Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushahidi dhidi ya Kubenea kuanza kutolewa Jan 20

Mashahidi sita wa upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea (44), wataanza kutoa ushahidi wao Januari 20 na 21, 2016 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI KUANZA JUMAMOSI HII - JAN 24, 2015


I would like to inform you that the first Swahili class will be on Saturday January 24 2015 from 3:00pm - 5:00pm. We will meet at White Oak Community Recreation Center located at 1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904. You can call the community center for inclement weather and closures ONLY at (240) 777-6940. 

Any question about the Swahili class please call
Iddy - President at ‪(301) 613‑5165‬Harriet- Vice President (240) 672‑1788‬Asha -Instructor (301) 793-2833Bernadeta - Vice...

 

9 years ago

Mtanzania

Masaburi afuta kesi dhidi ya Kubenea

Pg 2Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta kesi ya madai ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubungo.

Kesi hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Masaburi dhidi ya mbunge wa jimbo hilo, Saed Kubenea (Chadema).

Uamuzi wa maombi ya kufuta kesi hiyo uliwasilishwa mahakamani hapo jana na wakili wa Dk. Masaburi, Clement Kihoko mbele ya Jaji Lugano Mwandambo.

Wakili Kihoko alisema kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Pingamizi la AG dhidi ya wanasheria, Kubenea latupwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) dhidi ya kesi ya kikatiba inayohoji uhalali wa Bunge Maalumu la Katiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.

 

11 years ago

Habarileo

Dawa ya ugonjwa wa mahindi kuanza kutolewa

WATAALAMU wa mahindi kutoka Kenya kwa kushirikiana na wataalamu wa kilimo nchini, wanatarajia kuanza kutoa dawa ya majaribio ya kuzuia ugonjwa wa zao hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Orodha vyama vya kijamii vitakavyofutwa kuanza kutolewa

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe.WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakati wowote wiki hii itaanza kutoa orodha ya vyama vya kijamii vitakavyofutwa kwa kuanzia na mkoa wa Dar es Salaam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ushahidi dhidi ya Ntaganda watolewa ICC

Shahidi wa kwanza ameanza kutoa ushahidi wake katika kesi ya aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Congo Bosco Ntaganda katika mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita mjini The Hague.

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC:Tuna ushahidi dhidi ya Ntaganda

Mahakama ya kimataifa ya ICC imesema imepata ushahidi wa kutosha kumfungulia mashitaka mbabe wa kivita wa DRC Bosco Ntaganda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushahidi wa Cosby watumika dhidi yake

Bill Cosby alikiri miaka kumi iliyopita kununua tembe za kulewesha kuwapa wanawake ambao alitaka kushiriki ngono nao.

 

11 years ago

BBCSwahili

'ICC haina ushahidi dhidi ya Kenyatta?'

Mwendesha mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameomba majaji kuahirisha kesi dhidi ya Rais Kenyatta kwa miezi 3 kutokana na ukosefu wa ushahidi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani