo yachukua tahadhari ya Virusi vya Corona kwa kupuliza dawa maeneo mbalimbali

Na Chalila Kibuda, Michuzi TV.

Manispaa ya Ubungo  imesema kuwa iko katika mkakati wa  upuliziaji dawa katika maeneo ya mbalimbali ikiwemo na sehemu za huduma za kijamii.

Akizungumza na Michuzi TV Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic Swai amesema kuwa mkakati huo ni kuchukua tahadhari ya kujikinga na Virusi vya Corona.

Swai amesema kuwa katika  kipindi chote hiki wananchi wazinagatie usafi wa kunawa mikono katika sehemu za huduma za Jamii kwani vifaa wameweka wameweka.

Amesema ...

 

5 years ago

Michuzi

ARUSHA YAZINDUA ZOAEZI LA KUPULIZA DAWA KUUWA VIJIDUDU NA KUWAKINGA ABIRIA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA


Na Jusline Marco;Arusha

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe.Gabriel Daqarro amezindua zoezi la upulizaji wa dawa ya kuuwa vijidudu kwa lengo la kuwakinga abiria na maambukizi ya virusi vya Corona pindi wanapotumia vyombo vya usafiri.

Zoezi hilo limezinduliwa leo rasmi kwa mabasi yanayotoka Jiji la Arusha kuelekea mikoa mingine , pamoja na vyombo vingine vya usafiri wa umma vinavyotumika katika safari za ndani ya Jiji la Arusha.

Mhe.Gabriel Daqaro amesema kuwa operesheni hiyo ya upulizaji wa dawa...

 

5 years ago

Michuzi

TUNAANZA RASMI ZOEZI LA KUPULIZA DAWA YA KUUA WADUDU NA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA KESHO-RC MAKONDA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda amesema mkoa huo utaanza rasmi kesho zoezi la kupuliza dawa ya kuua vijidudu na kudhibiti kuenea kwa Virusi vya Corona katika maeneo mbalimbali ya Jiji hilo ambapo amewataka wananchi wasiwe na hofu pindi wanapoona magari yanapita mitaani kupuliza dawa.
RC Makonda amesema kwa kufanya hivyo  itasaidia pia kuua Vimelea na Wadudu kama Mbu wanaoenzeza ugonjwa wa Malaria, homa ya dengu na magonjwa mengineyo na kufanya jiji hilo kuwa katika hali nzuri...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA TANI 8.5 ZA DAWA NA VYAKULA.

Baadh ya Maboksi ya dawa mbalimbali ambazo zimemaliza muda wake na hatari kwa matumizi ya Binaadamu, yakiangamizwa na katika viwanja vya kibeli nje ya mji wa Zanzibar Wafanyakazi wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar wakiteremsha baadhi ya maboksi ya dawa mbalimbali, vipodozi, mchele, na tende zilizoharibika kwaajili ya kuviangamizwa.Mafisa wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar wakisimamia zoezi la uteketezaji wa dawa, vipodozi, mchele, na tende ambavyo vitu vyote hivyo...

 

10 years ago

CloudsFM

Tuzo za wasanii wa Zanzibar kufanyika Feb 27

Taratibu za Tamasha la kuwatafuta wasanii bora wa Zanzibar (Zanzibar Music Awards) zinazosimamiwa na Kampuni ya Zanzibar Media Corporation inayomiliki kituo cha Zenj Fm radio na kitengo cha Zenj Entertainment kwa mwaka 2014/2015 zimeanza rasmi leo.Akizungumza na waandishi wa habari katika jengo la Zanzibar Media Corporation, mtaa wa Mombasa nje kidogo ya Mji wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Tamasha hilo Seif Mohd Seif amesema maandali yamekamilika. Amesema tunzo hizo ambazo zinalengo la...

 

10 years ago

Dewji Blog

RED CUP Party Zanzibar ndani ya Palm Beach Bwejuu Feb 28

RCP

Na Andrew Chale wa modewjiblog

Ile party ya kijanja inayosubiriwa kwa hamu kubwa na watu mbalimbali wa  ndani na nje ya Zanzibar  Maarufu kama ‘RED CUP Party’  kufanyika Februari 28 ndani ya Hoteli ya Palm Beach iliyopo Bwejuu, Unguja.

Akielezea mwandaaji wa shoo hiyo ya kijanja, Djzoro ON Mix Man amesema tayari mipango yote imekamilika na tiketi zimeanza kuuzwa kwa sasa.

“Party ya kijanja ya RED CUP Party,  kwa sasa ni gumzo na tiketi zimeshaanza kuuzwa. Kwa kiingilio cha sh 10,000/= kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Dawa ya ugonjwa wa mahindi kuanza kutolewa

WATAALAMU wa mahindi kutoka Kenya kwa kushirikiana na wataalamu wa kilimo nchini, wanatarajia kuanza kutoa dawa ya majaribio ya kuzuia ugonjwa wa zao hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani