Ushahidi dhidi ya Kubenea kuanza kutolewa Jan 20
Mashahidi sita wa upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea (44), wataanza kutoa ushahidi wao Januari 20 na 21, 2016 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI KUANZA JUMAMOSI HII - JAN 24, 2015
I would like to inform you that the first Swahili class will be on Saturday January 24 2015 from 3:00pm - 5:00pm. We will meet at White Oak Community Recreation Center located at 1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904. You can call the community center for inclement weather and closures ONLY at (240) 777-6940.
Any question about the Swahili class please call
Iddy - President at (301) 613‑5165Harriet- Vice President (240) 672‑1788Asha -Instructor (301) 793-2833Bernadeta - Vice...
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Masaburi afuta kesi dhidi ya Kubenea
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta kesi ya madai ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubungo.
Kesi hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Masaburi dhidi ya mbunge wa jimbo hilo, Saed Kubenea (Chadema).
Uamuzi wa maombi ya kufuta kesi hiyo uliwasilishwa mahakamani hapo jana na wakili wa Dk. Masaburi, Clement Kihoko mbele ya Jaji Lugano Mwandambo.
Wakili Kihoko alisema kuwa...
10 years ago
Habarileo23 Sep
Pingamizi la AG dhidi ya wanasheria, Kubenea latupwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) dhidi ya kesi ya kikatiba inayohoji uhalali wa Bunge Maalumu la Katiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.
11 years ago
Habarileo31 Jan
Dawa ya ugonjwa wa mahindi kuanza kutolewa
WATAALAMU wa mahindi kutoka Kenya kwa kushirikiana na wataalamu wa kilimo nchini, wanatarajia kuanza kutoa dawa ya majaribio ya kuzuia ugonjwa wa zao hilo.
10 years ago
Habarileo23 Apr
Orodha vyama vya kijamii vitakavyofutwa kuanza kutolewa
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakati wowote wiki hii itaanza kutoa orodha ya vyama vya kijamii vitakavyofutwa kwa kuanzia na mkoa wa Dar es Salaam.
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Ushahidi dhidi ya Ntaganda watolewa ICC
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
ICC:Tuna ushahidi dhidi ya Ntaganda
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Ushahidi wa Cosby watumika dhidi yake
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
'ICC haina ushahidi dhidi ya Kenyatta?'